Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Wanazi na wafia dini wameharibu hustle za form four leaver anayelipwa milion na chenji zake serikalini. Hii serikali Ina siri sana kumbe form four leaver na graduate hawana tofauti?
 
Katika vitu vya kipuuzi na kipumbavu kabisa ambavyo binadamu unaweza kufanya, ni kumtenga ndugu yako wa damu/mtoto wa kumzaa kwa sababu ya imani /hadithi ulizoletewa na watu usiowajua. Hii inaonyesha kiwango cha chini kabisa cha akili kwa yoyote anaefanya hivyo!
 
Mkuu sasa zitaniathiri je wakati mimi sitoki kwenye familia yake? hilo ungeuliza wana familia yake uwauliza vinavyo wakumba uko tangu ndugu yao aritardi.

Mkuu sasa zitaniathiri je wakati mimi sitoki kwenye familia yake? hilo ungeuliza wana familia yake uwauliza vinavyo wakumba uko tangu ndugu yao aritardi.
Mkuu niliwahi kusikia waislam wote ni ndugu. Yan ata uwe america au asia ata kule katoro wote ni ndugu na kama ni tatizo basi wanalitatua kwa ummoja, je nipo sahihi??? Kama ni ndio mbona hapa umejitoa kwenye kupata laana ya Mungu kwa yeye kuwa murtad tena umesema hyo ni issue ya familia yake wengne haiwahusu je tushike lipi tuache lipi
 
Huyu inaonekana alikua ameshakua Murtard adhabu yao ni kifo, naona mateso yali muanza mapema tu kwa hicho kitendo......baba mzazi alikua sahihi kama kweli ulikua Murtadi na mimi siwezi kukutafuta tena.
Muongo huyo hana cha kuritadi wala Uislam.

Angekuwa murtad si angepokelewa kwa shangwe huko alikohamia. Asingekaa na njaa hata dakika moja.

Huyo aseme kweli, ni upinde tu.
 
Katika vitu vya kipuuzi na kipumbavu kabisa ambavyo binadamu unaweza kufanya, ni kumtenga ndugu yako wa damu/mtoto wa kumzaa kwa sababu ya imani /hadithi ulizoletewa na watu usiowajua. Hii inaonyesha kiwango cha chini kabisa cha akili kwa yoyote anaefanya hivyo!
Mwongo huyo.
 
Njia nyepesi ya kupata chakula ugenini zunguka popote ukikuta Pana msiba hapo ndo kwako jibidiishe tu kufanya kazi za kupasua Kuni,kusomba maji,nk.
Peleleza kazi ya marehemu ili uwe na technic ikitokea ukiulizwa unamfahamu vipi unaweza sema nilikua fundi wake,kibarua wake nk.
Hadi msiba uishe utakuwa umeshapata ramani
Tatzo misiba ya town wanakwambia "only invited guests are allowed"
 
Mkuu niliwahi kusikia waislam wote ni ndugu. Yan ata uwe america au asia ata kule katoro wote ni ndugu na kama ni tatizo basi wanalitatua kwa ummoja, je nipo sahihi??? Kama ni ndio mbona hapa umejitoa kwenye kupata laana ya Mungu kwa yeye kuwa murtad tena umesema hyo ni issue ya familia yake wengne haiwahusu je tushike lipi tuache lipi
Mkuu kweli naskia muislamu ni ndungu ye mwislamu, ila hili halimaanishe kua na roho/nafsi moja, kila muislamu atakua na nafsi yake adhabu za mafsi anazipata peke yake na raha za nafsi anazipata peke yake, ila katika mambo ya kusaidiana mabaya na mazuri hao watu ni ndungu ona, katika misiba yao harusi zao hosipitalini jela wanatembeleana sana huo ndo undugu wanao maanisha sio wanafsi.
 
Mkuu kweli naskia muislamu ni ndungu ye mwislamu, ila hili halimaanishe kua na roho/nafsi moja, kila muislamu atakua na nafsi yake adhabu za mafsi anazipata peke yake na raha za nafsi anazipata peke yake, ila katika mambo ya kusaidiana mabaya na mazuri hao watu ni ndungu ona, katika misiba yao harusi zao hosipitalini jela wanatembeleana sana huo ndo undugu wanao maanisha sio wanafsi.
Kwahyo huyu murtad wew hakuhusu?
 
Ata ni husu kivip mkuu? Kama mashoga hawani husu sasa murtard hata ni husu je? Zaidi ya kumuonea huruma kwasbb murtard na shoga tafauti yao ni ile ile wote adhabu yao ni kifo.
Ivi mkuu mashoga kwa bongo wapi wako wengi sana?
 
Ivi mkuu mashoga kwa bongo wapi wako wengi sana?
Mimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
 
Back
Top Bottom