Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Nafuatilia aisee......kwa comment humu bado hatujafika ulimwengu wa sayansi na teknolojia
Kuna mahala hata sayansi inacolapse!
Jiulize kwanini umeme uligoma kuwaka walipopitisha juu ya kaburi la chifu wa kihehe kule iringa?

Mafundi tulioko site tunajua changamoto Kuna sehemu hata sururu haipondi, greda inabust mataili yote kwa mpigo, kijiko kinavunjika hata kama ni kipya!
Kuna site moja tulikwenda mafundi tulipofika pale ukatokea ugomvi tukaanza kuchapana ngumi wenyewe bila sababu hadi shughuli ikashindikana! Tulipasua kweli kweli had I Leo hakuna anaejua sababu ila kwakweli tulichapana mikwaju wenyewe kwa wenyewe hadi tukatawanyika.

Yapo matukio mengi sana jaman ya kusimulia! Ndiyo maana nasema nikisanga! Anaetaka ushuhuda anitafte tuko Instagram @samico_tanzania
 
Kuna mahala hata sayansi inacolapse!
Jiulize kwanini umeme uligoma kuwaka walipopitisha juu ya kaburi la chifu wa kihehe kule iringa?

Mafundi tulioko site tunajua changamoto Kuna sehemu hata sururu haipondi, greda inabust mataili yote kwa mpigo, kijiko kinavunjika hata kama ni kipya!
Kuna site moja tulikwenda mafundi tulipofika pale ukatokea ugomvi tukaanza kuchapana ngumi wenyewe bila sababu hadi shughuli ikashindikana! Tulipasua kweli kweli had I Leo hakuna anaejua sababu ili tulichapana mikwaju wenyewe kwa wenyewe hadi tukatawanyika.

Yapo matukio mengi sana jaman ya kusimulia! Ndiyo maana nasema nikisanga! Anaetaka ushuhuda anitafte tuko Instagram @samico_tanzania
Kwa Kiyeyeu ile ni story tu mkuu, waligoma kupokea fidia wakafanya divertion
 
Sayansi na teknolojia ndio kichaka chenu cha kujifichia?
Sio kichaka cha kujifichia, shida katika maisha yetu halisi huwa kuna kaunafiki flani watu wanavyoishi utasema elimu ya jadi haipo vichwani mwao, na ndio maana nikasema kwa comment hizi bado hatupo kwenye ulimwengu wa sayansi ya teknolojia wala sijakupinga na imani yako
 
Saa
Hamna kitu kama uchawi we vuta yale majani kama vipi jifukize au changanya na maji pika kunywa kama chai
Sasa hapo kwenye kuchanganya na maji na kupika kunywa kama chai🤔 unataka watu wapagawe si ndio
maana hyo kitu ni hatari kwa mtu asiyewahi kutumia
 
Kuna mahala hata sayansi inacolapse!
Jiulize kwanini umeme uligoma kuwaka walipopitisha juu ya kaburi la chifu wa kihehe kule iringa?

Mafundi tulioko site tunajua changamoto Kuna sehemu hata sururu haipondi, greda inabust mataili yote kwa mpigo, kijiko kinavunjika hata kama ni kipya!
Kuna site moja tulikwenda mafundi tulipofika pale ukatokea ugomvi tukaanza kuchapana ngumi wenyewe bila sababu hadi shughuli ikashindikana! Tulipasua kweli kweli had I Leo hakuna anaejua sababu ili tulichapana mikwaju wenyewe kwa wenyewe hadi tukatawanyika.

Yapo matukio mengi sana jaman ya kusimulia! Ndiyo maana nasema nikisanga! Anaetaka ushuhuda anitafte tuko Instagram @samico_tanzania
Hahaaaaaa, nimecheka sana mkuu. Chanzo cha kupigana ni nini? Ilikuwa wapi hii?
 
Usimwache mwanamke mchawi kuishi...

Wachawi na washirikina mibuyu ndio makutano yao...

Unasapoti mauaji ya watu wanaohisiwa kuwa ni washirikina?

Kuamini ushirikina Karne hii ni uzwazwa.
 
Unasapoti mauaji ya watu wanaohisiwa kuwa ni washirikina?

Kuamini ushirikina Karne hii ni uzwazwa.
Unavyojidanganya hivyo na hii karne haimaanishi kwamba ushirikina haupo. Uchawi upo, tumeshuhudia kwa macho yetu ya nyama.
 
Kuna mahala hata sayansi inacolapse!
Jiulize kwanini umeme uligoma kuwaka walipopitisha juu ya kaburi la chifu wa kihehe kule iringa?

Mafundi tulioko site tunajua changamoto Kuna sehemu hata sururu haipondi, greda inabust mataili yote kwa mpigo, kijiko kinavunjika hata kama ni kipya!
Kuna site moja tulikwenda mafundi tulipofika pale ukatokea ugomvi tukaanza kuchapana ngumi wenyewe bila sababu hadi shughuli ikashindikana! Tulipasua kweli kweli had I Leo hakuna anaejua sababu ili tulichapana mikwaju wenyewe kwa wenyewe hadi tukatawanyika.

Yapo matukio mengi sana jaman ya kusimulia! Ndiyo maana nasema nikisanga! Anaetaka ushuhuda anitafte tuko Instagram @samico_tanzania

Ni aibu watu wenye jukumu la kuelimisha jamii mnapoupotosha umma.

Kuhusu kaburi la Kiyeyeu kule Isimila Iringa ukweli ni huu: Survey ya kwanza ya kupitisha nyaya za umeme eneo hilo ilifanyika bila kuzingatia uwepo wa makaburi hayo ya familia ya Kiyeyeu. Nguzo zilipofikishwa hapo ikaonekana kuwa nyaya za umeme itabidi zipite juu ya makaburi hayo, hivyo yakaibuka masuala ya FIDIA KWA FAMILIA YA KIYEYEU NA KUHAMISHA YALE MAKABURI. Kwa kuwa mradi ulikwisha anza, wenye mradi wakaamua kuyakwepa makaburi hayo ili kutatua matatizo hayo mawili niliyoyataja. Hilo watu hawakuambiwa hali ambayo imeelekea kuleta tafsiri potofu kama inavyoenezwa!

Aidha 2010 TANROADS ilifukua na kulitupilia mbali huko na hamna kitu kilitokea. Link hii hapa:


Mitanganyika mkisia story kwamba ni ushirikina mnaamini moja kwa moja bila reasoning yeyote ile ndo maana nasema story za ushirikina ni story za kusadikika zinazoaminiwa na mazwazwa karne hii. Hazinaga ukweli kila mtu anakwambia nimesikia blah blah ni hearsay tu.
 
Kuna mti Mimi nimezaliwa nimekuta Hadi Leo Nina miaka mingi,watoto,lakini huo mti Kijiji kizima hakuna wa kuukata,
Kuna mwaka walijaribu kuukata ukaanza kuvuja damu
 
Hakuna sehemu nisiyofika Tanzania hii bro
Basi hujaijuwa dunia bado, hujatembea duniani.

Kuna mwaka mpya ulinikuta nchini Ujerumani usiku saa 6 walikuwa wanawasha moto mkubwa sana kuukaribisha mwaka, nikijaribu kuwauliza wenyeji wangu wazungu walieleza vitu sikuwahi kufikiria kwamba wazungu wanaamini uchawi.

Ndio kwa mara ya kwanza nikapata siri ya familia ya mume wa Malikia elizabeth wale si binadamu wa kawaida ni damu ya kijini.

Yako mengi sana hayo ni kwa uchache tu usikumbatie ujinga, kuna rafiki yupo Uswiss anawatowa mapepo wazungu.
 
Back
Top Bottom