We kiongozi kuna kitu unakijua na sasa unalinganisha kidogo na akijuacho mtoa mada ili uje na conclusion yako ambayo itaenda sawa na mtoa mada au itatofautiana!Okay.
Umesema jini ni kiumbe roho asietokana na binadamu na pepo ni kiumbe roho anaetokana na wafu na viumbe roho wengine ambao sio binadamu.
Je viumbe roho hao wengine ni wapi? Na je mapepo ina maana ndio mizimu?
Dah, mdau matusi haya ya nini?!!!!! Kwa kosa lipi?!!!! Hv umeona kuwa habari zake zinasomwa na kujibiwa na wengi sana?Mshana ni sawa na mwanamke, leo atasema ameokoka kesho atasema amerudi kilingeni, hajui anashikilia nini...
Ni mjinga, na nimefikia kuhisi huenda ni double agent, watu wa namna hii hawafai kufuata.
Hata hivyo kuishi katika dunia hii ni inahitaji unafiki mtupu, watu wajifanya kumkiri Mungu mbele ya watu ila mambo wayatendayo sirini ni hovyo kabisa.
Mshana uache unafiki, maana unafiki Ni asili ya wachawi...
Kama nyumba za ibada zipo kwann uchawi usiwepoUganga ama uchawi haupo, ni watu wenye akili fupi tu wanaweza kuamini kitu kinaitwa uganga, uchawi, ulozi ama ushirikina, ni watu wenye akili ndogo tu wanaamini hayo mambo.
Mganga, mchawi, vibaka wezi majambazi wote boss wao ni mmojaKati ya kitu wabongo wengi hawajui ni kuwa mganga naye ni mchawi...
Hakuna kitu kama hicho nenda youtube watu wanatoa Sana Siri zao waliyofanya walipokuwa gizani na still wapo fresh tuWe toa siri zao tu,utapotezwaaaaaaaaa
Kuna waganga wanaotumia majini na wataalamu wa tiba asili yaani wajuuzi wa miti hawatumii majini.Na vipi kuhusu wanaoenda kwa waganga bila kupewa masharti yoyote zaidi ya dawa tu?
Chale ni signature ya kuwa connected kuzimu,kuzimu inakutambuaKama hiyo dawa ni hizi za kawaida za mitishamba hakuna shida kabisa.. Unajua shida kubwa hapa ipo kwenye DAMU.. Ogopa sana damu kwakuwa hii ndio imebeba uhai usiokufa
Hapana umeme haupiti pasipopitisha umeme,means sio mtu wao,labda uwachokoze uanze vita naoJe inawezekana hao viumbe roho wa wanyama wakaingilia ulimwengu wa viumbe roho wa kibinadamu?
Na je ikiwa mimi sipo kwenye cycle ya viumbe roho vya aina hizo. Mafano sifanyi matambiko na rituals zozote za ku invoke viumbe roho hivyo. Pia sijawahi kuroga mtu wala uchawi siujui, sijawahi kwenda kwa mganga wala mambo ya wanga na ulozi sijawahi kushiriki.
Yani katika nyanja hiyo unaweza kusema mimi sipo kabisa. Je watu na viumbe roho vya ulimwengu huo vinaweza kunidhuru?
Sawa mkuuWe kiongozi kuna kitu unakijua na sasa unalinganisha kidogo na akijuacho mtoa mada ili uje na conclusion yako ambayo itaenda sawa na mtoa mada au itatofautiana!
Vipi kuhusu kucha na nywele mkuu.Natangaza maslahi yangu! Mimi sio mganga na sifanyi ushirikina tena..!
Kati ya waganga wote wa kienyeji ni asililia kumi hivi kati ya mia moja ndio wakweli na kati ya hao wakweli ni asilimia 5 tu ndio wenye masharti nafuu na wanaoweza kukusaidia moja kwa moja..! Ishu ya kuwajua feki na wakweli tutaona huko mbele
Kwanza lazima tukubaliane kuwa ushirikina ni utumwa, na ushirikina ni masharti na vigezo..Na ushirikina ni kitu chenye kuhitaji update kila wakati.. Na waganga wengi ni wapigaji..!
Pamoja na shida zako zote usijaribu kwenda huko kwenye ushirikina kutafuta 'assist' huko unaenda kufanya registration kwenye data base yao na hatimaye kuwa kwenye himaya yao..MAKINIKA!
Chochote kinachohusika na ajira ama biashara ukiachana na visomo vya kidini lazima kitahusisha damu.. Automatically itakuwa damu ya mnyama hasa mbuzi na ng'ombe ama kuku.. Kwa uchache kabisa na kwa siri kubwa damu ya mtu itahusika..
Mnyama anayechinjwa kwa shughuli za ushirikina ni wazi analazimishwa kufa kabla ya muda wake wa kufa kutimia.. Vita yake yoyote ya kiroho baada ya hapo utaibeba wewe.. Kwahiyo utakuwa na vita mbili ama zaidi ya kupigana.. Vita yako, vita ya kuku, vita ya mbuzi nknk.. Na hapa ndio siri ya side effect asiyokwambia mganga, Lakini lingjne ni hili... Yule mnyama aliyetumika kukutengenezea mambo yako ana ukomo wake wa kuwa, hivyo wakati wake wa kufa ukifika, kafara ulilotengenezewa nalo hufa rasmi..! Hapo ndio utaona mambo yako yanavyoanza kuyumba na hatimaye kuharibika kabisa
Lingine ni kwamba kuna wakati katika maisha mambo huenda mrama bila sababu yoyote ile..ni asili tu inafanya kazi, wewe kwa kuhofia kuwa tayari umeshapigwa na kitu kizito tena, utakimbilia kwa mtaalam wako tena, na yeye hata kama hakuna tatizo atalitengeneza na kukutisha sana.. Juu ya yote kwakuwa tayari uko kwenye database zao kuna wakati huamua kukorofisha mambo ili tu umuendee ajione bingwa ama kuna kitu umtimizie
Mwishowe unakosa kabisa ladha ya maisha unafanya biashara lakini hutulii ni makafara kwa kwenda mbele, una kazi yako nzuri Lakini masharti ni kama yote ...unapata pesa Lakini huna furaha nazo
Mganga naye ni binadamu akiamua kula bata hutengeneza tatizo kwakuwa kila mganga ni mchawi.. Pesa ya kutengeneza tatizo ndio huwa pesa ya starehe kwakuwa haimpi masharti kama ile pesa ya kilinge inayotokana na tatizo genuine!
Mwanzoni mwa biashara, ajira na hata mahusiano na miradi mingine epuka sana kuyanajisi na ishu za giza yasije yakaja kukutesa mbeleni, kwa kuwa kuingia huko ni rahisi sana lakini kutoka ni habari nyingine..Na ni shughuli pevu
Waganga/ wachawi wako tofauti na hawa wanaotoa dawa za miti shamba? Unakuta una mchango tumbo linauma unaelekezwa kwa mtu akupatie dawa, unaenda unachukuwa dawa unakunywa, sometimes unapona au hauponi.Natangaza maslahi yangu! Mimi sio mganga na sifanyi ushirikina tena..!
Hakuna jamii ambayo imeendelea bila Mambo ya mila/waganga, Hakuna. Anzia hata huko Geita Gold Mine Mtu mweupe anapofanya kazi zake lazima mila zitumike.Dah, mdau matusi haya ya nini?!!!!! Kwa kosa lipi?!!!! Hv umeona kuwa habari zake zinasomwa na kujibiwa na wengi sana?
Uganga ama uchawi haupo, ni watu wenye akili fupi tu wanaweza kuamini kitu kinaitwa uganga, uchawi, ulozi ama ushirikina, ni watu wenye akili ndogo tu wanaamini hayo mambo.