- Thread starter
- #81
Unakuja soon. Namalizia kuandaa shambaNasubiri muendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuja soon. Namalizia kuandaa shambaNasubiri muendelezo
Mkuu nimeanza huo ujinga tangu 2016 mpaka nakuja kukubali kabisa hakuna maisha huko ni mwaka Jana. Katika kipindi chote hicho hakuna rangi sijaona. Sina haja ya kukuhakikishia kwa lolote ila Kama upo na swali lolote kuhusu forex karibu.Weka numba za hela hap,account 10 alaf kumbe niza dollar 5 tano
Vip unaushuuda wowote wa hizi robort za kutrade automatic kama ya ya huyu jamaa anajiita billionaire fx academy kweny Instagram?Mkuu nimeanza huo ujinga tangu 2016 mpaka nakuja kukubali kabisa hakuna maisha huko ni mwaka Jana. Katika kipindi chote hicho hakuna rangi sijaona. Sina haja ya kukuhakikishia kwa lolote ila Kama upo na swali lolote kuhusu forex karibu.
Sikuhuzi hatutumii nguvu sana kujibu hoja, tunasoma tu then tuna conclude OK, Kama kweli Tunampa Pole, ila kama ni uongo anajidanganya mwenyewe.Ni mjinga tu ndio ataacha kazi na kufanya hayo makitu ya forex. Na mleta mada ni mjinga huenda hakua hata na kazi kapigwa kwenye forex karudi mbwinde kwao
Nilishawahi kumiliki mpaka robort lenyewe mkuu. Kwanza Kuna watu walikuwa wanajiita LZ TRADE walikuwa na marobot yao Kama matatu hivi Kama sikosei. Kila bot lilikuwa na gharama zake za kujiunga kulingana na efficiency ya bot lenyewe. Mwanzo faida ilikuwa inapatikana kwani kwa mtaji wa $1500 kulikuwa na uwezejano wa kuwithdraw atleast $300 per week(kulingana na watu waliojiunga kupitia link yako). But all in all ni utapeli mtupu boss.Vip unaushuuda wowote wa hizi robort za kutrade automatic kama ya ya huyu jamaa anajiita billionaire fx academy kweny Instagram?
Huyo jamaaa muongo muongoUtapata wateja usisite kuwapa mbinu zako za ushindi. Sharing is caring.
Aisee.......🤣🤣🤣nilisema bora niuze genge.Huyo jamaaa muongo muongo
Kwanza alishawahi tapeli laki 4 ya watu
Kuna uza unamzungumzia humu
Ngoja niutafte
Ukiipata nitag.Huyo jamaaa muongo muongo
Kwanza alishawahi tapeli laki 4 ya watu
Kuna uza unamzungumzia humu
Ngoja niutafte
Myebusii, mimi ni tofauti sana na hawa madogo wanoibiwa na Scammers wa mitandaoni wanaojifanya ni Forex Gurus, saivi wanauziwa marobot🤣🤣🤣
Ukiipata nitagHuyo jamaaa muongo muongo
Kwanza alishawahi tapeli laki 4 ya watu
Kuna uza unamzungumzia humu
Ngoja niutafte
Utofauti wako ni nini?Myebusii, mimi ni tofauti sana na hawa madogo wanoibiwa na Scammers wa mitandaoni wanaojifanya ni Forex Gurus, saivi wanauziwa marobot🤣🤣🤣
Mimi siyo forex trader.Utofauti wako ni nini?
Anhaa wewe ni nani mkuu?Mimi siyo forex trader.