Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #41
Ninatamani kwenda kumsalimia kwakuwa sina kinyongo naye ingawa alikusudia mabaya mengi kwangu na hatajanipata.Sio rahisi kujua wake mpaka mwenyewe afunguke, tujue mazingara yake yalio msababisha awe Murtard huo ukaidi wake aliuanza na umri gani? Ndo tutaweza kuhukumu nani mwenye makosa.
Naona anaona aibu nilipo, hakudhani itakuwa hivi..