Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Wasalaam,

Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake, hasa ikiwa ana malengo naye ya future.

Kama ni mwanamke anayekusuuza roho ukimuona na wewe ukatumia nguvu kula 'msambwanda' uridhishe nafsi sawa. Ila sio kama una malengo ya kuwa kwenye uhusiano wa kudumu Kuoana ama kama Boyfriend and Girlfriend itakugharimu sana.

Kuna mdau humu aliwahi kuandika kuomba ushauri akiwa na majonzi akiwa haamini jinsi alivyoachwa na mwanamke aliyempa vingi sana na hadi kumtafutia kazi, Kuna mahali aliandika "Nilimfanya anipende asione wengine " Hili ndilo lilikuwa kosa lake kubwa sana. Yeye aliamini zile zawadi na vitu ndiyo ilikuwa ulimbo wa mapenzi kwa yule mwanamke.

Mwanamke anayekupenda atakupenda hata kama unatembea kwa mguu , huna kazi na unaishi ghetto la Elfu 15 kule Keko Magurumbasi. Ila huwezi kumfanya mwanamke akupende kisa umeenda bank kumchukulia mkopo na yeye aendeshe IST ! Fanya hivyo kwa mke wako. Jamii haitashangaa wala hutaonekana kituko kwa mashoga zake.

Wanaume wapeni wapenzi wenu zawadi zisizozidi utu wako, ili usije kuumia sana pale unapokuja kumegewa na kuachwa.

Thanks me later!
 
Wasalaam,


Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake , Hasa ikiwa ana malengo naye ya future.
Girlfriend na boy friend hawaoani. Mostly wanaishia kwenye rel ya juu juu tu. But mostly usilazimishe mapenz kwa mtu ambae hajakukubali simple has that
 
Girlfriend na boy friend hawaoani. Mostly wanaishia kwenye rel ya juu juu tu.
But mostly usilazimishe mapenz kwa mtu ambae hajakukubali simple has that
Ufahamu wako ni mdogo sana.
Hujawahi kusikia watu wana mika 5 au zaidi ila ni wapenzi tu ?!!!
Kwa hiyo hao tuwaitaje kama siyo Boyfriend and Girlfriend ?
 
Back
Top Bottom