Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai ya moto hiyo..Umeona eeeh? Halafu wakati wanazika huwa wanajificha na shuka inasemekana wanamkata koo "kumchiinja marehemu"
Kumbaf wwVyakula vya misiba ya dini yetu, baada ya mtu kukamuliwa tumbo, maji kidogo toka tumboni huchotwa na kuchanganywa na wali. Mtakula na wote mtashiba hata kama chakula kilikuwa kidogo
Kwakweli namm nime yasikia haya, kuna jamaa yangu alikua anafanyiwa kisomo, sasa wkt wa mlo kuna jamaa akanitonya, kua vyakula haswa nyama ya mnyama alio chingwa pale, bora kinywaji maana ukila rizki zako zita kwenda kwake, mm mpaka sasahv km hiz Birthday sijui maulidi ati mtu kachinja mbuzi naskia kuna mambo flan pale yanafanyika 😄😄😄Hakuna ukweli katika hili...
Vipi kwenye harusi watachukua nini, vipi hakika ama hitma?
[emoji1] hii haikwepi basi
Ova
Ni mambo ya kishirikina hayo.Kwakweli namm nime yasikia haya, kuna jamaa yangu alikua anafanyiwa kisomo, sasa wkt wa mlo kuna jamaa akanitonya, kua vyakula haswa nyama ya mnyama alio chingwa pale, bora kinywaji maana ukila rizki zako zita kwenda kwake, mm mpaka sasahv km hiz Birthday sijui maulidi ati mtu kachinja mbuzi naskia kuna mambo flan pale yanafanyika 😄😄😄