Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Hakuna kinachoshindika vimelea vyote vya tabia yeyeto unaweza ukaviondoa ni suala tu la elimu na maarifa kuhusu ulimwengu. Jiulize kwann familia zingine wamezaliwa watoto wengi kwa baba na mama mmoja na wote wamenyooka wapo safi yaani wote Wana maisha mazuri ndoa zao zimesimama. Yote hayo ni ujanja wa wazazi wao wanaijua siri. Au unakuta watoto wote wamevurugwa shida tangu unazaliwa hadi kifo, wazazi awajaijua siri zilizopo duniani. Maisha yote ya Dunia uendeshwa kwa siri ijue dunia uwe huru.
 
SAsa hao wanawake ukizaaa nao watoto tofauti tofauti wataolewa na nani.
 
Upo sahihi lakini muhimu usizae hovyo na mtu usiyemjua vizuri chimbuko lao. Chunguza ukoo wake wanatabia zipi Ili kuepuka hizo roho zenye vimelea vya wizi, uchawi, ukorofi, umasikini, nk.
Maana genetic zinanguvu sana japo Hakuna kisichoshindikana Ili kiwe sawa.
 
Kila nikifikira kuzaa nje ya ndoa
Na mke Wangu ananipenda sana na Hana tatizo lolote,moyo wangu unakua mzito sana
Ulitakiwa uzae kabla hunaingia kwenye ndoa bro angu kazaa na mchaga,mhaya,msukuma na mngoni
 
Kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu, ningelizaliwa mwanamume basi nisingezaa na mwanamke mmoja abadani, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, 2 hata wanne ningezaa nao, mi ni muumini wa mfumo dume

Kuzaa na mwanamke mmoja ni kuweka mayai ndani ya kapu moja, ikitokea mtikisiko yote yanavunjika,

wanawake tuna ka kujiamini ka kipuuzi hasa ambapo hakuna ushindani,
Wanawake ni watu wa kutunza maumivu, kama ulimtendea ndivyo sivyo enzi za ujana, then ukazaa nae peke yake uzeeni ujiandae maana watoto wote watakuwa upande wa mama yao wewe baba utakuwa mpweke kupitiliza yale mamlaka ya kiume yote yatakuwa chini ya mkeo, ukijitutumua kuongea wanakulambisha adhabu na wanae lakini ukiwa umezaa kwingine kutakuwa Kuna ile ushindani, kwasababu mke anajua unao wengine kuna hali fulani atapunguza ngebe, maana anajua akikuvuruga wapo watakaokupa faraja kitu ambacho wanawake wengi hatupendi yani uwape baraka watoto wa nje kuliko wa ndani hivyo atalazimika kusimamia nidhamu ya wanae juu yako baba yao

Kuna story huwa naisoma kuwa mwanaume Ni km bulldozer linatengeneza barabara ila ikikamilika haliruhusiwi kupita,,sasa ukiwa na watoto kwa wamama tofauti kuna unafuu kiaina watakubeba kwwnye semi lakini afadhali kuliko kupaki ukaozeana,,
Wanawake wengi tunathamini mwanaume akiwa na nguvu, akizeeka hana jipya tena, labda awe alijiweka vizuri, Sasa hapo ndo ujikute ulizaa na mke mmoja nae ni bandidu,, lazima ufe chap tu
Mengineyo yamesemwa na mtoa mada,
 
Kama kwenye familia ya baba mmoja na mama mmoja wanatoka watoto wenye tabia tofauti. Je ukiza na wanawake tofauti na wote wakarithi tabia moja na ambayo siyo nzuri
 
Kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu, ningelizaliwa mwanamume basi nisingezaa na mwanamke mmoja abadani, ningeoa mmoja ila ningezaa na zaidi ya mmoja, 2 hata wanne ningezaa nao, mi ni muumini wa mfumo dume

Kuzaa na mwanamke mmoja ni kuweka mayai ndani ya kapu moja, ikitokea mtikisiko yote yanavunjika,

wanawake tuna ka kujiamini ka kipuuzi hasa ambapo hakuna ushindani,
Wanawake ni watu wa kutunza maumivu, kama ulimtendea ndivyo sivyo enzi za ujana, then ukazaa nae peke yake uzeeni ujiandae maana watoto wote watakuwa upande wa mama yao wewe baba utakuwa mpweke kupitiliza yale mamlaka ya kiume yote yatakuwa chini ya mkeo, ukijitutumua kuongea wanakulambisha adhabu na wanae lakini ukiwa umezaa kwingine kutakuwa Kuna ile ushindani, kwasababu mke anajua unao wengine kuna hali fulani atapunguza ngebe, maana anajua akikuvuruga wapo watakaokupa faraja kitu ambacho wanawake wengi hatupendi yani uwape baraka watoto wa nje kuliko wa ndani hivyo atalazimika kusimamia nidhamu ya wanae juu yako baba yao

Kuna story huwa naisoma kuwa mwanaume Ni km bulldozer linatengeneza barabara ila ikikamilika haliruhusiwi kupita,,sasa ukiwa na watoto kwa wamama tofauti kuna unafuu kiaina watakubeba kwwnye semi lakini afadhali kuliko kupaki ukaozeana,,
Wanawake wengi tunathamini mwanaume akiwa na nguvu, akizeeka hana jipya tena, labda awe alijiweka vizuri, Sasa hapo ndo ujikute ulizaa na mke mmoja nae ni bandidu,, lazima ufe chap tu
Mengineyo yamesemwa na mtoa mada,
Hapa kuna la kujifunza
 
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!

Na ukioa mwanamke mwenye vimelea vya wizi yaani kwao ni majambazi huwezi kuoa mwanamke mwingine ni huyo huyo! Watoto wote utakaozaa inawezekana wakabeba tabia za mama yao yakawa majambazi yote ! Au mataita, au masela kama Wanavyojiita wenyewe! Ukiona mgomvi na zero brain ,utazaa mitoto zero brain hivyo hivyo! Hata ukilipeleka boarding halielewi kitu ! Yaani anafika darasa la Saba hajui kusoma Wala kuandika : ila hata ukimuangalia usoni unaona hili jamaa nikama jambazi jambazi hivi yaani ana viashiria hivyo !?

Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' Mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na Mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
Akili za kipumbavu. Sema wewe utakuwa mwanamke malaya umezalishwa na wanaume mbalimbali unatafuta justification.
 
Umesema wagogo??? Mbona wanapiga kazi sana...mpaka wakaitwa matonya sio mchezo...kaz kaz tuu...kikubwa mkono uende kinywani...mpaka nakuomba najua unacho...[emoji28][emoji28]
Wanaitwa Matonya sababu ni omba omba sana

Zamani kidogo kwenye mitaa ya ofisi za Abood zilipo Morogoro walikuwa wanazurulula wakikutana na watu wanaomba hela
 
Hakuna kinachoshindika vimelea vyote vya tabia yeyeto unaweza ukaviondoa ni suala tu la elimu na maarifa kuhusu ulimwengu. Jiulize kwann familia zingine wamezaliwa watoto wengi kwa baba na mama mmoja na wote wamenyooka wapo safi yaani wote Wana maisha mazuri ndoa zao zimesimama. Yote hayo ni ujanja wa wazazi wao wanaijua siri. Au unakuta watoto wote wamevurugwa shida tangu unazaliwa hadi kifo, wazazi awajaijua siri zilizopo duniani. Maisha yote ya Dunia uendeshwa kwa siri ijue dunia uwe huru.
Sasa hizo siri ni zipi kama unazijua hebu ziseme,maana umeongea mambo ya kufikirika tu, siri ipi?
 
Sasa hizo siri ni zipi kama unazijua hebu ziseme,maana umeongea mambo ya kufikirika tu, siri ipi?
Siri za ulimwengu wa ROHO, Roho ndio utawala maisha ya mwili zikiwemo tabia za watu
 
Back
Top Bottom