Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini

Usiku mzuri ninaoukumbuka mwaka 2020 ndani ya Iringa Mjini

i'm back on jf after being out of it for a couple of days.i wish i could reply to your silly comments the moment i published this thread, unfortunately i was very busy.

they way you overreacted to my thread is an indicator of how serious some Tanzanians are suffering from mental illines.🤣🤣
Iam grateful for such appellation
 
A
Sasa Malaya atakukumbuka kweli...??, ukute hio saa 9 mnakutana alishatoka kula zake vichwa kama vitano ndo akadondokea kwako.
Wanaume washamba wa malaya kama wewe mnatakiwa mchunwe hela zote hadi ngozi ndo akili iwakae sawa. Unaenda kulala na mtu mmekutana usiku, akikufia mule hotelini utasemaje..?
Acha nature ifanye Kazi yake wewe mura
 
Naona wana wanakushukia hadi sio poa.
hawaniwezi, huu uzi ni wangu mimi,ukiona member wengine wanajipa shughuli ya kuushambulia uzi wako negatively, means wa wamevutiwa na mada husika.

wanabahati nilisafiri maeneo ambayo yana mawasiliano hafifu ya internet. otherwise ningewapelekea moto siku ileile nilipoupandisha uzi huu.
 
i'm back on jf after being out of it for a couple of days.i wish i could reply to your silly comments the moment i published this thread, unfortunately i was very busy.

they way you overreacted to my thread is an indicator of how serious some Tanzanians are suffering from mental illines.
 
Mmemshambulia mleta mada bila sababu za msingi. Yeye ameleta mada kuwa siku hiyo alifurahia kuwa club na akapata mwanamke alielala nae na kufurahia na huyo mwanamke alijitambulisha kuwa ni Irene mwanafunzi wa chuo.

Sasa kuna kosa yeye kuandika hivyo? Hilo la kwamba ni malaya halimuhusu kwakuwa yeye sio mpelelezi kuanza kuchimbua historia ya mtu waliekutana kwenye starehe. Kikubwa ali enjoy hiyo siku basi.

haikuwa na haja ya kumtolea maneno ya shombo mleta mada
 
hawaniwezi, huu uzi ni wangu mimi,ukiona member wengine wanajipa shughuli ya kuushambulia uzi wako negatively, means wa wamevutiwa na mada husika.

wanabahati nilisafiri maeneo ambayo yana mawasiliano hafifu ya internet. otherwise ningewapelekea moto siku ileile nilipoupandisha uzi huu.
Ulienda kujitibu gono ukatelekeza uzi.Unataka kudanganya kwamba ulipoenda hakuna network/internet wala vocha za kununulia bando?Ungetumia hata vocha za kilimo?
 
Kwa hiyo video club ilikuwa inaitwa La parte nimeenda mfululizo huo mkoa toka 2019 mpaka mwak huu club zote nazifahamu na huyo ulipata malaya wengi wao husema ni wanachuo kumbe Malaya wa Zizi huko
Hahahaaaa zizi lang'ombe kwamama hossana pale dukan
 
another victim of mental disorder has decided to leave a comment on my thread to prove how stupid she/he is.

i need more people like you, please never forget to invite your fellow psychos.🤣🤣
undepi wewe au pivi..?
 
Umeingia lini mjini mzee?kama ulikua hujui kila malaya siku hizi huwa wanadanganya ni wanafunzi wa chuo flani,hapo dar kila malaya utasikia anasema ni mwanafunzi wa udsm au Ifm.
 
Umeingia lini mjini mzee?kama ulikua hujui kila malaya siku hizi huwa wanadanganya ni wanafunzi wa chuo flani,hapo dar kila malaya utasikia anasema ni mwanafunzi wa udsm au Ifm.
take that speech to 20-25 years kids, not me. i'm over it.
 
Back
Top Bottom