Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Angalia huo uhai wako usikutie kiburi
Hapana pot uhai haunipi kiburi nitakuja hapo getini kukuomba na kukusihi uirejee imani ya haki ukifeli sitasita kutimiza wajibu na sharia isemavyo .

Alafu siku nyingine usieleze kuwa unapata mshahara around one million ni chenji za watu tena wengi waliokuwa nduguzo katika imani ulipokimbia ni mambo ya kawaida sana.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kushuhudia binti mmoja wa kiislam alikuwa akiitwa Mwanaidi asee alianza kwanza kupenda nyimbo za kwaya, mara akahamia kwenye kusoma bible akawa mkristo ndani ya familia ya kiislam bila mzee wake kujua thou mama yake alikua anajua. Baadae akaita kikao cha familia na kuwaambia msimamo wake kuhusu imani. Doo palitokea msala wa kufa raia ,familia yote ikamtenga, wakawa wanaletwa mpak masheikh wa kisomali kumsomea vsom na kumshauri lkn holaa, wakamtimua home baba yake akamwambia mm sio baba yako tena na hii sio familia yako na ndugu wote wakamtenga ila sasa dada ameolewa na anafamilia na maisha mazuri sanaa. Kaka yake alipata tatizo shingoni alikula nyama yenye adrax pelekwa hospital hawaoni ugonjwa. Alipofanyiwa upasuaji shingo yote pamoja na pua ni usaa tu ,cha kushangaza tunaenda msalimia hospital yupo na mafuta makubwaa ya mtumishi flan ivi anapakwa shingn na amepona kabsa na makofi siku hiz anapiga.
 
Ndo tatizo la waislamu ukiacha tu dini na undugu umekufa utatengwa hata na mende wa nyumbani.
Tofaut na Wakristo wapo hadi mashehe familia Yao wote ni Wakristo na Wala hapana mwenye habari nae Kama halijatokea jambo na undugu wao haukomi kisa dini
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Huko si ndio ndugu zake walipomtosha.
Mnaweza toa msaada kwa asie Muislamu?
 
Murtard ni hatari kwa sana kwa jamii ni kitendo cha unafiki mkubwa hustahili kuishi diniani tena. Nakushauri fanye toubah nasihi urudi kwenye uasilia wako kabla mabaya zaidi hajakukuta.
Acha kumtisha mwenzako wew. Tuna watu wengi duniani wanaishi maisha mazuri mno na sio waislam wala waikristo, achen vitisho vya kipumbavu nyie
 
Ni ndogo lakini kwa mtu ambaye sikupata sapoti ya wazazi na ndugu ni nyingi.
 
Wala simtishi na staki ni mtishe nampa tu ushauri, nayeye mwenyewe ni shuhuda hawezi kupata Amani bila maelewano na wazazi wake.
Ukimsoma vizuri jamaa anatamani arudi japo nyumbani kumsalimia mzee wake na inaonekana mshua ndo hataki salam yake wala hamtaki tena mpaka arudi kwenye imani ya baba yake. Sasa hapo nani ana makosa au nani alaumiwe?
 
Hallelujah
 
Njia nyepesi ya kupata chakula ugenini zunguka popote ukikuta Pana msiba hapo ndo kwako jibidiishe tu kufanya kazi za kupasua Kuni,kusomba maji,nk.
Peleleza kazi ya marehemu ili uwe na technic ikitokea ukiulizwa unamfahamu vipi unaweza sema nilikua fundi wake,kibarua wake nk.
Hadi msiba uishe utakuwa umeshapata ramani
 
Ahahahay
Yaani ningekuta msiba mahali ningekomaa mpaka arobaini 😳😳😳😳

 
Ukimsoma vizuri jamaa anatamani arudi japo nyumbani kumsalimia mzee wake na inaonekana mshua ndo hataki salam yake wala hamtaki tena mpaka arudi kwenye imani ya baba yake. Sasa hapo nani ana makosa au nani alaumiwe?
Sio rahisi kujua wake mpaka mwenyewe afunguke, tujue mazingara yake yalio msababisha awe Murtard huo ukaidi wake aliuanza na umri gani? Ndo tutaweza kuhukumu nani mwenye makosa.
 
Ni ndogo lakini kwa mtu ambaye sikupata sapoti ya wazazi na ndugu ni nyingi.
Kaka Sandali Ali mbona sio wewe ninayekujua kwenye mada zingine mbona mpole sana na mwingi wa hekima ?

Sawa kaka hongera kwa kila jambo aisee najisikia vibaya kuendelea kukujibu vibaya maana hekima zako zinanihukumu .

Kwaheri .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Acha kumtisha mwamba wewe .yeye amechagua kuamini uko alipo na wew amini unachoabudu ova. Hakuna cha imani ya haki wala nn, watu duniani wanaishi bila hiyo imani ya haki na wanaishi maisha mazuri mno kuliko ww. Akina president Xi kule na wachina wengi, wajapan, wahindi , mpaka akina kiduku kule north korea hawajui cha mtume wala Yesu na huwaambii kitu na hyo imani yako ya haki. Funga mdomo acha watu waamini wanachotaka
 
Kuna member humu jf kwenye ule uzi wa watu waliowahi kupitia magumu kwenye maisha alisema alikua akihisi njaa anameza mate mengi au anaachama mdomo upepo unaingia tumboni siku zinasonga, alikonda mpaka alikua akimilikwa tochi tumboni mwanga unatokea upande mwingine wa mgongo.

But guess what, God is good👍
 
Kumtegemea MUNGU kuna faida.
MUNGU Baba wa Mbinguni azidi kukubariki sana.
Pole kwa yaliyokukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…