Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Nani alikudanganya?🤔
yaani muongo na mzushi mwanzo mwisho.

Tuko wengi tumelelewa na single parents kwa shida sana na tunawashukuru sana sana kwa bidii na jitihada zao.

Aidha wako wengi wamelelewa na wazazi wote wawili na hawana mpango wala heshima yo yote.

La muhimu ni kuwa mzazi aweze kumuongoza mtoto kiipasavyo.

Hicho kiingereza chako cha kujidai dai umeokota wapi?
 
yaani muongo na mzushi mwanzo mwisho.

Tuko wengi tumelelewa na single parents kwa shida sana na tunawashukuru sana sana kwa bidii na jitihada zao.

Aidha wako wengi wamelelewa na wazazi wote wawili na hawana mpango wala heshima yo yote.

La muhimu ni kuwa mzazi aweze kumuongoza mtoto kiipasavyo.

Hicho kiingereza chako cha kujidai dai umeokota wapi?

Emotional damage 101, work on the weakness not rejections
 
Nani alikudanganya?[emoji848]
Mwache ajichanganye arudi kuomba ushairi hap

Sina research ila ninawaona mtahani hapa watu wamelelewa na wazazi wawili ila ndo videgejon na chura maarifu na wengine ndio wanajiita ma MP katika makundi yao ya wavuta bangi

Huku walio lelewa hasa na mama peke yake ndo wamekuwa watu wenyeuchungu wakutotaka KUONA mtoto akizaliwa Kisha kukuso malezi ya pande mbili tena hapa mtahani wadada wenye wazazi wawili ndo wanawatoto WA sio na baba

Naliambiwa hayana kannuni ila unaweza kujaribu kuutafuta aliye sahii ila usiweke asilimia mia maana utapopata asiye sahii uone ni kawaida Kisha ugange yajao
MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE
 
Mtu aliyelelewa na single mother subconsciously atataka maisha ya kulelewa na mzazi m'moja yajirudie na kwa watoto wake sababu ndio Toxic System aliyorithi.

Kama ni mwanaume basi hatodate kwa misingi ya kuoa atadate ili kuzaa na mwanamke na hatojutia sababu yeye kakulia maisha ya hivyo.

Kama ni binti atakuwa anaogopa sana kucommit kwa mwanaume ambaye anaheshimu ndoa na anataka kupata mke kwanza kabla ya kumfanya kuwa mama watoto. Utaona binti anaanza vijisababu vya hapa na pale ili mradi tu ndoa isitokee yeye apite hivi.

Ila binti huyu atakuwa comfortable kuanzisha mahusiano na mume wa mtu maana deep down anajua hakutakuja kuwa na Ndoa hapo. Au ataanzisha mahusiano na hawa wanaume wahuni wasio na maadili ili tu apate sababu ya kujitetea baadae kuwa ilikuwa bahati mbaya au mwanaume ndie aliyesababisha. But deep down wanajua kuwa walichagua iwe hivyo haikuwa bahati mbaya.

Anyways, ukiona umetokea familia decent ambayo ina misingi ya heshima ya ndoa tafuta ambaye anatokea the same ili upunguze risks. Kama utakutana na ambaye anatokea single mother au single parent House hold then anzisha nae mahusiano but be very careful sababu its just a matter of time wanaweza kureveal who they really are.
Sina Hakika ila nakupinga nasema HAPANA kama kunamtu anaroho hiyo ya kutaka kumuona mwanaye anateseka kama yeye alivyo teseka Kwa kulelewa na mzazi mmoja basi huyo anaroho mbaya tu ambayo anaweza kua nayo yoyote yule

Nimesoma na mtu ambaye anawazazi wote wawili lakini anataka mtoto wake aje asome shule kama tulivyo soma sisi ambayo ugali ni kama mbichi,maharage hayatii hamasa ya kula kisa anadahi kuwa mwanaye ataona uchungu WA kusoma mawazo ambayo ni tofauti kabisa na mimi ninaye waza kama nikiwa na mtoto nitafute pesa Ili nimuhudumie tene nimpe Mali inayoonekena ya kuanzia maisha sio elimu tu kama wasemavyo. Maana ninaijua dhiki anayopitia mama na mtoto PASIPO baba tena kama mama hayupo vizuri kiuchumi

Sasa mtu kama Mimi ninaijua kabisa dhiki ya kulelewa na mama peke,na kosa kitu Fulani sababu mama ameshindwa kunitimizia na muda mwingine na fikiria kwani kati ya Mimi na wao nani alimtaka mwenzie alafu nije ni ruhusu mtoto alelewe na mzazi mmoja tena mama HAPANA labda nitasemwa Kwa kutojua kuishi kikamilifu kama baba Kwa kuwa sijawahi kumuona baba yangu kabisa akinilee Kwa namna Fulani ambyo ndio mtindo sahii Kwa baba kuishi na mwanae

Unajua Huwa wanafikiria Nini tena akijua umemkimbia Kwasababu ya huoga wako tu mwenyewe na ulimtaka mwenyewe

HAPANA Mimi siwezi Kuna mda unahitaji tu ushairi kutoka Kwa baba au mama atakama Hana ele lakini unakosa huo ushairi,unakosa ada unawaza labda angekuwa baba au mama wangesaidiana ningepata ada lakini wapi mmoja hayupo

Sasa mtu unaijua hiyo DHIKI alafu unataka kufanya Kwa makusudi Kwa mtoto ambaye unamtaka wewe mwenyewe na Wala siyo yeye aliye kutaka HIYO NI ROHO MBAYA TU AMBAYO YEYOTE ANAWEZA KUWA NAYO

Maana wapo waliolelewa na mzazi mmoja hawana roho hiyo na wapo walio lelewa na wazazi wote wapo na roho hiyo
 
Sina Hakika ila nakupinga nasema HAPANA kama kunamtu anaroho hiyo ya kutaka kumuona mwanaye anateseka kama yeye alivyo teseka Kwa kulelewa na mzazi mmoja basi huyo anaroho mbaya tu ambayo anaweza kua nayo yoyote yule

Nimesoma na mtu ambaye anawazazi wote wawili lakini anataka mtoto wake aje asome shule kama tulivyo soma sisi ambayo ugali ni kama mbichi,maharage hayatii hamasa ya kula kisa anadahi kuwa mwanaye ataona uchungu WA kusoma mawazo ambayo ni tofauti kabisa na mimi ninaye waza kama nikiwa na mtoto nitafute pesa Ili nimuhudumie tene nimpe Mali inayoonekena ya kuanzia maisha sio elimu tu kama wasemavyo. Maana ninaijua dhiki anayopitia mama na mtoto PASIPO baba tena kama mama hayupo vizuri kiuchumi

Sasa mtu kama Mimi ninaijua kabisa dhiki ya kulelewa na mama peke,na kosa kitu Fulani sababu mama ameshindwa kunitimizia na muda mwingine na fikiria kwani kati ya Mimi na wao nani alimtaka mwenzie alafu nije ni ruhusu mtoto alelewe na mzazi mmoja tena mama HAPANA labda nitasemwa Kwa kutojua kuishi kikamilifu kama baba Kwa kuwa sijawahi kumuona baba yangu kabisa akinilee Kwa namna Fulani ambyo ndio mtindo sahii Kwa baba kuishi na mwanae

Unajua Huwa wanafikiria Nini tena akijua umemkimbia Kwasababu ya huoga wako tu mwenyewe na ulimtaka mwenyewe

HAPANA Mimi siwezi Kuna mda unahitaji tu ushairi kutoka Kwa baba au mama atakama Hana ele lakini unakosa huo ushairi,unakosa ada unawaza labda angekuwa baba au mama wangesaidiana ningepata ada lakini wapi mmoja hayupo

Sasa mtu unaijua hiyo DHIKI alafu unataka kufanya Kwa makusudi Kwa mtoto ambaye unamtaka wewe mwenyewe na Wala siyo yeye aliye kutaka HIYO NI ROHO MBAYA TU AMBAYO YEYOTE ANAWEZA KUWA NAYO

Maana wapo waliolelewa na mzazi mmoja hawana roho hiyo na wapo walio lelewa na wazazi wote wapo na roho hiyo
Mkuu ulichoongea kina ukweli kiasi Fulani,na wapo kweli watu wwliolelewa na mzazi mmoja na wapo kwenye ndoa zao ila ni wachache.

Tafsiri yangu hapa Nini Nini,Huwa tukiwa watoto tunajifunzia kupitia kwa wazazi wetu,tukiona wanapendana ndicho tunachojifunza hicho,lkn let say mfano mwanaume aliyelelewa na mama pekee,hawezi kuona thamani ya mke kwa sababu hakumuona baba akiwa na mama yake wanafurahi,hivyo yy ni rahisi sana kumtelekeza mke hata akiwa na watoto na kujisemea kuwa mbona hata mimi nilikuwa na mama tu na nimekuwa.

Dhana hii humjengea kutomthamini mwanamke kwa sababu naye hakuona mama akiishi na baba hivyo hata yy haoni umuhimu wa kuishi na mke wake na watoto,atakachofanya tena kwa kujiskia ni kuwatunza tu ili wasimsahau.
 
Mkuu ulichoongea kina ukweli kiasi Fulani,na wapo kweli watu wwliolelewa na mzazi mmoja na wapo kwenye ndoa zao ila ni wachache.

Tafsiri yangu hapa Nini Nini,Huwa tukiwa watoto tunajifunzia kupitia kwa wazazi wetu,tukiona wanapendana ndicho tunachojifunza hicho,lkn let say mfano mwanaume aliyelelewa na mama pekee,hawezi kuona thamani ya mke kwa sababu hakumuona baba akiwa na mama yake wanafurahi,hivyo yy ni rahisi sana kumtelekeza mke hata akiwa na watoto na kujisemea kuwa mbona hata mimi nilikuwa na mama tu na nimekuwa.

Dhana hii humjengea kutomthamini mwanamke kwa sababu naye hakuona mama akiishi na baba hivyo hata yy haoni umuhimu wa kuishi na mke wake na watoto,atakachofanya tena kwa kujiskia ni kuwatunza tu ili wasimsahau.
Yah! Kwa mtazomo huu inawezekana
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta 🙏

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Hii yote ni mashambulizi kwa single mothers tu..tuwapumzishe hata kidogo jamani!
 
Kuna rafiki yangu ameolewa,mumewe amelelewa na mama pekee
Tabia hizi zote ulizoandika yule jamaa anazo especially hiyo ya kwanza
Ndoa ina mwaka tu lakini dada wa watu kachoka kama vile kakaa miaka 40!
Huenda kuna ukweli
Hii itakua pande zote mbili
 
Sina Hakika ila nakupinga nasema HAPANA kama kunamtu anaroho hiyo ya kutaka kumuona mwanaye anateseka kama yeye alivyo teseka Kwa kulelewa na mzazi mmoja basi huyo anaroho mbaya tu ambayo anaweza kua nayo yoyote yule

Nimesoma na mtu ambaye anawazazi wote wawili lakini anataka mtoto wake aje asome shule kama tulivyo soma sisi ambayo ugali ni kama mbichi,maharage hayatii hamasa ya kula kisa anadahi kuwa mwanaye ataona uchungu WA kusoma mawazo ambayo ni tofauti kabisa na mimi ninaye waza kama nikiwa na mtoto nitafute pesa Ili nimuhudumie tene nimpe Mali inayoonekena ya kuanzia maisha sio elimu tu kama wasemavyo. Maana ninaijua dhiki anayopitia mama na mtoto PASIPO baba tena kama mama hayupo vizuri kiuchumi

Sasa mtu kama Mimi ninaijua kabisa dhiki ya kulelewa na mama peke,na kosa kitu Fulani sababu mama ameshindwa kunitimizia na muda mwingine na fikiria kwani kati ya Mimi na wao nani alimtaka mwenzie alafu nije ni ruhusu mtoto alelewe na mzazi mmoja tena mama HAPANA labda nitasemwa Kwa kutojua kuishi kikamilifu kama baba Kwa kuwa sijawahi kumuona baba yangu kabisa akinilee Kwa namna Fulani ambyo ndio mtindo sahii Kwa baba kuishi na mwanae

Unajua Huwa wanafikiria Nini tena akijua umemkimbia Kwasababu ya huoga wako tu mwenyewe na ulimtaka mwenyewe

HAPANA Mimi siwezi Kuna mda unahitaji tu ushairi kutoka Kwa baba au mama atakama Hana ele lakini unakosa huo ushairi,unakosa ada unawaza labda angekuwa baba au mama wangesaidiana ningepata ada lakini wapi mmoja hayupo

Sasa mtu unaijua hiyo DHIKI alafu unataka kufanya Kwa makusudi Kwa mtoto ambaye unamtaka wewe mwenyewe na Wala siyo yeye aliye kutaka HIYO NI ROHO MBAYA TU AMBAYO YEYOTE ANAWEZA KUWA NAYO

Maana wapo waliolelewa na mzazi mmoja hawana roho hiyo na wapo walio lelewa na wazazi wote wapo na roho hiyo
Research inasema other wise. Wenye wame toka kwa familia ya wazazi wote. Wanapigania familia zao sisimame. Hata wakikosea wanaomba msamaha. Single parents wanaendekeza single parenting. Any fight they just give up. Money availability sio malezi bora. Ni wazazi kuwepo na mtoto akiwaitaji. Emotionally, physically and socially.
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta 🙏

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Ingekuwa km madai yako tabu zingezidi tulizonazo,ila ni uoga wako.
 
Mwache ajichanganye arudi kuomba ushairi hap

Sina research ila ninawaona mtahani hapa watu wamelelewa na wazazi wawili ila ndo videgejon na chura maarifu na wengine ndio wanajiita ma MP katika makundi yao ya wavuta bangi

Huku walio lelewa hasa na mama peke yake ndo wamekuwa watu wenyeuchungu wakutotaka KUONA mtoto akizaliwa Kisha kukuso malezi ya pande mbili tena hapa mtahani wadada wenye wazazi wawili ndo wanawatoto WA sio na baba

Naliambiwa hayana kannuni ila unaweza kujaribu kuutafuta aliye sahii ila usiweke asilimia mia maana utapopata asiye sahii uone ni kawaida Kisha ugange yajao
MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE
Do investigations. Hata kwenye ndoa wapi wanaolewa, na kutulia na ndoa zao. Na hata wakidivorce wanajua umuhimu wa ndoa . They will always fight for a better life. Ila wengine wana sema sawa mungu Amepanga its okay.
 
Back
Top Bottom