Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Niliishi miaka ya 1980th hadi 1990th mwishoni kule Tabora.Kuna mwehu mmoja aliitwa Amani-mwehu.Alipenda sana kuongea na kuandika broken-english!i can't judge you.
you must be a victim of some mental disorder. anyway thanks for your comment 🤣
Umetoa ada ya tuisheni?Hata ukirekebishwa unaweka kichwa ngumu kama mbegu ya ubuyu.i thought you could counter me in english to prove your english proficiency.🤣🤣
Mimi ni mpagazi wa watalii.Nasikia,kuelewa na kujibu lugha yoyote kwa kiswahili.write in English please, I can't understand you.🤣🤣
Umekuta hatuna kazi.Tumeamua kukuliwaza mdandia machangu hovyo.Tunakufanyia ubinadamu tu.Mola akurehemu.hiki ndio nilichikitaja,naona uzi wangu unaanza kutembea upya.,🤣
it's not part of my concern to know what you do.Mimi ni mpagazi wa watalii.Nasikia,kuelewa na kujibu lugha yoyote kwa kiswahili.
NB-acha kupenda mteremko.Toa ushuru nikufunze lugha.
-Hatulazimishani kuandika lugha fulani.Wewe endelea na "broken-mwanjoka" zako.
Sawa.Lakini,mpangilio wa uandishi/punctuation ni changamoto kwako.it's not part of my concern to know what you do.
m
y main request here is you to write your comments in english.period.
Inaonesha "of course/ofcos" ndiyo neno lako catalyst kwenye mazungumzo vijiweni!ofcos you are one of those unemployed tanzanians.i feel sorry for you🤣🤣
Utaelewa tu wewe "changudoa-lover"!english please.i can't understand you.🤣🤣
Inaonesha "of course/ofcos" ndiyo neno lako catalyst kwenye mazungumzo vijiweni!i
i insist, english please. at least one paragraph. prove me wrong that your english proficiency is low.Inaonesha "of course/ofcos" ndiyo neno lako catalyst kwenye mazungumzo vijiweni!
Sijui kabisa kiingilishi!Umefurahi?i insist, english please. at least one paragraph. prove me wrong that your english proficiency is low.
mtu pekee ambaye umekuwa very positive kwenye uzi huu. shukrani sana ndg.Mmemshambulia mleta mada bila sababu za msingi. Yeye ameleta mada kuwa siku hiyo alifurahia kuwa club na akapata mwanamke alielala nae na kufurahia na huyo mwanamke alijitambulisha kuwa ni Irene mwanafunzi wa chuo.
Sasa kuna kosa yeye kuandika hivyo? Hilo la kwamba ni malaya halimuhusu kwakuwa yeye sio mpelelezi kuanza kuchimbua historia ya mtu waliekutana kwenye starehe. Kikubwa ali enjoy hiyo siku basi.
haikuwa na haja ya kumtolea maneno ya shombo mleta mada