cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
ndio leo naisikia hii.
Hii niliambiwa pia zamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio leo naisikia hii.
basi kweli kuna haja ya kuomba sana tena, ila kuepukana na yote ni bora kutokula kabisa tu.Hii niliambiwa pia zamani.
Umeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"kibaya zaidi wao wenyewe hawapo tayari kukanusha
Yesuuu 🙆♀️Vyakula vya misiba ya dini yetu, baada ya mtu kukamuliwa tumbo, maji kidogo toka tumboni huchotwa na kuchanganywa na wali. Mtakula na wote mtashiba hata kama chakula kilikuwa kidogo
Sio kweliUmeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
ile ya kujifunika shuka asili yake ni kwa waarabu na kiukweli sio kabisa sehemu ya ibada ya mazishi kwa kadri ya imani ila mapokeo ndo yanatuponza.Umeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
DuhUmeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
Kuna nini tena??Haloo habari ya saizi
Kama mada tajwa hapo juu
Kama umepata nafasi kuhudhuria maharusi, msiba hakikisha unaomba kabla hujala utanishukuru baadae
Bangi ikishapungua nguvu rudi utuelezee undani wa heading uliyoiwekaHaloo habari ya saizi
Kama mada tajwa hapo juu
Kama umepata nafasi kuhudhuria maharusi, msiba hakikisha unaomba kabla hujala utanishukuru baadae
Dahhh!!Alafu inakuwaje tena??Umeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
Haya Makubwa sasaVyakula vya misiba ya dini yetu, baada ya mtu kukamuliwa tumbo, maji kidogo toka tumboni huchotwa na kuchanganywa na wali. Mtakula na wote mtashiba hata kama chakula kilikuwa kidogo
😂😂😂😂😂😂😂 hebu ngoja waanaojua waje atujuzeUmeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
ni kweli hili??? sjawahi kusikiaVyakula vya misiba ya dini yetu, baada ya mtu kukamuliwa tumbo, maji kidogo toka tumboni huchotwa na kuchanganywa na wali. Mtakula na wote mtashiba hata kama chakula kilikuwa kidogo
Ni dhihaka zao za kila siku.
Hakuna ukweli katika hili...ni kweli hili??? sjawahi kusikia
si unajua sisi hatufiki makaburini nimetaka kushangaa kwamba nikifa na mm nitachinjwa tena baada yakufaNi dhihaka zao za kila siku.