Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini

Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini

i can't judge you.
you must be a victim of some mental disorder. anyway thanks for your comment 🤣
Niliishi miaka ya 1980th hadi 1990th mwishoni kule Tabora.Kuna mwehu mmoja aliitwa Amani-mwehu.Alipenda sana kuongea na kuandika broken-english!
 
Na hukuwahi kupata deal tena????
ndio kwanza nimerudi jana hapa kwangu, i was on a 7 days trip to five regions of tanzania. jiulize ilikuwa trip ya vacation or deal la kazi.🤣
 
Niliishi miaka ya 1980th hadi 1990th mwishoni kule Tabora.Kuna mwehu mmoja aliitwa Amani-mwehu.Alipenda sana kuongea na kuandika broken-english!
i thought you could counter me in english to prove your english proficiency.🤣🤣
 
hiki ndio nilichikitaja,naona uzi wangu unaanza kutembea upya.,🤣
 
write in English please, I can't understand you.🤣🤣
Mimi ni mpagazi wa watalii.Nasikia,kuelewa na kujibu lugha yoyote kwa kiswahili.
NB-acha kupenda mteremko.Toa ushuru nikufunze lugha.
-Hatulazimishani kuandika lugha fulani.Wewe endelea na "broken-mwanjoka" zako.
 
Mimi ni mpagazi wa watalii.Nasikia,kuelewa na kujibu lugha yoyote kwa kiswahili.
NB-acha kupenda mteremko.Toa ushuru nikufunze lugha.
-Hatulazimishani kuandika lugha fulani.Wewe endelea na "broken-mwanjoka" zako.
it's not part of my concern to know what you do.

my main request here is you to write your comments in english.period.
 

Attachments

  • 200w.gif
    200w.gif
    1.4 MB · Views: 3
m
Mmemshambulia mleta mada bila sababu za msingi. Yeye ameleta mada kuwa siku hiyo alifurahia kuwa club na akapata mwanamke alielala nae na kufurahia na huyo mwanamke alijitambulisha kuwa ni Irene mwanafunzi wa chuo.

Sasa kuna kosa yeye kuandika hivyo? Hilo la kwamba ni malaya halimuhusu kwakuwa yeye sio mpelelezi kuanza kuchimbua historia ya mtu waliekutana kwenye starehe. Kikubwa ali enjoy hiyo siku basi.

haikuwa na haja ya kumtolea maneno ya shombo mleta mada
mtu pekee ambaye umekuwa very positive kwenye uzi huu. shukrani sana ndg.
 
Back
Top Bottom