Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

image_search_1650722365643.jpg
 
Hatupo kwenye hizi zama. Akitokea raisi muuaji bila kufuata taratibu ataondoka kwa mtindo unaofanana na huo au mtindo huo.

JAMHURI ina sheria na taratibu ilizojiwekea za makosa ya Jinai zinazohusisha mahakama.

Ukianza kuua watu kwa kisingizio cha Ufisadi huku kupuuza hizo taratibu zilizopo za nchi JAMHURI ina namna yake ya kudili na wewe hata ukiwa kiongozi wa juu kabisa.
 
Back
Top Bottom