Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Utafiti kwa kutumia sampuli moja inaitwa uzushi, tafadhari tafuta watu angalau 50 waliozaa ovyo ovyo, rudi hapa, au ingia google, angalia waliofanya huo utafiti.
 
Unadharau Sana genetics....Zina nguvu mzee Wacha kabisa
Hpn si kweli

Ktk saikoloji tumesoma haiba ya mtu ama personality ina vitu viwili vinavyoiunda... Cha kwanza

I) temperament hii ni zile sifa za kibailogia mtu unazorithi toka kwa wazazi wako kama urefu, ufupi, ucheshi n.k ambazo ndio genes unazozungumzia

II) character hizi ni zile sifa za kitabia kama wizi, uchoyo, ukarimu, ucha Mungu n.k hizi hutokana na malezi na mazingira uliyokulia. Ambazo ndio kiini cha uzi huu hivyo tabia kama hizi mtoto awezi kuzirithi automatically bila ya nguvu ya malezi na mazingira aliyepo
 
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!

Na ukioa mwanamke mwenye vimelea vya wizi yaani kwao ni majambazi huwezi kuoa mwanamke mwingine ni huyo huyo! Watoto wote utakaozaa inawezekana wakabeba tabia za mama yao yakawa majambazi yote ! Au mataita, au masela kama Wanavyojiita wenyewe! Ukiona mgomvi na zero brain ,utazaa mitoto zero brain hivyo hivyo! Hata ukilipeleka boarding halielewi kitu ! Yaani anafika darasa la Saba hajui kusoma Wala kuandika : ila hata ukimuangalia usoni unaona hili jamaa nikama jambazi jambazi hivi yaani ana viashiria hivyo !?

Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' Mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na Mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
Rafiki yako ni MALAYA sana aisee
 
Hpn si kweli

Ktk saikoloji tumesoma haiba ya mtu ama personality ina vitu viwili vinavyoiunda... Cha kwanza

I) temperament hii ni zile sifa za kibailogia mtu unazorithi toka kwa wazazi wako kama urefu, ufupi, ucheshi n.k ambazo ndio genes unazozungumzia

II) character hizi ni zile sifa za kitabia kama wizi, uchoyo, ukarimu, ucha Mungu n.k hizi hutokana na malezi na mazingira uliyokulia. Ambazo ndio kiini cha uzi huu hivyo tabia kama hizi mtoto awezi kuzirithi automatically bila ya nguvu ya malezi na mazingira aliyepo
Kila unachosoma ni kweli!!?...genetics mtu anasadifu kutembea,kukohoa,kucheka...we unasema psychology!!!
 
Umesema wagogo??? Mbona wanapiga kazi sana...mpaka wakaitwa matonya sio mchezo...kaz kaz tuu...kikubwa mkono uende kinywani...mpaka nakuomba najua unacho...😅😅
 
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!

Na ukioa mwanamke mwenye vimelea vya wizi yaani kwao ni majambazi huwezi kuoa mwanamke mwingine ni huyo huyo! Watoto wote utakaozaa inawezekana wakabeba tabia za mama yao yakawa majambazi yote ! Au mataita, au masela kama Wanavyojiita wenyewe! Ukiona mgomvi na zero brain ,utazaa mitoto zero brain hivyo hivyo! Hata ukilipeleka boarding halielewi kitu ! Yaani anafika darasa la Saba hajui kusoma Wala kuandika : ila hata ukimuangalia usoni unaona hili jamaa nikama jambazi jambazi hivi yaani ana viashiria hivyo !?

Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' Mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na Mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
Kwa wakati mwingine inaonekana Kama hujakomaa na unayoongea unaonyesha una umri gani. Yaani Kuna Mambo fulani Ni suala la umri so uko sawa sikubishii at this time.
Let us dive deep down the seabed
1- how about the unity ya watoto wake?
2- vipi kuhusu hizo Koo alizokuwa akipanda DNA zake?
3- umeonyesha Kama una attack jamii za kitanzania fulani.

Mwisho ili kuepusha kuhalalisha uzinzi wako yaani unatafuta reasons za kukulinda ama kukupa go ahead kwa kitu unachotaka kukifanya.


Katika suala la ndoa ama ukitaka kuoa iko hivi oa binti/mwanamke ambaye babu wa babu yake anajulikana.

Yaani kutokea kwa binti Rudi nyuma vizazi tano ajulikane originality yake na upande wa wazazi wote ujulikane na sio unakutana na mdada akapendeza anaimba kwaya ama ofisini kwako ama ukamkuta dukani ukampenda ukamchukua tu.
 
Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme.

Wawili ni wagogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !.
 
Kila unachosoma ni kweli!!?...genetics mtu anasadifu kutembea,kukohoa,kucheka...we unasema psychology!!!
Kwani hivyo ulivyo orodhesha kuna hata kimoja mesema sio biological inheritance???

Kiini cha uzi kimeegemea ktk genes trait au characters?? Na ni kwa kiasi gani wazazi tunaweza kuinfluence character ya mtt?
 
Kwani hivyo ulivyo orodhesha kuna hata kimoja mesema sio biological inheritance???

Kiini cha uzi kimeegemea ktk genes trait au characters?? Na ni kwa kiasi gani wazazi tunaweza kuinfluence character ya mtt?
Utainfluence akiwa mdogo,akipevuka anakua yeye..anafata traits zake
 
Back
Top Bottom