Nimeshangaa pia, eti alitaka kuchumbia single mother[emoji28].Single mother huwa anachumbiwa!!?Tanzania kuna maajabu mengi sana
Hapa naona umegeuza ..wanaume ndo huwa wanaonekana kufaidi sex ndo maana mwanamke anataka huduma za kiuchumi ili atoe sex. Mwanaume anatakiwa atoe huduma za kiuchumi na sex ila wanawake ni wajanja wamelazimisha sex kuwa hitaji la mwanaume hivyo wamejitoa kujihudumia kiuchumi wanawategemea wanaumeOohh sasa kama mnajua sex ni muhimu kwa wanawake kwanini huwa mnawatukana kuwa ni malaya? Kana kwamba ninyi ndiyo mnafaidi na wao wanalazimishwa tu?
Hebu nenda kwa mangi hapo jirani akupe Cinzano Bianco. halafu nitumie bill.Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.
Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.
Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.
Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
Mnara wako ujengwe posta DSM au 88 DOM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muwe mnawasaidia muda mwingine hao watoto wa watu. Mwanamke haachwi Kwasababu isipokuwa kwa usaliti na ushirikina/uchawi wa tabia.
Hawa mabinti tunawaonea bure muda mwingine. Majority hawajawa institutionalized enough kuwa Wife kwa wanaume.
Hebu nambie wanapata wapi trainings za kuandaliwa kuwa wake za watu?! Jamii imejiwekeza zaidi kuwapa watoto wa kike elimu ya corporate na kuwaanda watoto wa kike kuwa watendaji wa serikali na mamlaka zake na taasisi za kibiashara ila wamesahau kabisa kuwajenga na kuwafunza skills za kuwa wake za watu na mama wa familia bora.
Ukitazama juu juu unaweza hisi wanafanya kusudi ila ukitazama kwa kina utagundua kuwa hii kitu inakwenda deep kwenye malezi.
Mimi nikikaa na mabinti hawa especially umri wa kuanzia 25 kushuka huwa najitahidi sana kuwapa elimu ingawa najua haitoshi lakini at least nawapa mwangaza wa maisha kwa perspective inayotakikana.
Muwe mnawaelekeza kama haelekei achana nae kama anaelewa basi nenda nae. Akiomba pesa kwa mahitaji ya msingi na akionesha kweli amekwama usisite kumpatia. Ila kama unampenda na unaplan kufanya nae maisha then muelekeze namna ya kushiriki kutafuta. Ajue uchungu wa inavyotafutwa ili akikuomba akuombe kwa akili na asiombe pesa kiboya.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mommah unapiga mwingi hadi unamwagika.Mbona hata ninyi huwa mnawapima wanawake kabla hamjawaoa mkuu? Siyo ninyi mnaotakaga wanawake wakija kwenye mageto yenu wawapikie, wawafulie, wawaoshee vyombo na wawafanyie usafi ili kujua kama wanafaa kuwa wake?
Kwa kweli ni bora umefanya maamuzi ya maana mapema,Kuna wanawake ukikutana nao utafikiri umekutana na zimwi,Anachowaza ni kupewa pesa tu.Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
😂😂Hii mdau umeitoa kwa uchungu sana.
Utapewa tu ht siye hutoa mbona miye kabisa my man nampa kabisa coz I love him!Kwa mwanaume inakuaje
Piga kelele kwa shem wake, weuweeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utapewa tu ht siye hutoa mbona miye kabisa my man nampa kabisa coz I love him!
In every action there is an opposite and equal reaction!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kabisaaa kila mtu anabaki na miliki yake.Pesa matumizi..
Kama hela yako inakuuma sana basi kaa mbali na papuchi...
Tatizo ni pale unapoanza kuleta malengo malengo... Watu hawana malengo.. Wanajua unachotaka toka saa unawatongoza,, na kidume pia unatakiwa kujua cha kuwapa hata kabla hujaanza kuomba ucchi...
Mtazamo tu..
Ila hata ukipata asiyeomba hela nashauri USIOE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KWA NIABA YA KIKOSI CHA MIZINGA TUNAKUJA KUTOA TAMKO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnara wako ujengwe posta DSM au 88 DOM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mwanaume anapokua na mchepuko yule mchepuko si anakua anajua kua jamaa ameoa ana mke na familia yake?Mkuu wala siyo kwamba wanawake wana akili za kipumbavu au utoto bali wanafanya hivyo makusudi kabisa! Wewe unadate na mwanamke huna malengo naye huna mpango wa kumuoa unategemea ajicommit kwako wakati mwisho wa siku utamuacha na mkiachana jamii itamtukana yeye kuwa ni malaya huku wewe ukisifiwa kuwa ni kidume kwa kutembea na wanawake wengi!
Hata ninyi mnapokuwa na michepuko si mnakuwa mnajua kuwa hamtaioa? Sasa kwanini msikubali tu kwamba hayo mahusiano lazima yawe win win situation?Kwani mwanaume anapokua na mchepuko yule mchepuko si anakua anajua kua jamaa ameoa ana mke na familia yake?
Na kama anakua anajua halafu akakubali kua mchepuko si ana maana yupo tayari kuvumilia au ku face kila challenge itakayojitokeza ikiwemo hiyo ya kutoolewa na mhusika?
Sasa hayo makusudi yanatoka wapi?
Hata tukija kwenye mahusiano ya kawaida tofauti na mambo ya michepuko kama mwanamke anaona mwanaume wake hana dalili za kumuoa hivi karibuni au mbeleni si ajiongeze aachane nae, sasa hayo makusudi ya kazi gani?
Mwanaume na mwanamke hawawezi kua sawa hata siku moja, nature tu inampa mwanaume advantage kuliko mwanamke.
Namaanisha:
Kufanya makusudi sio kumkomoa mwanaume ni kujipotezea muda, ila kufanya maamuzi sahihi japo napo sio kumkomoa mwanaume ni kujiokolea muda na future pia.
Wanaume tuna financial factor wakati wanawake wana biological factor, utawafanyia makusudi wanaume wangapi, wakati umri unaenda na umri unavyokua mkubwa kwa mtoto wa kike na thamani yake inazidi kupungua.
sanaa zimekuwa nyingi skuhz...Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Huu muandiko huu🤔🤔Huyu hakukupenda, angekupenda angekua na huruma na aibu japo kidogo,pole sana ndio ukubwa[emoji3]