Umemwambia hapo wew adhabu yako ni kifo. Hyo maana yake nini?Mkuu sijamtishia kifo ndo sheria ilivo, wewe ungependa mwanao awe shoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemwambia hapo wew adhabu yako ni kifo. Hyo maana yake nini?Mkuu sijamtishia kifo ndo sheria ilivo, wewe ungependa mwanao awe shoga?
Mkuu ile video kutoka Zanzibar ya waalimu wanawauliza wanafunzi eeh wew unakaliaga ya nani, eeh na wew bonge unakaliaga ya nani?? Je wale ni mapadre?? Na pale walikuwa kanisani??Mimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
Kama hujawahi kuwaona mashoga pole sana , nenda zenji , mombasa, dsm yaan coastal areas haya yapo mengi tuMimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
Miongoni mwa wajinga wewe hukosiUlikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?
Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.
Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Mkuu ile video kutoka Zanzibar ya waalimu wanawauliza wanafunzi eeh wew unakaliaga ya nani, eeh na wew bonge unakaliaga ya nani?? Je wale ni mapadre?? Na pale walikuwa kanisani??
Pia mkuu popote alipokaa mwarabu, vijana hawana nati kabsa. Wew kama nakudanganya angalia hapa east Africa mwarabu alikaa wapi sana na angalia sifa ya hilo eneo. Utajua hujuiMimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
Hizo ni tuhuma tu, kama wanavo tuhumu kanisa kwamba mapadri yao ni mashoga hamna mwenye ushahidi kudhibitishia kwamba mapadiri wengi ni mashoga......wewe kama una ushahidi leta hapa tujioneePia mkuu popote alipokaa mwarabu, vijana hawana nati kabsa. Wew kama nakudanganya angalia hapa east Africa mwarabu alikaa wapi sana na angalia sifa ya hilo eneo. Utajua hujui
Murtadi ndo mtu wa namna gani 😂Huyu inaonekana alikua ameshakua Murtard adhabu yao ni kifo, naona mateso yali muanza mapema tu kwa hicho kitendo......baba mzazi alikua sahihi kama kweli ulikua Murtadi na mimi siwezi kukutafuta tena.
Wenyewe wanajua 'ya ngosa muachie ngosa'Murtadi ndo mtu wa namna gani [emoji23]
😂😂😂, hizo dini zenu za ukristo na uislamu zote ni ovyo zimekaa kijinga, kipumbavu na kitapeli.... Kama yesu anadiriki kusema hivyo dah asee, hizi dini ngumu sana... Karibuni dini yetu ya ukweli, budhismMathayo 10:34-39
[34]Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
[35]Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
[36]na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
[37]Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
[38]Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
[39]Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
What is Love?, according to budhism 😃😃😃😃😀😂😂😂, hizo dini zenu za ukristo na uislamu zote ni ovyo zimekaa kijinga, kipumbavu na kitapeli.... Kama yesu anadiriki kusema hivyo dah asee, hizi dini ngumu sana... Karibuni dini yetu ya ukweli, budhism
Uislamu ni jihad, yaani nyie watu huwa mnafanya mambo ya ajabu sana kwani mtoto akienda kwenye imani mpya anayotaka yeye, nyinyi wazazi mtapungukiwa nini, kila mtu ana haki ya kuheshimkwa na kuheshimu maamuzi yake.Ni kweli tunapaswa kuheshimu maamuzi yake ya kuamua anako taka ila vile vile anapaswa aheshimu maamuzi ya wazazi wake wa kumtenga na kumkana, kwasbb wengi tunaamini suala la kupata mtoto murtard kitika ukoo nikama laana kwa ukoo lazima baba isipo weka msimamo ukoo wote utapata laana, mimi na sapoti baba mzazi kwa msimamo wake, usaliti wa mtoto bila sababu za msingi unauma huwezi kupata amani ya mwoyo.
Love, in this simple Buddhist definition, is unselfishly wishing others to be happy; to be delighted to be in their presence; to offer our affection and smiles and hugs and help freely without wanting anything in returnWhat is Love?, according to budhism 😃😃😃😃😀
nione kama unaijua dini yako, maana mm ubuza naujua.
Leta maana ya love kwenye madini yenu ya kishenzi.Love, in this simple Buddhist definition, is unselfishly wishing others to be happy; to be delighted to be in their presence; to offer our affection and smiles and hugs and help freely without wanting anything in return
Wewe mwanao au mzazi wako akienda katika ushoga uta furahia au utamtenga?Uislamu ni jihad, yaani nyie watu huwa mnafanya mambo ya ajabu sana kwani mtoto akienda kwenye imani mpya anayotaka yeye, nyinyi wazazi mtapungukiwa nini, kila mtu ana haki ya kuheshimkwa na kuheshimu maamuzi yake.
Hizi dini za watu wengine unaweza kudhani sijui huwa wanawaza kupitia kiungo gani cha mwili?Kwahyo mkuu kuwa na maoni tofauti na mzazi wako ni laana?? Mfan mim mshua akiniambia somea udaktari nika kataa nikamwambia mm nataka kusomea uinjinia, kwahyo hapo tayari laana. Ahhhahh mkuu imani yako ni ipi kwanza tuanzie hapo
😂😂😂😂😂 ila we bibi nouma sana.Muongo huyo hana cha kuritadi wala Uislam.
Angekuwa murtad si angepokelewa kwa shangwe huko alikohamia. Asingekaa na njaa hata dakika moja.
Huyo aseme kweli, ni upinde tu.
Hata mimi toka nizaliwe sijawahi kuona shoga lakini nilikuwa nasoma magezi na kuangalia TV naona mashoga karibu wote wanapatikana maeneo ya waislamu kama, Tanga, mombasa, pwani na dar pamoja na zanzibar, pia mashoga wote ninaowasoma mtandaoni wana majina kutoka kwa mudy.Mimi kwa umri wangu hu sijawahi kuona shoga live na wasikia tu kwamba wana makanisa yao, na baadhi ya makanisa ya RC mapadiri ni mashoga wanakula watoto witi, sija shuhudia kama ni kweli au la.
Mmh makubwa wewe unajua je imani ya mtu kwa kuangalia picha yake kwenye TV au kwa kutaja jina tu, tuko wengi majina yetu ayaendane na Imani mnazo fikilia, tena hapa nchini hamna sehemu kwamba 100% ni dini fulani niuongo tu tumechanganywa sana kila maeneo.Hata mimi toka nizaliwe sijawahi kuona shoga lakini nilikuwa nasoma magezi na kuangalia TV naona mashoga karibu wote wanapatikana maeneo ya waislamu kama, Tanga, mombasa, pwani na dar pamoja na zanzibar, pia mashoga wote ninaowasoma mtandaoni wana majina kutoka kwa mudy.