Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Kwangu nimeuchimba hadi mizizi lile shimo nikaendeleza hapo choo kabisa tena la 17ft lilipitiliza urefu na upana wa 25ft na wachimbaji walikula laki 450,000 tuu

Ulipata shida sana, nunua chumvi kilo kadhaa kutegemea na ukubwa wa mbuyu, uchimbe, weka changanya na oil chafu, njoo wiki tatu utakuta mbuyu umekufa umeoza.. kazi kwisha... nilitumia roughly 120,000/= tu.
 
Kwahiyo akili ni kuamini meli inaelea halafu kupiga kama watu hupaa na ungo?
Usichokijua usiamini hakipo ni suala la muda tu! Endelea kukua!

Meli haielei kwa imani na kila mtu anaona meli ikielea sio story za hearsay.

On the other end, story za ushirikina including hii yako zote ni story za blah blah mara nimesikia, sijui nimeona ukiambiwa thibitisha huwezi mnataka watu waamini bila reasoning whatsoever. Huu ni uzwazwa.

Mwaka jana kuna mtu alileta uzi humu jukwani unaoendana na huu wako, alisema huko Kigoma kuna diwani alifariki na kufufuka kichawi. Kama kawaida mitanganyika ikaamini pasi na shaka kama inavyoamini hapa. Hamna kufikiri kama nyumbu. Niliuliza swali moja tu, naomba jina la huyo diwani ukizingatia diwani ni public office naweza kuverify hiyo taarifa, zaidi niliahidi kutoa laki 5 kwa mtu yeyote yule atayenipa jina la huyo diwani, chenga nilizopigwa sijawahi kuona hadi leo jina sijapata. Ukiweza wasaidie wenzio ujipatie laki5 kwa kutaja jina tu. Link ya uzi hii hapa:

 
Ulipata shida sana, nunua chumvi kilo kadhaa kutegemea na ukubwa wa mbuyu, uchimbe, weka changanya na oil chafu, njoo wiki tatu utakuta mbuyu umekufa umeoza.. kazi kwisha... nilitumia roughly 120,000/= tu.
Unauchimba mbuyu wenyewe au chin kwenye mizizi
 

Basi hamna wacha Mungu humu ndo maana majini tumeingia 🀣 🀣 miafrika tunasafari ndefu sana.
 
Ulipata shida sana, nunua chumvi kilo kadhaa kutegemea na ukubwa wa mbuyu, uchimbe, weka changanya na oil chafu, njoo wiki tatu utakuta mbuyu umekufa umeoza.. kazi kwisha... nilitumia roughly 120,000/= tu.
Huo mbuyu kadri utakavyokuwa unanyauka na kuoza na wewe unaoza na kukonda taratibu!
Wachawi huona nia njema na ovu! Ukienda kwa nia ya kuharibu na wao watakuharibu
 
Watu tunakata iwe mibuyu au miembe na hakuna shida.
Yaani niache kununua shamba/kiwanja kisa imani za kingese za uchawi?
Mm najua namna ya kuwashikisha kaa la moto.
 
Watu tunakata iwe mibuyu au miembe na hakuna shida.
Yaani niache kununua shamba/kiwanja kisa imani za kingese za uchawi?
Mm najua namna ya kuwashikisha kaa la moto.
Hujaambiwa uache, Uzi umesema wazi endapo huna uwezo kushindana acha!
 
Wewe una imani haba
Mbuyu ni mti kama mti mwingine.
Mimi nina mibuyu miwili katika plot yangu kubwa, alikuja jamaa tapeli, ati mganga, akaweka vitambaa vyekundu!
Nikavichomoa na kuvipiga kiberiti.
Nikamwita huyo jamaa , na nikammwambia aache chokochoko, akapotelea mbali huku akiugua akifikiri mie nina "fundi" mkali.
Nikawaambia tu majirani, imani yangu iko vizuri, siamini mambo yasiyo na tija.
 
Hamna kitu ukiwekea imani ya uchawi hapo unaupata kweli ila ukitoa hela vijan wa kazi wanachimba hadi mizizi yote na hakuna kizuizi chochote cha kichawi
Mh wakati nipo mdogo shule tukifagia tulikuwa tunakuta mibuyu imeota asa mm nilikuwa naing'oa nikaambiwa ukifanya ivyo hutopata mtot up now no child I don't know that it's true or not
 
Lete namba mkuu ...ukakate mbuyu mmoja sehemu upo! Tusiandikie mate na wino upo! Nauli na kila kitu bosi atalipa! Yeye anataka mbuyu utoke!
Lete namba nikupe hilo dili ni hapo pwani wala siyo mbali! Posho utapewa
 
Lete namba mkuu ...ukakate mbuyu mmoja sehemu upo! Tusiandikie mate na wino upo! Nauli na kila kitu bosi atalipa! Yeye anataka mbuyu utoke!
Lete namba nikupe hilo dili ni hapo pwani wala siyo mbali! Posho utapewa
Niliyo kuambia ni ploti yangu mwenyewe, tena iko Pwani.
Sifanyi biashara ya kukata miti.
Ukikubali moyo na roho yako ididimizwe na washirikina, hiyo ni hiyari yko
 
Pale Yombo Dovya kuna mibuyu miwili ilikatwa Shule na Chama aisee mpaka wanataka ilibidi watu wa kitabu waje, nakumbuka ilikua 2011 barabara inajengwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…