Je, ninaweza kutenganisha kichwa cha mbuzi na mwili wake(kumchinja) na bado akaendelea kuwa hai kwa kuwa mwenye mamlaka unayemdai hajaamua mbuzi afe?'MUNGU amemfanya mwadamu mnyoofu lakini wamebuni mavumbuzi mengi'
Unafanya jitihadi za kuutunza lakini huna mamlaka ya kujiwekea ama kuuondoa uhai.. kabla sijaendlea ningependa kujua Kama unaamini MUNGU yupo au la?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na huyo MWOVU?Yeah Kuna scenario zipo anatoa yeye kwa makusudi yake kwako either akukomboe mwishoni , Ila mengi ya hayo hutoka kwa kwa yule 'MWOVU'
Furaha ni matokeo ya tafsiri uletwa na hali ya mtu kuyatawala mazingira yake na Sio mazingiraBasi huyu Mungu ana upendeleo saaana haiwezekani kuna watu wanazaliwa mpaka wanakufa hawajawahi kuwa furaha kwenye maisha ya
Upendo ni kuruhusu mabaya yawafikie watu sio?Ni MUNGU anayeruhusu magonjwa, mateso yakufike....anayaruhusu kiupendo kabisa
Mungu angekuwa amemfanya mwanadamu mnyoofu, Binadamu wangekuwa na uwezo wa kufanya dhambi na uovu?'MUNGU amemfanya mwadamu mnyoofu lakini wamebuni mavumbuzi mengi'
Unafanya jitihadi za kuutunza lakini huna mamlaka ya kujiwekea ama kuuondoa uhai.. kabla sijaendlea ningependa kujua Kama unaamini MUNGU yupo au la?
Usitafute utajiri tafuta kuishi
Hakuna kitu kama laana.Umasikini unakaa kichwan na Sio kwenye mazingira kama hii Sio laana ni Nini
Kabla ya yote,Thibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Utajiri una gharama zake wengi wao hawana furaha na utajiri wao.Hii ina maana gan mkuu?
Bado hujathibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility ilihali unakataa ukweli juu ya uwepo wa Mungu.Bahati hutokea katika mazingira ya kuonekana.Na si katika mazingira yasiyo onekana.
Bahati haina uhusiano wowote ule na nguvu za kiroho zisizo kuwepo.
Labda nikupe, mifano.
Mtu kubashiri mechi (kubeti) na kushinda ni jambo la bahati na si kwamba jambo hilo haliwezekani au jambo hilo lina uhusiano na nguvu yeyote ile ya kiroho,
Ni bahati ya mtu tu, Ndio maana wapo wanao bahatika kushinda mamilioni, Lakini si watu wote hubahatika kushinda mamilioni hayo. Hii ni bahati tu katika mazingira yanayo onekana.
Wakati mwingine bahati hutokea katika mazingira ya Usahaulifu, Mfano Kuna matukio mbalimbali ya miamala ya kifedha kutumwa kwa watu wasio sahihi. Watu hawa wanao pokea fedha hizi huona kama ni bahati hivi imekuja kwao. Lakini ni bahati katika mazingira ya Usahaulifu.
Wakati mwingine bahati huja kutokana na mtu kupendezwa na mtu fulani, Mfano Mtoto wa jirani amefaulu vizuri kimasomo na akabahatika kupata mfadhili wa masomo yake, Hapa "bahati" imekuja kutokana na juhudi za mtu binafsi zilizo pelekea mtu kupendezwa na juhudi hizo. Wala hakuna mazingira ya kuonesha uhusiano wowote wa bahati hii na nguvu za kiroho.
Wakati mwingine bahati hutokea katika mazingira ya uzembe wa kibinadamu, Ambapo mtu mwingine hudhani ni bahati kwake, Mfano Ajali ya Magari ya cement au mafuta inapotokea wale wanao enda kugombania cement au mafuta hayo hudhani na kuona kwamba ni bahati kwao ajali hiyo kutokea ili wao wapate, kumbe ni uzembe wa kibinadamu tu uliyo sababisha ajali na kupelekea bahati ya wakazi wa eneo hilo kupata cement na mafuta.
Pointi hapa ni kwamba "Bahati" Haina uhusiano wowote ule wa uwepo wa nguvu za kiroho na uwepo wa Mungu.
Bado hujathibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility ilihali unakataa ukweli juu ya uwepo wa Mungu.Kabla ya yote,
Bahati ni muingiliano wa matukio mawili au zaidi ambapo tukio moja linageuka kuwa faida kwenye tukio jingine.
Na bahati ni tafsiri ya mlengwa aliye katika moja ya matukio hayo.
Kwa tafsir hiyo ya bahati how utake yeye akuthibitishie bahati physical?
Kibali cha unachokitaka.Ukiomba unasema Mungu nipe kibali Cha Nini!
We uko timamu kweli?Bado hujathibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility ilihali unakataa ukweli juu ya uwepo wa Mungu.
Akili zako zina ukomo kuelewa kuhusu imani na uwepo wa Mungu by empirical evidence kama ujiitavyo Mwanasayansi ambaye huambatani kabisa na metaphysics evidence philosophies.
Thibitisha bahati si imani na ikiwa umefeli kuthibituisha mwonekano wake na umbo lake.
Mbali na hapo utakuwa umeamua kukaza fuvu lako tu kuwa hakuna Mungu ilihali kuna vitu vingi tu visivyo na physicality na visibility unakubali na kuamini uwepo wake kama bahati, akili, hewa.....
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mimi nakwambia hivi "Bahati" ni neno ambalo halipo katika uhalisia,Bado hujathibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility ilihali unakataa ukweli juu ya uwepo wa Mungu.
Akili zako zina ukomo kuelewa kuhusu imani na uwepo wa Mungu by empirical evidence kama ujiitavyo Mwanasayansi ambaye huambatani kabisa na metaphysics evidence philosophies.
Thibitisha bahati si imani na ikiwa umefeli kuthibituisha mwonekano wake na umbo lake.
Mbali na hapo utakuwa umeamua kukaza fuvu lako tu kuwa hakuna Mungu ilihali kuna vitu vingi tu visivyo na physicality na visibility unakubali na kuamini uwepo wake kama bahati, akili, hewa.....
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema Mungu mjuzi wa yote hajui mahitaji yetu pasipo kumuomba!?Kwani unayajua mahitaji yote ya wanao hata wasiyokuomba
Logical non sequiturMleta maada anasema kweli nyie mnaopinga na kuhoji sijui Mungu hayupo sijui kwann hadi aombwe..kaaa mkijua kibali ni halisi..
BInafsi nje ya biashara ya mikopo wife nimemwajiri kwenye duka la nguo za kike za ndani kama msimamiz mkuu...
Awali tulikua na mauzo madogo sana hadi nilipojua hyo Siri sio bidiii inayofanikisha jambo but bidii plus kibali..kibali kinafanya mamb kuwa simple sana na ni ngumu kumweleza mtu akaelewa coz unaweza fikiri ni uchaw flani..
In short mauzo uko yaliboost na yapo high sana wapinzan wanahangaika kujua wife anatumia uganga Gani...
Mnaobisha endeleeni na ubish wenu na kutegemea nguvu na akili zenu but am warning you guys msije ingia kwenye lain zangu ktk biashara mtafunga zenu asubuh tuuu...
Huwezi shindana na Mtu mwenye kibali never!!!
Mtu mwenye kibali ni sawa na Mtu anayepandisha ghorofan Kwa kutumia lift while wewe huna kibali unatumia ngazi..lazma ifike umechoka na umechelewa
Alimfanya Adam mnyoofu akajitaftia matatizo mwenyewe. ''MUNGU ANAKUPENDA'Mungu angekuwa amemfanya mwanadamu mnyoofu, Binadamu wangekuwa na uwezo wa kufanya dhambi na uovu?
Huo unyoofu uko wapi?
Ila MUNGU anakupenda.Si
Je, ninaweza kutenganisha kichwa cha mbuzi na mwili wake(kumchinja) na bado akaendelea kuwa hai kwa kuwa mwenye mamlaka unayemdai hajaamua mbuzi afe?
Hoja ya mwenye mamlaka kuamua ni batili, na HAYUPO. Hesabu zako kulinganisha na unavyohusiana na unaohusiana nao au navyo, ndio Kiamuacho nini Kitokee na Nini Kisitokee.
Halazimishi ufanye kitu flani, ndiomana kakupa utashi uchague wewe mema au mabaya.Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na huyo MWOVU?
Alishindwaje kumdhibiti huyo MWOVU?
Mungu ni mkiritimba,Ni mdhalikishaji anapenda umwinyi wa kunyenyekewa hata kwenye jambo ambalo linaonekana ni jukumu lake.
Kama yeye anasema chakula, pesa havina umuhimu kwake. Sasa kwanini kuvitoa free kwa watu ambao wana uhitaji amekuwa mgumu?
Oh wait.... Kuna kitu nimekumbuka.
Kwenye kitabu cha Revelation 21:21
imeelezwa kuwa Mbingu yake ina mtaa ambao ni dhababu tupu.
So kumbe bado dhababu ni still valuable kwa Mungu. Tunapolalamika kwanini hatupi rizki tukumbuke kuwa naye ana kazi nazo hizo dhahabu sasa akikupa wewe ye atabaki na nini.
Tuwe tunaangalia Sometimes