Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

Hiyo kuomba hela ni trick ya kukufukuza. Wanatumia sana wadada wa sikuizi.
Japo si wote.
Mostly ukiona uko na mtu anaomba hela ya chips, sijui nguo za ndani, hajasuka, sijuia ana party.. all ndani ya wiki moja mliofahamiana. Sukuma mbali
Sasa huyu hata vocha hapati kudadeki zake. Yani watoto wazuri walionizunguka wote nina options kadhaa za kudate nazo yeye ndio aniendeshe. Kwanza mwenyewe mapenzi hayajasimama
 
Wasalaam,

Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake, hasa ikiwa ana malengo naye ya future.

Kama ni mwanamke anayekusuuza roho ukimuona na wewe ukatumia nguvu kula 'msambwanda' uridhishe nafsi sawa. Ila sio kama una malengo ya kuwa kwenye uhusiano wa kudumu Kuoana ama kama Boyfriend and Girlfriend itakugharimu sana.

Kuna mdau humu aliwahi kuandika kuomba ushauri akiwa na majonzi akiwa haamini jinsi alivyoachwa na mwanamke aliyempa vingi sana na hadi kumtafutia kazi, Kuna mahali aliandika "Nilimfanya anipende asione wengine " Hili ndilo lilikuwa kosa lake kubwa sana. Yeye aliamini zile zawadi na vitu ndiyo ilikuwa ulimbo wa mapenzi kwa yule mwanamke.

Mwanamke anayekupenda atakupenda hata kama unatembea kwa mguu , huna kazi na unaishi ghetto la Elfu 15 kule Keko Magurumbasi. Ila huwezi kumfanya mwanamke akupende kisa umeenda bank kumchukulia mkopo na yeye aendeshe IST ! Fanya hivyo kwa mke wako. Jamii haitashangaa wala hutaonekana kituko kwa mashoga zake.

Wanaume wapeni wapenzi wenu zawadi zisizozidi utu wako, ili usije kuumia sana pale unapokuja kumegewa na kuachwa.

Thanks me later!
UKWELI KABISA
 
Ushauri mzuri sio rahisi kuupata,,, hata ukiupata huwa ni vigumu kuufuata..
 
Hivyo viuno hata sungura anavyo! Ogopa kukutana na mwanamke ambaye anasimamisha uume wako, kwa hisia zote, anakufanya uwe mwanaume kwa dakika zote... Achana na hao wezi.

Sio kila mahali uume unasimama sawa.

Omba mungu ukutane na mwenye hisia na wewe.
 
Muombe mungu akupe hitaji LA moyo wako, watendee wema wanawake. Watakaokucheka Leo, miaka 100 baadaye hawatakuwepo na wewe hautakuwepo
 
Muombe mungu akupe hitaji LA moyo wako, watendee wema wanawake. Watakaokucheka Leo, miaka 100 baadaye hawatakuwepo na wewe hautakuwepo


Mwanaume anawezaje kujua mwanamke fulani anampenda kwa that ya moyo?

Kwaajili ya kujifunza tu.
 
Kuna manzi kanikubali hivi na umaskini wangu. Nilisoma nae shule moja nikamtangulia, sikuwahi kuongea nae bali rafiki yake. Yeye alikuwa ananikwepa nikajua hapendi kuniona ila miaka miwili after ndio akanitafuta dm akanitajia jina nikamkubuka, akaomba namba. Mpaka sasa mwaka unaisha ndio mwanamke ananipenda kuliko yeyote na hatukutongozana

Kuna huyu mwingine nilimpenda mimi akanizungusha wee mpaka nikampumzika kwanza. Juzi kati hapa nikarudi kwake kumtongoza akanipa muda afikirie. Kesho yake akaniomba hela nikamwambia nasubiri kesho nipate, kesho ikafika akaomba hela nikamute kwanza. Nikamuuliza housemate mtoto mzuri wa mjini hii scenario imekaaje akacomfirm sipendwi. Nikagoma kutoa hela bora kila mtu ale alikopeleka mboga


Kumbe havinaga kanuni ya kufanana!

Sasa umejuaje huwa huyo mwanamke ndiye anakupenda kwa that ya moyo kuliko wengine ambao uliwahi kuwa nao kwa mahusiano labda? Nataka kujifunza kitu fulani hapo!
 
Back
Top Bottom