Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Siri za ulimwengu wa ROHO, Roho ndio utawala maisha ya mwili zikiwemo tabia za watu
Vitu gani sasa uviseme, mbona unapapasa tu, ongea A-Z vitu halisi watu waelewe, yaani ni sawa na kusema huu ni mkono na ni mkono kweli, hii ni nyumba na ni nyumba kweli, vitu vinavyo zunguka jamii ktk uhalisia wake... Siyo mambo ya kufikirika
 
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!
eshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
Hujasema aliyezaa na mnyakyusa anapenda nini?
 
Na mwanamke ajitahidi asizae na bwana mmoja. Ila ni Siri yao, wao ndio wanaojua baba wa mtoto.
 
Unazaa na mwanamke mnyimi anakunyima Hadi unyumba.
Watoto wanakuwa wakubwa wanaungana na mama kukunyima hata hela ya soda.
Hapo umeuza kila kitukuwasomesha
 
Nitazaa nje ya ndoa yangu kiukweli mke wangu kabadilika sana na hana heshima tena kwangu, Mungu nipe subra kuna binti mwakani anamaliza form 4 nataka nizae nae maana nimemtoa bikra mimi na huwa naendelea kupanua njia
 
Back
Top Bottom