Usile Chakula cha Msibani au kwenye Sherehe bila kuomba

Usile Chakula cha Msibani au kwenye Sherehe bila kuomba

Haloo habari ya saizi

Kama mada tajwa hapo juu

Kama umepata nafasi kuhudhuria maharusi, msiba hakikisha unaomba kabla hujala utanishukuru baadae
Vyakula vya misiba ya dini yetu, baada ya mtu kukamuliwa tumbo, maji kidogo toka tumboni huchotwa na kuchanganywa na wali. Mtakula na wote mtashiba hata kama chakula kilikuwa kidogo
 
Back
Top Bottom