CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,784
Umeandika ujinga, samahani lknYou have to fight and holding on to what you love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika ujinga, samahani lknYou have to fight and holding on to what you love
Ukute sasa na unaemganda walau kakuelewa japo kwa mbaaaliii ukimganda basi nae vi-feelings vitajengeka.You have to fight and holding on to what you love
Umeandika ujinga, samaYou have to fight and holding on to what you love
Daaah hahahaahKweli sema na ukikutana na mwanamke tapeli atajisifia tabia zake na kuficha makucha yake...
Akikupa qumer na akakufinyia kwa ndani dadekii ukikumbuka na uwongo wakee mbona utaenda iba na kutapeli kama kaka Sabaya[emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Umeandika ujinga, sama
Ujinga ni "perceptive and relative" so I can't be mad to youUmeandika ujinga, samahani lkn
Mapenzi ya kuvuta kwa kutumia pesa sio mapenzi mkuu. Pendaneni kwakua mnapendanaUkute sasa na unaemganda walau kakuelewa japo kwa mbaaaliii ukimganda basi nae vi-feelings vitajengeka.
Ukute hajakuelewa, haukamshtua, huna maajabu kwake kifupi unakua kero....labda hapo uwe na option ya uchawi 😁 (pesa)
Lakini hawajaoana. Wanao oana wanaitwa mume na mke. Hayo ni mapenz ya kawaida tu. But no ndoa.Ufahamu wako ni mdogo sana.
Hujawahi kusikia watu wana mika 5 au zaidi ila ni wapenzi tu ?!!!
Kwa hiyo hao tuwaitaje kama siyo Boyfriend and Girlfriend ?
Lakin huyo mtu una fight for make he /she is worth itYou have to fight and holding on to what you love
Na bado akakuacha[emoji124][emoji124][emoji124]Labda Kama hujakutana na mdada mwenye uno feni!! Wapo mafundi wewe..!
🤣Na bado akakuacha[emoji124][emoji124][emoji124]
Lakini sio lazma ukimpenda mtu nae akulove back....asipokuelewa basiMapenzi ya kuvuta kwa kutumia pesa sio mapenzi mkuu. Pendaneni kwakua mnapendana
Hiyo kuomba hela ni trick ya kukufukuza. Wanatumia sana wadada wa sikuizi.Kuna manzi kanikubali hivi na umaskini wangu. Nilisoma nae shule moja nikamtangulia, sikuwahi kuongea nae bali rafiki yake. Yeye alikuwa ananikwepa nikajua hapendi kuniona ila miaka miwili after ndio akanitafuta dm akanitajia jina nikamkubuka, akaomba namba. Mpaka sasa mwaka unaisha ndio mwanamke ananipenda kuliko yeyote na hatukutongozana
Kuna huyu mwingine nilimpenda mimi akanizungusha wee mpaka nikampumzika kwanza. Juzi kati hapa nikarudi kwake kumtongoza akanipa muda afikirie. Kesho yake akaniomba hela nikamwambia nasubiri kesho nipate, kesho ikafika akaomba hela nikamute kwanza. Nikamuuliza housemate mtoto mzuri wa mjini hii scenario imekaaje akacomfirm sipendwi. Nikagoma kutoa hela bora kila mtu ale alikopeleka mboga
Umemaliza mamy. Asipo reflect same love let him or her go. Si kila mtu kwenye maisha yako utaendeana naeLakini sio lazma ukimpenda mtu nae akulove back....asipokuelewa basi
Ulifanya jambo la busara sanaKuna manzi kanikubali hivi na umaskini wangu. Nilisoma nae shule moja nikamtangulia, sikuwahi kuongea nae bali rafiki yake. Yeye alikuwa ananikwepa nikajua hapendi kuniona ila miaka miwili after ndio akanitafuta dm akanitajia jina nikamkubuka, akaomba namba. Mpaka sasa mwaka unaisha ndio mwanamke ananipenda kuliko yeyote na hatukutongozana
Kuna huyu mwingine nilimpenda mimi akanizungusha wee mpaka nikampumzika kwanza. Juzi kati hapa nikarudi kwake kumtongoza akanipa muda afikirie. Kesho yake akaniomba hela nikamwambia nasubiri kesho nipate, kesho ikafika akaomba hela nikamute kwanza. Nikamuuliza housemate mtoto mzuri wa mjini hii scenario imekaaje akacomfirm sipendwi. Nikagoma kutoa hela bora kila mtu ale alikopeleka mboga
Mkuu naona nowdays no TagTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana na hayanaga muongozo...