Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini


Tena kaingizwa king malaya mwenyewe hata hasomi chuo ni muuzaji kama wauzaji wengine

Exactly, yaani hili jamaa ni lishamba sana. Malaya hawezi kukupa ID yake ya kweli after just a night stand. Huyo mshkaji miyeyusho sana.

Kwa hiyo video club ilikuwa inaitwa La parte nimeenda mfululizo huo mkoa toka 2019 mpaka mwak huu club zote nazifahamu na huyo ulipata malaya wengi wao husema ni wanachuo kumbe Malaya wa Zizi huko

Mmemshambulia mleta mada bila sababu za msingi. Yeye ameleta mada kuwa siku hiyo alifurahia kuwa club na akapata mwanamke alielala nae na kufurahia na huyo mwanamke alijitambulisha kuwa ni Irene mwanafunzi wa chuo.

Sasa kuna kosa yeye kuandika hivyo? Hilo la kwamba ni malaya halimuhusu kwakuwa yeye sio mpelelezi kuanza kuchimbua historia ya mtu waliekutana kwenye starehe. Kikubwa ali enjoy hiyo siku basi.

haikuwa na haja ya kumtolea maneno ya shombo mleta mada
 
😂😂 tunataka picha

Huu ni mwaka 2024.Rekebisha sehemu hapo.Halafu,ni "dance-floor" siyo dancing floor/the floor which dances!

Bila shaka Hiyo night club inaitwa "Lockdown" na huyo mwanafunzi alikuwa anasoma "RUCU"


No wonder the national grid is overwhelmed.

Tena kaingizwa king malaya mwenyewe hata hasomi chuo ni muuzaji kama wauzaji wengine

Exactly, yaani hili jamaa ni lishamba sana. Malaya hawezi kukupa ID yake ya kweli after just a night stand. Huyo mshkaji miyeyusho sana.

Ngoja abakie huko huko iringa kwa washamba wenzake asije dar jiji la wajanja

Ume andika utazani uja wai kugonga tena toka February 2020

Ma iringa kulivyo na ukimwi sijui kama hukuubeba

Acha kukumbuka vitu kama hivyo, mwenzio hapo alikua kazini!

Kwa hiyo video club ilikuwa inaitwa La parte nimeenda mfululizo huo mkoa toka 2019 mpaka mwak huu club zote nazifahamu na huyo ulipata malaya wengi wao husema ni wanachuo kumbe Malaya wa Zizi huko


Mshamba mlima viazi wewe

Tatizo humu kuna vitoto vingi vina upwiru, halafu unawaambia ulikula kimasihara
Lazima wakutolee shombo la kutosha

Huyo irene usikute hawezi kukumbuka ameshaondoka na madanga kibao kwa mtindo huo..
Halafu usikute pia sio mwanachuo 😂
i'm back on jf after being out of it for a couple of days.i wish i could reply to your silly comments the moment i published this thread, unfortunately i was very busy.

they way you overreacted to my thread is an indicator of how serious some Tanzanians are suffering from mental illines.🤣🤣
 
Angalia kwenye kioo umuone chizi-fresh anakenua "manjino"!
 
nilikuwa nje ya makazi yangu kwa wiki nzima, nimerejea jana. nataka tuiamshe hii thread upya.

let's go guys.
 


Na hukuwahi kupata deal tena????
 
Hivi mnawezaje kuokota mwanamke club na hamjuani kisha kwenda kulala naye?
Aaah kawaida sana...inaitwa nyama bila oda.....kula nyama si lazima uweke oda au ufuge ling'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…