Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Kuna jirani yetu kipindi nipo Mwanza. Alipewa kazi ya kukata mti mkubwa kwenye kiwanja cha mtu. Baada ya kumaliza kukata. Alikaa kama siku 3 naye alikufa.
Hamna kitu ukiwekea imani ya uchawi hapo unaupata kweli ila ukitoa hela vijan wa kazi wanachimba hadi mizizi yote na hakuna kizuizi chochote cha kichawi
 
Ukiumwagia petrol na diesel kwa wingi sana na manyasi kwa wingi kwelikweli maana huwa na pango katikati itakuwaje wajuzi naona hii ndio njia rahisi kabisa
 
Tiririka mkuu...... Gily
Nilinunua nyumba manzese na nyumba ilikuwa na mchongoma mkubwa tu. Hii nyumba nilivyunza yote nikataka kujenga upya. Nikamlipa kijana wa kwanza aende kuukata mti aliponifata jioni mkono umevimba kashindwa kuukaa nikamuona huyu muhuni atakuwa kaenda kuzurura hakufanya kazi alilalamika mkono unamuuma sana.

Nikamwambia mwingine mtu mzima akate ule mti kwa malipo. Yule mzee nae alihangaika siku mzima kila akikata michongoma inamuumiza alikuja mkono umevimba pia matawi aliweza kukata ila ndo kakwaruzika mwili mzima. Usiku wake aliumwa sana mkono huyu mzee. Ila alisugua mkono na majani gani sijui ukakaa sawa ndo alikuja kunipa mrejesho

Nikaja nikampa kaz Tino kaangaika nao inabidi amwambie babu yake mganga akampa dawa na ndo akafanikiwa kuukata. Nakumbuka nilimpa elfu 20 kuukata ule mti, kwa madai yake aliweka dawa kwanza ndo maana alifanikiwa kuukata. Kwa maelekezo yake ule mti ulikuw unatumika na wachawi na walikuwa wamehifadhi vitu vyao hapo ili wavitumie wakienda kupaa usiku. .
 
Nilinunua nyumba manzese na nyumba ilikuwa na mchongoma mkubwa tu. Hii nyumba nilivyunza yote nikataka kujenga upya. Nikamlipa kijana wa kwanza aende kuukata mti aliponifata jioni mkono umevimba kashindwa kuukaa nikamuona huyu muhuni atakuwa kaenda kuzurura hakufanya kazi alilalamika mkono unamuuma sana.

Nikamwambia mwingine mtu mzima akate ule mti kwa malipo. Yule mzee nae alihangaika siku mzima kila akikata michongoma inamuumiza alikuja mkono umevimba pia matawi aliweza kukata ila ndo kakwaruzika mwili mzima. Usiku wake aliumwa sana mkono huyu mzee. Ila alisugua mkono na majani gani sijui ukakaa sawa ndo alikuja kunipa mrejesho

Nikaja nikampa kaz Tino kaangaika nao inabidi amwambie babu yake mganga akampa dawa na ndo akafanikiwa kuukata. Nakumbuka nilimpa elfu 20 kuukata ule mti, kwa madai yake aliweka dawa kwanza ndo maana alifanikiwa kuukata. Kwa maelekezo yake ule mti ulikuw unatumika na wachawi na walikuwa wamehifadhi vitu vyao hapo ili wavitumie wakienda kupaa usiku. .
Huwa ni kisanga siyo mchezo
 
Kuna mzee mmoja tulimwambia huko kigamboni kwamba asikate kienyeje!
Siku ya kwanza shoka ikavunjika mpini wala haukukatika, akaona aite chain saw!
Akaiwasha ikaunguruma na kusambaratika vipande!
Lakini hakutosheka akachukua nyingine!
Awamu hiyo akafanikiwa kuukata wote lakini ukabaki unaelea hewani!
Asubuhi yake mbuyu ulivyodondoka na yule mzee akafa! Siku ile ile!
Wengine wanakufa kwa pressure kutokana na simulizi mbalimbali za kichawi na tayari kichwani anakuwa amekaribisha hofu...ni sawa na mtu anaeamini bundi akilia juu ya paa au mti ni uchuro hivyo kama ana magonjwa haya ya pressure anajikuta usiku ule na asubuhi yake anashinda na mawazo kutwa nzima na akikutana na wananzengo wenzake wana hofu pia kutokana na tukio la usiku anajikuta afya inadhohofika mara kisukari mara pressure imepanda, mara paap amedondoka
 
Wengine wanakufa kwa pressure kutokana na simulizi mbalimbali za kichawi na tayari kichwani anakuwa amekaribisha hofu...ni sawa na mtu anaeamini bundi akilia juu ya paa au mti ni uchuro hivyo kama ana magonjwa haya ya pressure anajikuta usiku ule na asubuhi yake anashinda na mawazo kutwa nzima na akikutana na wananzengo wenzake wana hofu pia kutokana na tukio la usiku anajikuta afya inadhohofika mara kisukari mara pressure imepanda, mara paap amedondoka
Ni kweli lakini hiyo miti mikubwa hususani mibuyu na miembe mikubwa siyo ya kuchukulia poa!
 
Kifupi ni hivi, ukinunua kiwanja chenye mti mikubwa hakikisha anayekuuzia anakata hu mti mwenyewe. Mie nilinunua chenye mchongoma mmoja mkubwa aisee kuukata ule mti ulikuwa mtihani mkubwa sana. .
Tueleze changamoto tukuelewe vizuri boss
 
Ruaha National Park. Usikojoe hovyo kwene hii miti nyeti yako inaweza kupotea ghafla
ruaha-giant-baobabs-786x500.jpg
 
Cc.@Mshana Jr tupatie elimu kidogo hapa mzee wa kazi
 
Back
Top Bottom