Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Wewe kenge unaleta story za kipuuzi ukadhani kila mtu ni mjinga. Halafu sio kila kitu akifanya mzungu kipo sahihi. Shule nimesoma na nina elimu ya kutosha. Kuhusu lugha nimeshavuka kwenye kiingereza kwa sasa hivi nakaribia kukijua kifaransa. Slay queens ndo huwa wana mambo ya kuongea kiswanglish. Wewe ni slay queen?
1. Nakuheshimu sana
2. Tukishindana shule na exposure kwa umri wangu na exposure zangu. Sio jambo jema
3. Kiswahili ningekuwa na hard times to express my findings.
4. Emotional expressions haisaidii hili jambo. Changia mada kwa lugha yoyote ni sawa. Sio kugombana aijengi.
5. Hizi sio story mzee ndo maana kuna link za research. Tunatoa personal experience na research findings.
6. Thread sio ya kijiweni sheikh. Tuna references
7. Kama kweli una shule na elimu. Toa tuone na reference hatuna shida. Ila sio kujitapa
 
Haya mambo vijana wa sikuhiz zingatieni sana pia OGOPA NA USIJARIBU KUOA MWANAMKE AMBAYE MAMA YAKE NDIYE ALIKUWA ANA SAUTI KWA MUME WAKE, Wanawake waliotoka ktk familia ambazo mama zao walikua Wana saut kwasabab ya kipato kikubwa au kiburi au jeuri. Hakika wanakuwa wamerithi hizo tabia kwa kujua au kutojua na kamwe hawawez kuziacha, kwahio na wao wakiolewa watafanya upumbav wa mama zao...
 
1. Nakuheshimu sana
2. Tukishindana shule na exposure kwa umri wangu na exposure zangu. Sio jambo jema
3. Kiswahili ningekuwa na hard times to express my findings.
4. Emotional expressions haisaidii hili jambo. Changia mada kwa lugha yoyote ni sawa. Sio kugombana aijengi.
5. Hizi sio story mzee ndo maana kuna link za research. Tunatoa personal experience na research findings.
6. Thread sio ya kijiweni sheikh. Tuna references
7. Kama kweli una shule na elimu. Toa tuone na reference hatuna shida. Ila sio kujitapa
Mimi ninakudharau. Kwenye shule sina haja ya kushindana nawe kwasababu sitaki kujua umesoma hadi wapi na wala sitaki ujue nimesoma kiasi gani. Cha muhimu wote tumesoma. Kama ni exposure pia ninayo. Passport yangu ina mihuri ya kutosha. Narudia tena kwamba sio kila atakachosema Mzungu ni sahihi. Amnesty International wameshafanya research na kufafanua kwamba LGBTQ wanatakiwa wapewe haki zao na kwa mujibu wa maelezo yao ni kuwa Homosexuality sio tatizo. Je, tukubaliane nao kwasababu wamefanya research? WHO walivyosema Africa itakuwa na maiti hadi kwenye barabara mitaani wakati wa Corona walikuwa sahihi? Tumia akili ya kuzaliwa badala ya kuwa mtumwa wa hizo research.
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta [emoji120]

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
I wish, I could knew it before!! This is a nacked truth, I experienced it
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta 🙏

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Na vipi kuhusu ambao hawajalelewa na wazazi wote?

Hii mada imekaa kibaguzi kuliko kiuelimishaji.
 
Na vipi kuhusu ambao hawajalelewa na wazazi wote?

Hii mada imekaa kibaguzi kuliko kiuelimishaji.
Na vipi kuhusu ambao hawajalelewa na wazazi wote?

Hii mada imekaa kibaguzi kuliko kiuelimishaji.
The outcome of a complete family is different from single parent family. They hold the sane world.
The environment and psychology varies. But it shows single parenting has higher social effects in the community than a complete family.
 
Mimi ninakudharau. Kwenye shule sina haja ya kushindana nawe kwasababu sitaki kujua umesoma hadi wapi na wala sitaki ujue nimesoma kiasi gani. Cha muhimu wote tumesoma. Kama ni exposure pia ninayo. Passport yangu ina mihuri ya kutosha. Narudia tena kwamba sio kila atakachosema Mzungu ni sahihi. Amnesty International wameshafanya research na kufafanua kwamba LGBTQ wanatakiwa wapewe haki zao na kwa mujibu wa maelezo yao ni kuwa Homosexuality sio tatizo. Je, tukubaliane nao kwasababu wamefanya research? WHO walivyosema Africa itakuwa na maiti hadi kwenye barabara mitaani wakati wa Corona walikuwa sahihi? Tumia akili ya kuzaliwa badala ya kuwa mtumwa wa hizo research.
Research is progressive. What your doing ni kukaza fuvu. Am done with you, umeshinda.
 
Hii ni thread ya kibaguzi sana, hujui ulichokisema ndugu Danielmwasi. Hakuna aliyechagua kua katika familia ya namna hio. Hio ni sawa na kumsimanga kilema bro. Tema mate chini.

Huku Duniani hakuna aliyekamilika mkuu, na kila mtu ana njia aliyopangiwa na M/Mungu kuipitia. Kuna waliokuta familia zikiwa na wazazi wote, kuna waliokuta mzazi mmoja, kuna ambao hawakukuta mzazi hata mmoja na kuna ambao hawakukuta hata ndugu wa kuwalea na ndio maana kuna vituo vya kulelea Yatima na charitable organizations zinazochukua majukumu ya kulea, kusomesha na kuongoza watoto ambao kwa bahati mbaya hawana wazazi ama walezi wa kuwalea.

Kwahio hawa wenye walau mzazi mmoja wapo katika nafsi nzuri mara mia kuliko wengi ambao labda hawana wazazi wote kabisa au wote wazazi wala walezi.

Sisi sote tu watu wa Mungu na tunakamilishana katika mapungufu yetu mbali mbali na sio kubaguana.

Mbarikiwe [emoji120]
 
Hii ni thread ya kibaguzi sana, hujui ulichokisema ndugu Danielmwasi. Hakuna aliyechagua kua katika familia ya namna hio. Hio ni sawa na kumsimanga kilema bro. Tema mate chini.

Huku Duniani hakuna aliyekamilika mkuu, na kila mtu ana njia aliyopangiwa na M/Mungu kuipitia. Kuna waliokuta familia zikiwa na wazazi wote, kuna waliokuta mzazi mmoja, kuna ambao hawakukuta mzazi hata mmoja na kuna ambao hawakukuta hata ndugu wa kuwalea na ndio maana kuna vituo vya kulelea Yatima na charitable organizations zinazochukua majukumu ya kulea, kusomesha na kuongoza watoto ambao kwa bahati mbaya hawana wazazi ama walezi wa kuwalea.

Kwahio hawa wenye walau mzazi mmoja wapo katika nafsi nzuri mara mia kuliko wengi ambao labda hawana wazazi wote kabisa au wote wazazi wala walezi.

Sisi sote tu watu wa Mungu na tunakamilishana katika mapungufu yetu mbali mbali na sio kubaguana.

Mbarikiwe [emoji120]
I understand this. But facts should be said. We can't hide the truth because of emotional wellness and some one history. We Need to change and be better parents. Amna excuse. Hizi ni research za watu through the years.
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta 🙏

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Kuna siku nilisoma mahali hoja sawa na hii, nikajikuta najisemea.... "lakini kweli..., ila hapana"....
Mtoa hoja hiyo alisema hivi,. "Mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mpambanaji, akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mpambanaji, Ndoa hiyo Huwa haidumu Kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba mwenzake ndiye anaweza au ana wajibu wa kuilea familia!
Na mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi (kama Kwa wale wenzetu wa nanilii kule) akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi, hapo lazima cheche zitokee kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba anatakiwa kusikilizwa.
My take; KWA SASA KUZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA SINGLE PARENTING (HASA HASA SINGLE MOTHERS) Zinaibua hisia nzito HASA Kwa waathirika Kwa sababu wanajikuta wanalaumiwa Kwa makosa yasiyo yao.
 
Kuna siku nilisoma mahali hoja sawa na hii, nikajikuta najisemea.... "lakini kweli..., ila hapana"....
Mtoa hoja hiyo alisema hivi,. "Mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mpambanaji, akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mpambanaji, Ndoa hiyo Huwa haidumu Kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba mwenzake ndiye anaweza au ana wajibu wa kuilea familia!
Na mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi (kama Kwa wale wenzetu wa nanilii kule) akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi, hapo lazima cheche zitokee kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba anatakiwa kusikilizwa.
My take; KWA SASA KUZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA SINGLE PARENTING (HASA HASA SINGLE MOTHERS) Zinaibua hisia nzito HASA Kwa waathirika Kwa sababu wanajikuta wanalaumiwa Kwa makosa yasiyo yao.
Issues ni mtoto, akiexperience both side. Helps him/her to make better judgement. Ila sio one side only. Ata make judgement on one side. The other ajawai ona. The damage comes from this exposure through the years with no secondary views


2. Tuna expose these findings. Ili wasiyaludie. Hawa wapo more likely kuwa kama wazazi wao or worse. Sasa history should be taught kwamba we know this
 
I understand this. But facts should be said. We can't hide the truth because of emotional wellness and some one history. We Need to change and be better parents. Amna excuse. Hizi ni research za watu through the years.
Change what and how..?
 
Amina Chifupa Enzi hizo kwenye Bambataa alijaribu kumhoji Koffie Olomide kwa Kifaransa cha Makongo, Koffie akamjibu kwa Kiswahili "Kiswahili changu ni bora zaidi kuliko Kifaransa chako!"
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta [emoji120]

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Kwaiyo sisi tuliolelewa na single parent tuoe/tuolewe na naniii???
 
Mkuu wewe ni KUMAanisha umefanya uchunguzi hadi uombe kupewa data zilizofanyiwa uchunguzi?
 
Back
Top Bottom