Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unakataa kwamba wewe si Pombe?Wapambe wa mafisadi mna mambo ya kipuuzi.
Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Acheni kufurahia uvunjaji wa sheria. Yeyote mwenye nia njema na hii nchi anapaswa kujenga taasisi imara na sio siasa uchwara za kujiona mungu mtu.
Hizo sio sustainable measures. Unahitaji nchi yenye taasisi imara.
Unajua marekani vyombo vya ulinzi vilihamisha vitu vya trump wakati bado anabisha kwamba hajashindwa? Hizo ndio taasisi imara. Na hapo lazima maendeleo yawepo.
Acha upumbavu wewe mjinga,,una uhakika na usemacho?Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Huyo sio mzalendo, kuwapiga watu risasi ni udikteta...Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Baba yako wewe ni mpumbavu ndio urithi kakuachiaMjinga baba yako.
Sio Imara kabisa na ndiyo maana watu wataalamu wanaongelea katiba! Tatizo la udikteta wengi ni wabaya kuliko wazuri. Mfano Museveni sio mbaya sana lakini anamwachia nchi mtoto wake! Je tunataka nchi yetu iende huko angalieni North Korea. Demokrasia ndiyo system pekee nzuri lakini katiba na sheria inabidi ziwe imara sana. Negeria walikuwa wanapiga wezi risasi hadharani halafu viongozi ni mabilionea kwa wizi!. Kasome ripoti ya CAG uone rushwa 2019-2020 ilibyokuwa kubwa tena mwaka wa Covid!Kwani unadhania sheria za sasa sio imara?
Wengine mlizaliwa bure na kuwa tegemezi.
China pekee ndo wameweza kutekeleza iyo maneno pamoja na zengwe la Amnesty InternationslSio Imara kabisa na ndiyo maana watu wataalamu wanaongelea katiba! Tatizo la udikteta wengi ni wabaya kuliko wazuri. Mfano Museveni sio mbaya sana lakini anamwachia nchi mtoto wake! Je tunataka nchi yetu iende huko angalieni North Korea. Demokrasia ndiyo system pekee nzuri lakini katiba na sheria inabidi ziwe imara sana. Negeria walikuwa wanapiga wezi risasi hadharani halafu viongozi ni mabilionea kwa wizi!. Kasome ripoti ya CAG uone rushwa 2019-2020 ilibyokuwa kubwa tena mwaka wa Covid!
China pekee ndo wameweza kutekeleza iyo maneno pamoja na zengwe la Amnesty Internationsl
Daaah, inakera sana, watu tumekamuliwa pesa kujenga bwawa, halafu we unakuja kulitelekeza kirahisi tu, dawa yao kumbe ipoSamuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Yaa ccm kuna siku!!? YajaSamuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Huyo hawezi kuwa mzalendo ila atakuwa shetaniSamuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741