Eti. Geto la. 15000 kule keko magurumbasi...nimecheka Sana..Wasalaam,
Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake , Hasa ikiwa ana malengo naye ya future.
Sasa huyu hata vocha hapati kudadeki zake. Yani watoto wazuri walionizunguka wote nina options kadhaa za kudate nazo yeye ndio aniendeshe. Kwanza mwenyewe mapenzi hayajasimamaHiyo kuomba hela ni trick ya kukufukuza. Wanatumia sana wadada wa sikuizi.
Japo si wote.
Mostly ukiona uko na mtu anaomba hela ya chips, sijui nguo za ndani, hajasuka, sijuia ana party.. all ndani ya wiki moja mliofahamiana. Sukuma mbali
Mie NAMI kama wewe, Hadi naanza kuambiwa mbona umenisusa????[emoji23]Yani siku za hivi karibuni I don't care about wanawake kwakweli.Sina time nao na sihangaiki kuwatafuta.Sijui kwanini?
Sh ngapi hukoEti. Geto la. 15000 kule keko magurumbasi...nimecheka Sana..
Wasukuma hawaishi vitukoLabda Kama hujakutana na mdada mwenye uno feni!! Wapo mafundi wewe..!
Eeeh maisha yetu ya Keko 😂Eti. Geto la. 15000 kule keko magurumbasi...nimecheka Sana..
UKWELI KABISAWasalaam,
Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake, hasa ikiwa ana malengo naye ya future.
Kama ni mwanamke anayekusuuza roho ukimuona na wewe ukatumia nguvu kula 'msambwanda' uridhishe nafsi sawa. Ila sio kama una malengo ya kuwa kwenye uhusiano wa kudumu Kuoana ama kama Boyfriend and Girlfriend itakugharimu sana.
Kuna mdau humu aliwahi kuandika kuomba ushauri akiwa na majonzi akiwa haamini jinsi alivyoachwa na mwanamke aliyempa vingi sana na hadi kumtafutia kazi, Kuna mahali aliandika "Nilimfanya anipende asione wengine " Hili ndilo lilikuwa kosa lake kubwa sana. Yeye aliamini zile zawadi na vitu ndiyo ilikuwa ulimbo wa mapenzi kwa yule mwanamke.
Mwanamke anayekupenda atakupenda hata kama unatembea kwa mguu , huna kazi na unaishi ghetto la Elfu 15 kule Keko Magurumbasi. Ila huwezi kumfanya mwanamke akupende kisa umeenda bank kumchukulia mkopo na yeye aendeshe IST ! Fanya hivyo kwa mke wako. Jamii haitashangaa wala hutaonekana kituko kwa mashoga zake.
Wanaume wapeni wapenzi wenu zawadi zisizozidi utu wako, ili usije kuumia sana pale unapokuja kumegewa na kuachwa.
Thanks me later!
Keko Hakuna ghetto la 15000, acheni masihara nyie viumbeEeeh maisha yetu ya Keko 😂
Hata kule Korongoni kabisa ambapo maji haya kauki misimu. yote ya mwaka. Miwsho 40 elfu.Keko Hakuna ghetto la 15000, acheni masihara nyie viumbe
Hata kule Korongoni kabisa ambapo maji haya kauki misimu. yote ya mwaka. Miwsho 40 elfu
Watu wanaongea tu hawajui ni town paleHata kule Korongoni kabisa ambapo maji haya kauki misimu. yote ya mwaka. Miwsho 40 elfu.
Kariakoo kwa miguu unaingia chap kuliko hata aliyepo kwenye daladala .Watu wanaongea tu hawajui ni town pale
Muombe mungu akupe hitaji LA moyo wako, watendee wema wanawake. Watakaokucheka Leo, miaka 100 baadaye hawatakuwepo na wewe hautakuwepo
Kuna manzi kanikubali hivi na umaskini wangu. Nilisoma nae shule moja nikamtangulia, sikuwahi kuongea nae bali rafiki yake. Yeye alikuwa ananikwepa nikajua hapendi kuniona ila miaka miwili after ndio akanitafuta dm akanitajia jina nikamkubuka, akaomba namba. Mpaka sasa mwaka unaisha ndio mwanamke ananipenda kuliko yeyote na hatukutongozana
Kuna huyu mwingine nilimpenda mimi akanizungusha wee mpaka nikampumzika kwanza. Juzi kati hapa nikarudi kwake kumtongoza akanipa muda afikirie. Kesho yake akaniomba hela nikamwambia nasubiri kesho nipate, kesho ikafika akaomba hela nikamute kwanza. Nikamuuliza housemate mtoto mzuri wa mjini hii scenario imekaaje akacomfirm sipendwi. Nikagoma kutoa hela bora kila mtu ale alikopeleka mboga
Tatizo mna hang nao tu wanawake bila kuwapa challenge kama mnapendwaMwanaume anawezaje kujua mwanamke fulani anampenda kwa that ya moyo?
Kwaajili ya kujifunza tu.
Tatizo mna hang nao tu wanawake bila kuwapa challenge kama mnapendwa