USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Hizo warts zishafika hapo Unaweza tumia Silver nitrate pencil ila Inabid uwe makini sana wakati unavitoa plus acyclovir tab dose ya week kuweka mambo sawa kabisa.
Niliwahi kupata zamani, mwanzo niliwashwa kupona kwake vikaota vipele yaani vinyama. Nina ndugu daktari akaniambia zinaitwa genital warts. Alinipa dawa ya kupaka ya maji ya blue akaniambia niwe napaka ila kyupi zitakuwa zinapata madoa. Nilipaka kila siku baada ya kuoga. Vikatoweka. Havijawahi kurudia. Ila aliniambia ni wafamasia walikuwa wanatengeneza huo mchanganyiko. Rangi yabluu.
 
Nimecheka mkuu mleta mada ila pole sana.

Niliwahi kuwa na mdada mwenye hpv, nikampeleka hadi hospitali ila cha ajabu hakuwahi kuniambukiza na tulidumu miaka miwili-mitatu.
Alikuambukiza.

Ila kinga yako ni strong, Ni kama COVID tu nyumba moja lkn kuna walio onyesha dalili, ambao hawajaonyesha dalili na ambao walikufa
 
IMG-20250107-WA0001.jpg

Kwa ambae anahitaji dawa ni hizi hapa..
Nilijarib kumtafuta aliyeniuzia na kumuuliza kama dawa bado anazo, na nawezaje kuzipata kutokana na yey kuwa mbali na dar, bahati ni dawa alibakiwa nazo chache na jana alifika mjini kaziacha 5 kwa mdogo ake kijichi(nilimwambia kuhusu chapisho langu).. binafsi nilienda kuzichukua mbili ni hizi hapa chini kwa atakehitaji anicheki PM..
Note: mm nimechukua mbili tuuu skuwa na uwezo wa kuchukua zote.
 
View attachment 3194984
Kwa ambae anahitaji dawa ni hizi hapa..
Nilijarib kumtafuta aliyeniuzia na kumuuliza kama dawa bado anazo, na nawezaje kuzipata kutokana na yey kuwa mbali na dar, bahati ni dawa alibakiwa nazo chache na jana alifika mjini kaziacha 5 kwa mdogo ake kijichi(nilimwambia kuhusu chapisho langu).. binafsi nilienda kuzichukua mbili ni hizi hapa chini kwa atakehitaji anicheki PM..
Note: mm nimechukua mbili tuuu skuwa na uwezo wa kuchukua zote.
Sawa Sawa
 
View attachment 3194984
Kwa ambae anahitaji dawa ni hizi hapa..
Nilijarib kumtafuta aliyeniuzia na kumuuliza kama dawa bado anazo, na nawezaje kuzipata kutokana na yey kuwa mbali na dar, bahati ni dawa alibakiwa nazo chache na jana alifika mjini kaziacha 5 kwa mdogo ake kijichi(nilimwambia kuhusu chapisho langu).. binafsi nilienda kuzichukua mbili ni hizi hapa chini kwa atakehitaji anicheki PM..
Note: mm nimechukua mbili tuuu skuwa na uwezo wa kuchukua zote.
bei?
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha


nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tu ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

So ulitumia dawa gani kupona
 
View attachment 3194984
Kwa ambae anahitaji dawa ni hizi hapa..
Nilijarib kumtafuta aliyeniuzia na kumuuliza kama dawa bado anazo, na nawezaje kuzipata kutokana na yey kuwa mbali na dar, bahati ni dawa alibakiwa nazo chache na jana alifika mjini kaziacha 5 kwa mdogo ake kijichi(nilimwambia kuhusu chapisho langu).. binafsi nilienda kuzichukua mbili ni hizi hapa chini kwa atakehitaji anicheki PM..
Note: mm nimechukua mbili tuuu skuwa na uwezo wa kuchukua zote.
Unaonaje ukatoa namba ya jamaa kwani huenda kuna watu wanasumbuliwa nayo na pengine wakajikuta wapo mkoa aliopo
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha


nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tu ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

kwahiyo mwishoni uume ulifikisha hadi watts ngapi
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha


nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tu ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh


This is for informational purposes only. For medical advice or diagnosis, consult a professional.
Genital warts are small, fleshy growths that appear on the genitals, anus, or rectum. They are caused by the human papillomavirus (HPV), a sexually transmitted infection (STI).
Here are some key facts about genital warts:
* Common: Genital warts are one of the most common STIs.
* Caused by HPV: There are many different types of HPV, some of which can cause genital warts.
* Symptoms: Genital warts can vary in appearance, from small, flat bumps to large, cauliflower-shaped growths. They may be painless or cause itching, discomfort, or bleeding.
* Transmission: Genital warts are spread through sexual contact, including vaginal, anal, and oral sex.
* Treatment: There is no cure for HPV, but genital warts can be treated with medications or procedures to remove them.
* Prevention: The HPV vaccine is effective in preventing genital warts. Condoms can also help reduce the risk of transmission.
If you think you may have genital warts, it is important to see a doctor for diagnosis and treatment. Early treatment can help prevent the spread of HPV and reduce the risk of complications.
 
Back
Top Bottom