Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

Usitumie nguvu kubwa sana mwanamke akupende. Utalia sana!

Tunapaswa kujifunza kuwajua wanaotupenda, sio kufanya watupende ingali hawatupendi


Ni kweli,
Mfano swala la kumpa mwanamke hela ni kumfanya akupende (kumu-induce) kukupenda ilihali hakupendi.

Ina maana when there a minus (-) money love = zero (o) or negative value.
 
Actually huwa inapendeza sana msingi wa mahusiano ya kimapenzi ukianza na penzi la dhati ya moyo halafu mengineyo kama vile hela n.k yaje yakute penzi la dhati lilikuwepo kabla ya kuwa na hela .

Huwa thamani ya penzi itazidi kuimarika.

Yani mwenza anaweza kushiba bila kula kwa furaha tu!
 
sikuiz vijana wanatafuta pa kupunguzia uzito tu,[emoji848][emoji848]
 
Kumbe havinaga kanuni ya kufanana!

Sasa umejuaje huwa huyo mwanamke ndiye anakupenda kwa that ya moyo kuliko wengine ambao uliwahi kuwa nao kwa mahusiano labda? Nataka kujifunza kitu fulani hapo!
Mkuu maswal yako nimeyakubali [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nina uzoefu na hilo, nimewahi kupenda mtu mpaka unahisi nimerogwa, mtu mpaka anapata mimba huko nje ila mm najikuta namhurumia. Ni kumbukumbu mbaya kwangu. Nawapenda wanawake lkn siwaonei huruma sasa hivi.
Mkuu ilikua sio akili yako pekee kuna nguvu kubwa inashare wawili ambao wameshawahi kufanya mapenzi zinaingiliana.
 
Kama zipi mfano

Mkuu toa ufafanuzi zaidi watu wajifunze


Mkuu toa ufafanuzi zaidi watu wajifunze
Mtaji wa Kwanza kwa mwanaume ni kujiamini tu
Mkuu toa ufafanuzi zaidi watu wajifunze

Challenges kama zipi kwa mfano @ Mlapapa
Kama zipi mfano?!
Challenges ni nyingi tu, hawa watu kwa kifupi uwa hawapend furaha ya kudumu, ukiweza ku control hisia ZAKO tu kwisha habar yake,ishi nae siku uwe kama simba Leo kifaru kesho kondoo kesho kutwa mamba, swala au nyegele usimshobokee wala nini, akivumilia hapo ushamu win huyo.
Kama zipi mfano?!
 
Nina uzoefu na hilo, nimewahi kupenda mtu mpaka unahisi nimerogwa, mtu mpaka anapata mimba huko nje ila mm najikuta namhurumia. Ni kumbukumbu mbaya kwangu. Nawapenda wanawake lkn siwaonei huruma sasa hivi.
Hatari sana kiongozi umenichekesha
 
kama humpendi jifanye kumpenda ili akuache kiubwete akijua huyu atarudi tu! maanahakuana mwingine tena wkt mwingine mbebe kabisa juu~!
 
Wanaume wapeni wapenzi wenu zawadi zisizozidi utu wako, ili usije kuumia sana pale unapokuja kumegewa na kuachwa.
Acha uongo!! mwanaume anahonga kulingana na Upako wa mke!!....kuna wanawake km wachawi vile yaani akiingia kwako ni mifweza tu kwa kwenda mbele~ sasa km amekuambukiza upako wa midolali nika jenga mghorofa wa kupangisha kwa nini niumie??

unaweza lala na mwanamke ukauza madawa ya kulevya tani mia na kamwe usikamatwe!! tunaita wana kismati!! ...huyo hata akikuacha unampa..ghorofa mbili bureeee!! akaishi na mumewe humo!! sasa huyo mme akisikia ni lako atatoka mwenyewe!...analia!

Dawa ya kuachwa ni kutoa zaidi na zaidi...usionyeshe kinyongo!!.... kwa kiumbe dhaifu! wadandiaji lazima wafe kihoro!! wenyewe watatafuta njia ya kutokea mazimaaaa! usiache mke kismarti...... saabu mpaka umemsomesha hela ulipata wapi??

muache uone utakavyopigika.....mchonga alimuacha Maria weee! ndo pale aliponapona kuuliwa mara kibao!! lkn alishauriwa na wajuvi ndipo akamrudisha maria mambo yakawa shwari!! hakuajribu kuoa tena
 
Back
Top Bottom