Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Formula nyingi zimeua vijana na ndoa nyingi.
Wajiba kama Mwanaume,be a Man.

Mwanaume ni mtu wa mishe za jasho kali na akili nyingi.

Watoto wa kiume siku hizi wanatamani kuwa kama wanawake.
 
Hiyo mtajua wenyewe. Ila una hela za dagaa, umemkuta mwanamke ana maisha yake unataka umpande kichwani. Kwani kuachana shillingi ngapi. Nna rafki yangu ni head of project kwenye NGO kubwa sana. Ana date na mkaka mwaka wa sita hana kazi, anaishi nae aisee huyo kaka ana amri sio poa, nyumba ni ya mwanamke ila hataki ndugu wa mkewe pale, alifika hatua akataka mshahara wa mkewe aupangie matumizi yeye. Eti kisa mwanaume[emoji1787] ndo maana kuna sampuli huwa nazidharau sana yani gari la mwanamke, mali zake, anamvisha. Na anasaidia hadi ukweni ila jamaa boya. Na humu jf yupo kuna siku alijichanganya akafungua code[emoji1787] mada anazotoa ni za amri. Huwa nacheka kinoma. Ipo siku nitamtaja

Ukijua maana harisi ya neno MWAMAUME utaelewa
By the way nmejifunza kitu toka kwako...




Samahani unatokea ukanda wa babati-arusha-moshi?
 
Una uhakika gani hajamfungulia? Anakula mtaji, biashara ina mwaka na inaingiza faida ila kodi ikiisha anatakiwa alipe mwanamke, madeni ya mume analipa mwanamke, kwenye biashara anaweka vimada, alishawahi kuwa na biashara kubwa tu ila bado haridhiki. Nyie wanaume mngekua mnakubali madhaifu yenu mbona maisha yangekua simple sana.

Yaani hadi natamani nimtaje maana yupo humu na anasoma. Oyaa si uje uelezee

Sasa huyo ni popoma
 
Huyo ni mchawi anatumia ulozi kuishi hayo mahusiano, amini hilo, I happened to have a sister a cousin ni boya hivyo hivyo mwanaume ni mnyamwezi huyo mume sasa ni Marehemu kamtesa sana sister, uchawi ni kitu kibaya sana sana, wanaoroga ndio wanaofaidi mapenzi siku hizi
Sasa yuko humu na id yake maarufu tu anatukana wanawake. Ndo maana huwa nawajibu sana watu waache kutukana wanawake kwasababu uhalisia wao tunaujua
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


👉Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

👉Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

👉Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

👉Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

👉Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

👉Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

👉Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
Nzuri.
 
Carlos The Jackal vipi nikitaka mwanaume anipende zaidi tukitoa ya kumtiii nakumheshimu nitumie mbinu gani nimteke akili yake zaidi,maana hayo uliyoandika ndio anayoyafanya huyu mwamba [emoji122]
Kwahiyo hizi mbinu zimefanya kazi kwako mkuu sio?
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


👉Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

👉Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

👉Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

👉Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

👉Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

👉Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

👉Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
Sawa umetueleza yoote ya kweli ila sasa umetufokea sana
 
hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.
Sasa atakapokuta msg na picha ya utupu ya huyo mwanamke ndio utajua mgogoro unauweza kuucontrol au la😅😅
 
Duh! Asilimia kubwa ya Vijana wa leo wamegeuka kuwa makungwi wa ndoa wakati hao wenyewe hawaijui hata hiyo ndoa inafananaje! Kama familia kuna kazi kubwa sana ya kuwasaidia na kutoa hao watoto karika hizo fikra potofu,kikubwa utambue vile unavyo ishi na mwanamke ndivyo anavyokuchukulia
Itoshe kusema hakuna Formula ya kuishi na mwanamke,

Hawatabiriki hao viumbe... Narudia tena hawatabiriki

Kuna manzi alinianzishia vagi km utani vile, alipiga nikamwambia nilikua nimelala sasa kuna jirani akawa anapiga mziki wa juu nikashtuka nikaamka, manzi akasema usihofu tutaongea baadae eeh nikajua ni mambo ya kawaida tu yameisha haya hio baadae sasa kupiga tuongee ni ugomvi mkubwa 'unanichit huko na wanawake wako huko wanakuwashia mziki mkubwa....' namwambia 'hakuna mwanamke shida nini ugomvi ugomvi ugomvi nini shida?...' baadae nakuja kugundua kumbe ana nyege oooi hawa viumbe usiombe uwakute wameingia period ukajaa kwenye 18 zao utawaelewa vizuri kwamba wapo kwenye kipindi kipi wana mimba au wapo kwenye siku zao za kwenda mwezini

Chukua na hii....

Hawana formula na hawatabiriki muda wowote wanaweza wakakinukisha na kinanuka haswa yaan kinanuka kweli nyumba nzima uvundo unasikika leo kimevunda hata ubani hautii nguvu..

Utajashtuka unalea mtoto/watoto sio wako unageuzwa kituo cha watoto yatima na siku zote mnalala wewe na yeye kwenye kitandan kimoja na mtoto/watoto wote wanapatikana kwenye kitanda hichohicho ulichokinunua mwenyewe na mnakilalia pamoja, anawaingiza saa ngapi kumpelekea moto?

Hao ni masterminds wa dunia wakiamua kuficha Siri wanaificha kusikofikika uliza majasusi wa kike kwenye hii dunia, unawajua wangapi?...

Long live my mother's!

Hawana formula hawatabiriki narudia kwa mara ya mwisho hawatabiriki...

Anaweza akazaa mtoto kwa uchungu na kuvuja damu nyingi kiasi cha kuhatarisha uhai wake mwenyewe kisha baada ya hapo akaenda kumtupa mtoto kichakani/chooni/jalalani..

Hawatabiriki
Hawana formula...
 
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!.

Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume Bora".

Nawahakikishieni, hayo ni Maneno yao tuu lkn Moyoni ndivo wanataka waendeshwe.


[emoji117]Ni kosa Kubwa sana kumuishi mwanamke kidemokrasi !!
Piga ua garagaza, Mahusiano hayahitaji demokrasia, Mahusiano yanahitaji yawe na KIONGOZI na huyo Kiongozi lazima awe DIKTETA ( Mkoloni ) ushawah jiuliza Kwannn Wanawake wananata Kwa watu wababe wababe, waso chekacheka naye kijinga jinga ?. Kafanya jambo la ovyo, Muonye, kaleta ujinga, kunja sura, kazidisha ujingaz Tia makofi , yaan ni kwamba ajue wewe ndio KIONGOZI.

[emoji117]Usimuweke mwanamke kipaumbele ,yaan hata kama ni mkeo , Usimuweke kipaumbele ,Kipaumbele chako kiwe ni missions zako za Maisha, mwanamke mfanye awe option ya pili au ya tatu au ya nne au hata ya Tano .
Sikia najua wakati mnafanyiana intavyuu za mitongozo utasikia mwanamke anakuambia, nataka mwanaume anifanye Mimi kipaumbele chake Cha kwanza ... Acha Uboya wewe..... Maisha yako ndio yawe kipaumbele , Bro women are naturally attracted to men of purpose , nyiee wahuni, kiasili kabisaaa Toka moyon mwa mwanamkez wanapenda wavutiwe na wapate nafasi Kwa Mwanaume mwenye mission zake ,anayepambana na Maisha yake Kwa juhudi ....
Nawapa Mfano ... Kwan Suala la MBAPE kuwateka wanawake, mlidhan ni ni mwonekano wake ??. Hamnaa, ni zile juhudi alizozionyesha Ile siku ya fainali... Kama mnabisha, kama mnabisha, jiulizeni, kwann kabla ya siku ile ya fainali, walikua hata hawamsifiii MBAPE MBAPE MBAPE?? Why Ile siku??.

[emoji117]Usifanye mwanamke ajione yuko kwenye Mahusiano stable , hakikisha mwanamke wako anajua, akileta mzaha unapiga chini, unaokota chombo kingine...
Ipo hivi ,anapoona Mahusiano au Ndoa yenu imetuliaaaaa sana, anatoka kwenye Hisia na kuanza kutumia akili nahapo ndio ataanza kushangaa, una madhaifu gan.... Sasa hapa Kuna ujanja ambao inabidi uutumie ilie Bichwa lake lisiwe kubwa na akuone akikupoteza tu ndo atakua kapoteza Mwanaume wa Maisha yake ... Nilishaeleza sana hili....

[emoji117]Acha kufikiri kwamba Mwanamke atakupenda Kwa jinsi ulivyo siku zote ...
Aminin nawaambia, hakikisha siku zote unapambana kujiboresha wewe ,kuyaboresha Maisha yako, hata kama human ila aone juhudi zako na mipango .

[emoji117]Usiukwepe Wala usiukimbie Uanaume wako
Ninazungumzia uanume kwelikweli, Kuna watu watakua habari za 50/50 , acha ujingaz mwanaume ni mwanaume na Lazima u exercise Uanaume wako Daima, hamna kitu kibaya sana hapa Dunian kama ukuta Mwanaume mwenye umama Mama ndio anayeendesha Dunia .

[emoji117]Usifiche changamoto zako muda wote
ni kweli niliwahi wapa kanuni Moja isemayo "Usiache mwanamke aone chozi lako ".. Sasa hii kanuni Kuna Mahali unaiweka pemben ,. Kuna wakati Wanawake wanataka wafeel Ile sense ya "Umama yaan Mama aliyezaaa mtoto ,mama anamlea mwanaye " Sasa inapofikia mwanamke Wako anajiona Hana nafasi ni useless kwako, Mpe nafasi ya kukulea yaaan ajione ni Mama ( sio kulea kimatumizi Mbwa wewe ,utatiwa kidole, Hata Ivo inapotokea anafanya Kwa Moyo wake, kupokeaa, muache a exercise Uanamke wake, anajihisi Faraja sana kulea .

[emoji117]Usikwepe migogoro
Kuna jamaa Huwa mnanichekesha Sanaa, unakuta jamaa wanatumia Kila wanaloweza kuhakikisha migogoro haipo.... Wewe nani kakuambia ?? Siku zote utulivu ukipita kiasi, mapenzi yanaboa sanaz na yakiboaa, utaona anaanza kutafuta penye mikiki mikiki.... Ushawah jiuliza kwann wanawake wanaweza kuuamua tu kukuchokoza ili mgombane??? .

sikiaa Tena Kuna wakati unatakiwa wewe Mwanaume, Uanzishe mgogoro ambao unaweza kuucontrol wewe mwenyewe na kuupa solution wewe mwenyewe .... Yaaan unamliza- unamfurahisha wewe mwenyewe , hiii kitu Huwa inaimarisha bond ya Mahusiano...

Acha ubishi... , ni katika nyakati za majonzi na magumu ndio couples huwa wenye hutengeneza bond ya kweli, na hii huwafanya Wanawake wawe addicted Nawewe zaidi.

mfano wa huo mgogoro...

wee mwambie " Yaan Kuna Wanawake wa ajabu sana, mwanamke Mmoja Leo kazin si kaamua kuniambia óhooo Carlos nakupenda, nimekua nahisia Nawewe , nakutaman sanaaa ,nipe nafasi ".

hapa atataka kujua nini umefanya ndio? Mwambie tu , nimemwambia Sina nafasi yakumpa maana nmeoa.

hii itamzalishia Mgogoro wa nafsi juu yako, lakini bado Jibu lako linamfanya awe na kiholo Cha kutaka kujua kinachoendelea siku zote , Nawewe hapa unageuza kibao, unazidi kua unamsifia sifia ivoivo , Sasa hiii Huwa inamfanya mwanamke ajikite anakua mtumwa kwako pasipo yeye kujijua.


Mjali kwa Uwezo wako ulonao na unapoweza, Kisha peleka moto.
Kwa bandiko hili itoshe kusema: KUISHI NA MWANAMKE NI KAZI KUBWA MNO.
Ndomana ntaendelea kuwafukunyua na SIOI ng'o!
 
Back
Top Bottom