USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

genital warts uponi unambukiza tu wanawake hpv . na mwisho wa siku wanawake wa apata cancer ya kizazi.

mwanamke wakiwa na warts awaluhusiwi kuzaa kwa kawaida na mtoto ataambukizwa hpv.

Jamaa una generational condition. mke na watoto wapo kwa risk.

umetoka tu warts ujapoma. hpv ni kama ngoma.

it's over buddy acha kuusambaza
Dah!...mbona hatari sasa...
 
Wee jamaaa kama mimi tuu sema mi hayo mambo yalinikuta nikiwa jeshini mkuu...

Nakumbuka the last footdril nilishindwa kufanya maana hali ilikua tete ila nilipona baada ya kupata dawa moja hv inaitwa scaboma....

Kuna watu humu jf walinishauri nitumie BBE sijui oyaa ile dawa mpaka leo hata nikiona kichupa chak tuu huwa nasisimka...

Nafikili kama mwizi akiiba hapa hom nikimkamata tampaka hii dawa kwenye tundu la haja kubwa..

Akija rudia kuiba nahama jf hapa
🤣🤣
 
Siku ukikutana na mbunye yenye warts, NYEGE ZOTE ZITAKATA SIKU HIYO HIYO
 
Brother sitokuja kuumwa gono maisha had nakufa hilo nina uhakika...
Siri ya gono kwa wanaume ni kuokota madem wachafu wale wa stend na wasio na kwao
Mkuu tulia twende taratibu utafikiwa tu
 
Pole utapona mzee,usione aibu utapata Tiba.

Vijana tulieni na mwenza mmoja,Uwe me au Ke,Umalaya ni ushamba.
 
Back
Top Bottom