Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Oohh sasa kama mnajua sex ni muhimu kwa wanawake kwanini huwa mnawatukana kuwa ni malaya? Kana kwamba ninyi ndiyo mnafaidi na wao wanalazimishwa tu?
Hapa naona umegeuza ..wanaume ndo huwa wanaonekana kufaidi sex ndo maana mwanamke anataka huduma za kiuchumi ili atoe sex. Mwanaume anatakiwa atoe huduma za kiuchumi na sex ila wanawake ni wajanja wamelazimisha sex kuwa hitaji la mwanaume hivyo wamejitoa kujihudumia kiuchumi wanawategemea wanaume
 
Fanya uhusiano na mtu anayekupa mawazo ya kusonga mbele kiutafutaji; sio unatengeneza mahusiano na mtu muda wote ni kukupiga mizinga tu; mara hela ya kodi imeisha, mafuta ya gari, mtaji n.k . Siku utakaposhindwa kumuhudumia kwa hayo mahitaji yake, ndio utakuwa mwisho wako wa kuwa naye, kwa sababu amekufanya wewe kama kikoba kisichokuwa na marejesho.

Nilishajiwekea mipaka binafsi, kama mtu ninayetaka kuingia naye kwenye mahusiano anapenda sana kupiga mizinga; huwa nampiga chini mapema kabla hayajanifika shingoni. Kwa sababu anakuwa hana mawazo mbadala ya kukuwezesha wewe kusonga mbele, zaidi ya kukudidimiza.

Sasa ukimuuliza swali, zaidi ya tendo unafaida gani kwangu? Anaweza akashindwa kukujibu kwa kuliona swali kuwa gumu.

Ni wewe tu uchague; uendelee kupigwa mizinga mpaka uchanganyikiwe au ujihadhari mapema kabla ya kupauka kutokana na mizinga iliyokomaa na kuwa makombora.
Hebu nenda kwa mangi hapo jirani akupe Cinzano Bianco. halafu nitumie bill.

Jumamosi iliyopita nilikuwa na furaha sana, mwisho wa siku nikajikuta nahitaji ku-flash. Nikamchukua binti mmoja pale nilipokuwa, nikamlipia kazini, tukakubaliana kwamba yeye nitampa 30k. kufika eneo la tukio ananiambia kioo cha simu yake kilivunjika huko nyuma,kwa hiyo ananiomba 80k. stimu niliyokuwa nayo ikapotea, nilichofanya nikampa 30k game was called off, nilijiona nilipotea njia.
 
Muwe mnawasaidia muda mwingine hao watoto wa watu. Mwanamke haachwi Kwasababu isipokuwa kwa usaliti na ushirikina/uchawi wa tabia.

Hawa mabinti tunawaonea bure muda mwingine. Majority hawajawa institutionalized enough kuwa Wife kwa wanaume.

Hebu nambie wanapata wapi trainings za kuandaliwa kuwa wake za watu?! Jamii imejiwekeza zaidi kuwapa watoto wa kike elimu ya corporate na kuwaanda watoto wa kike kuwa watendaji wa serikali na mamlaka zake na taasisi za kibiashara ila wamesahau kabisa kuwajenga na kuwafunza skills za kuwa wake za watu na mama wa familia bora.

Ukitazama juu juu unaweza hisi wanafanya kusudi ila ukitazama kwa kina utagundua kuwa hii kitu inakwenda deep kwenye malezi.

Mimi nikikaa na mabinti hawa especially umri wa kuanzia 25 kushuka huwa najitahidi sana kuwapa elimu ingawa najua haitoshi lakini at least nawapa mwangaza wa maisha kwa perspective inayotakikana.

Muwe mnawaelekeza kama haelekei achana nae kama anaelewa basi nenda nae. Akiomba pesa kwa mahitaji ya msingi na akionesha kweli amekwama usisite kumpatia. Ila kama unampenda na unaplan kufanya nae maisha then muelekeze namna ya kushiriki kutafuta. Ajue uchungu wa inavyotafutwa ili akikuomba akuombe kwa akili na asiombe pesa kiboya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnara wako ujengwe posta DSM au 88 DOM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona hata ninyi huwa mnawapima wanawake kabla hamjawaoa mkuu? Siyo ninyi mnaotakaga wanawake wakija kwenye mageto yenu wawapikie, wawafulie, wawaoshee vyombo na wawafanyie usafi ili kujua kama wanafaa kuwa wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mommah unapiga mwingi hadi unamwagika.
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Kwa kweli ni bora umefanya maamuzi ya maana mapema,Kuna wanawake ukikutana nao utafikiri umekutana na zimwi,Anachowaza ni kupewa pesa tu.
Usiombe kumuoa mwanamke wa aina hii yaani toka asubuhi mpaka jioni ni pesa hii pesa ile mpaka , utazeeka mapema.
 
Pesa matumizi..

Kama hela yako inakuuma sana basi kaa mbali na papuchi...

Tatizo ni pale unapoanza kuleta malengo malengo... Watu hawana malengo.. Wanajua unachotaka toka saa unawatongoza,, na kidume pia unatakiwa kujua cha kuwapa hata kabla hujaanza kuomba ucchi...

Mtazamo tu..
Ila hata ukipata asiyeomba hela nashauri USIOE
 
Tatizao wanawake siku hizi hawajui mahitaji yao ya msingi,kwake simu iPhone, brand anazozikubali Gucci, LV ,outing sehemu kubwa kubwa, hapo ukija uswazi huku vikoba vitatu, michezo saba vyote vina hitaji hela na kazi hawana mwisho wa siku wanajikuta wanauza ngono kwenye mahusiano yao,anawanaume kama saba kila mmoja anapewa majukumu yake.
 
Pesa matumizi..

Kama hela yako inakuuma sana basi kaa mbali na papuchi...

Tatizo ni pale unapoanza kuleta malengo malengo... Watu hawana malengo.. Wanajua unachotaka toka saa unawatongoza,, na kidume pia unatakiwa kujua cha kuwapa hata kabla hujaanza kuomba ucchi...

Mtazamo tu..
Ila hata ukipata asiyeomba hela nashauri USIOE
Kabisaaa kila mtu anabaki na miliki yake.
 
Mkuu wala siyo kwamba wanawake wana akili za kipumbavu au utoto bali wanafanya hivyo makusudi kabisa! Wewe unadate na mwanamke huna malengo naye huna mpango wa kumuoa unategemea ajicommit kwako wakati mwisho wa siku utamuacha na mkiachana jamii itamtukana yeye kuwa ni malaya huku wewe ukisifiwa kuwa ni kidume kwa kutembea na wanawake wengi!
Kwani mwanaume anapokua na mchepuko yule mchepuko si anakua anajua kua jamaa ameoa ana mke na familia yake?

Na kama anakua anajua halafu akakubali kua mchepuko si ana maana yupo tayari kuvumilia au ku face kila challenge itakayojitokeza ikiwemo hiyo ya kutoolewa na mhusika?

Sasa hayo makusudi yanatoka wapi?

Hata tukija kwenye mahusiano ya kawaida tofauti na mambo ya michepuko kama mwanamke anaona mwanaume wake hana dalili za kumuoa hivi karibuni au mbeleni si ajiongeze aachane nae, sasa hayo makusudi ya kazi gani?

Mwanaume na mwanamke hawawezi kua sawa hata siku moja, nature tu inampa mwanaume advantage kuliko mwanamke.
Namaanisha:
Kufanya makusudi sio kumkomoa mwanaume ni kujipotezea muda, ila kufanya maamuzi sahihi japo napo sio kumkomoa mwanaume ni kujiokolea muda na future pia.

Wanaume tuna financial factor wakati wanawake wana biological factor, utawafanyia makusudi wanaume wangapi, wakati umri unaenda na umri unavyokua mkubwa kwa mtoto wa kike na thamani yake inazidi kupungua.
 
Kwani mwanaume anapokua na mchepuko yule mchepuko si anakua anajua kua jamaa ameoa ana mke na familia yake?

Na kama anakua anajua halafu akakubali kua mchepuko si ana maana yupo tayari kuvumilia au ku face kila challenge itakayojitokeza ikiwemo hiyo ya kutoolewa na mhusika?

Sasa hayo makusudi yanatoka wapi?

Hata tukija kwenye mahusiano ya kawaida tofauti na mambo ya michepuko kama mwanamke anaona mwanaume wake hana dalili za kumuoa hivi karibuni au mbeleni si ajiongeze aachane nae, sasa hayo makusudi ya kazi gani?

Mwanaume na mwanamke hawawezi kua sawa hata siku moja, nature tu inampa mwanaume advantage kuliko mwanamke.
Namaanisha:
Kufanya makusudi sio kumkomoa mwanaume ni kujipotezea muda, ila kufanya maamuzi sahihi japo napo sio kumkomoa mwanaume ni kujiokolea muda na future pia.

Wanaume tuna financial factor wakati wanawake wana biological factor, utawafanyia makusudi wanaume wangapi, wakati umri unaenda na umri unavyokua mkubwa kwa mtoto wa kike na thamani yake inazidi kupungua.
Hata ninyi mnapokuwa na michepuko si mnakuwa mnajua kuwa hamtaioa? Sasa kwanini msikubali tu kwamba hayo mahusiano lazima yawe win win situation?

Kumbuka mnaolalamika ni ninyi kwamba wanawake wanawapotezea pesa zenu! Ndiyo maana tunasema kama mnaona michepuko ni gharama tulieni na wake zenu!

Wakilalamika wanawake napo tutawaambia kama wanaona hawawezi basi waachane na waume za watu! Watulie maana hawajalazimishwa kutembea nao na kuwa michepuko!

Na kiukweli siku hizi niseme wanawake wengi wamepunguza kama siyo kuacha kabisa kulalamika kuhusiana na hayo masuala! Sababu wengi wameshaget over the reality!

Siku hizi wanaume ndiyo mnaongoza kwa kulalamika kwahiyo it's up to you walalamikaji kuchukua hatua women care less these days! Either unahudumia mchepuko au baki na mkeo!

Hayo mambo ya kusema eti mwanaume hana hasara mwisho wa siku atakayeumia ni mwanamke ilikuwa zamani! Mlipozoea kuwadanganya bibi zetu sababu hawakuwa na elimu!

Siku hizi hakuna mapenzi! Wanawake hata wakijicommit kwenu bila kuomba pesa hakuna faida watakayopata ukweli utabaki pale pale kuwa hamtawaoa na mwisho mtawaacha tu!
 
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...

Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
sanaa zimekuwa nyingi skuhz...
 
Back
Top Bottom