Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

zamani mwanaume alikuwa akiwa na mchepuko ule mchepuko ulikuwa tulizo la moyo hasa, ila siku hizi mambo yamebadilika
mchepuko imekuwa kaa la moto,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zama zimebadilika.
 
dah hiyo ni sawa na m-ukraine kufia vitani akipigania nchi yake, me siwezi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyo hajielewi ni zile type za buguruni + mwananyamala , kwanza unawezaje kuwa na mwanamke type hiyo !?
 
Dah!,
Mimi nilipata mfanyakazi ila kwa vizinga yaani unaweza sema hana kazi lol,

Eti ndani ya mwezi mmoja mwanamke anataka macho 3

Nikamwambia nimeghairi mahusiano na wewe,na sina sababu kwanini nimeghairi...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa[emoji119]
 
Acha uoga umekimbia bahati🤪
 
Mzee baba sijataka hata kujiuliza mara mbili ni ndukiiiii... Cha kushangaza hachoki kunitafuta mda wote anapiga tu simu sipokei na text sijibu... Imeisha hiyooo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu njaa bado inamtesa , now ana wish apate hata kile kidogo ulichokuwa unampa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ila jf [emoji119]
 
Tatizo wote wana hisia
Sasa kama wote wana hisia mbona mwisho wa siku wanawake ndiyo hutukanwa na kudhalilishwa kuwa wao ni malaya huku wanaume wakisifiwa? Mtu ambaye mwisho wa siku anajua atakuja kunyooshewa vidole na kuitwa malaya unategemea ajicommit?
 
Mkuu wala siyo kwamba wanawake wana akili za kipumbavu au utoto bali wanafanya hivyo makusudi kabisa! Wewe unadate na mwanamke huna malengo naye huna mpango wa kumuoa unategemea ajicommit kwako wakati mwisho wa siku utamuacha na mkiachana jamii itamtukana yeye kuwa ni malaya huku wewe ukisifiwa kuwa ni kidume kwa kutembea na wanawake wengi!
 
Sasa kama wote wana hisia mbona mwisho wa siku wanawake ndiyo hutukanwa na kudhalilishwa kuwa wao ni malaya huku wanaume wakisifiwa? Mtu ambaye mwisho wa siku anajua atakuja kunyooshewa vidole na kuitwa malaya unategemea ajicommit?
Moyo ukipenda, hayo mengine yanakuwa hayana nafasi
 
Moyo ukipenda, hayo mengine yanakuwa hayana nafasi
Hakuna cha moyo kupenda mzee ninyi wanaume ndiyo mmepelekea leo hii wanawake wamekuwa hawana huruma wala mapenzi na ninyi sababu hata ninyi hamna huruma wala mapenzi nao! Ninyi mngekuwa na huo moyo wa kupenda msingekuwa mnatukana wanawake kila kukicha kwamba wao ni malaya kisa tu mmemaliza haja zenu kwao mkawabwaga!
 
HAYA MAMBO KUMBE YANATUKUTA WANAUME WENGI, HALAFU WANAWAKE WANAKUA KAMA WAMEFUNDISHANA.
MIMI NILIINGIA KWENYE MAHUSIANO YANI NDANI YA WIKI MOJA TU HIVYO HIVYO BINTI ANATAKA NIMNUNULIE SIMU YA SMARTPHONE TENA ANANITAJIA BRAND MBILI TU AIDHA IPHONE AU SAMSUNG AU KAMA SIO HIVYO NIMPE 450,000/= ANUNUE MWENYEWE. HAPO BADO PESA ZA KUOSHA NYWELE MARA KUSUKA DAAAHH!!! IMEBIDI NIKIMBIE MAPEMAAA WALA SINA SHIDA NAE TENA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…