Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Pale pembeni ya martin lutherWakazi wa Dodoma inawahusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale pembeni ya martin lutherWakazi wa Dodoma inawahusu.
Kuna mmoja tuliukata sehemu aisee mambo yalikiwa mengi sana basi tuUsemacho kina ukweli,Kuna mtu yalimkuta
Miembe mikubwa, mikaratusi n.kUsemacho kina ukweli,Kuna mtu yalimkuta
Hakuna sehemu nisiyofika Tanzania hii broBado kijana mdogo tembea uyaone acha kuongea kirahisi ivo.
Mi ndo napenda viwanja vya hivyo.Habari wadau
Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!
Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania
Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!
Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Ukihitaji nicheki tutakuunganisha vipo wenyewe vimewashindaMi ndo napenda viwanja vya hivyo.
Niinyooshe michawi vzr
Kumbe ni bar ya wachawi kwamba leo iddi wanakuja kula bata hapo mpaka kuchee
Shida haipo kwenye kumiliki, tatizo ni pale utakapo taka kuukata ndipo utajua kwanini ulianza kama mchichaMimi nimenunua kiwanja chenye mbuyu wa tangu enzi na watu wote wa mji walikuwa wanategemea mzimu huo kujitibu na kuangamiza, lengo niliutaka mimi ule mbuyu ikabidi nitumie akili ya kulinunua lile eneo, dunia ina mambo hii.
Ilikuaje mkuu mwisho wa siku!?Mimi nimenunua kiwanja chenye mbuyu wa tangu enzi na watu wote wa mji walikuwa wanategemea mzimu huo kujitibu na kuangamiza, lengo niliutaka mimi ule mbuyu ikabidi nitumie akili ya kulinunua lile eneo, dunia ina mambo hii.
Umejuaje, au nawe ni mmoja wao?Usimwache mwanamke mchawi kuishi...
Wachawi na washirikina mibuyu ndio makutano yao...
Kuumiliki pia ni shida kubwa haswa usipojua maana au kuishi nao maana hamtaendana.Shida haipo kwenye kumiliki, tatizo ni pale utakapo taka kuukata ndipo utajua kwanini ulianza kama mchicha
Kuna level ukifika wakianza kuutumia utakushinda kuukata! Inapendwa sana hiyoKuna mbuyu shambani kwangu ,nilinunua shamba ukiwa mdogo sana ila unakua kwa Kasi sana nahisi jamaa wanauwekea mbolea kisirisiri,je nao una madhara?
Kuna mzee mmoja tulimwambia huko Kigamboni kwamba asikate kienyeje!Hii dunia ina mambo sana najua Kuna watu hawawezi kukuelewa kabisa ngoja siku yawakute ndio wataelewa
Kuwahamisha ni gharama, bifu lake ni kama la loliondo na wawekezajiKuumiliki pia ni shida kubwa haswa usipojua maana au kuishi nao maana hamtaendana.
Kwenye Bible wameuandika maana yake upoHamna kitu kama uchawi we vuta yale majani kama vipi jifukize au changanya na maji pika kunywa kama chai