Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

View attachment 2197741
Msoga wanatuona wengine ni mafamba tu.
Yamejitengenezea mifereji ya kudumu ya ufisadi wa kutisha.
Ipo siku wataimba haleluya bila kupenda
 
Miaka 60 ya uhuru tupo vile vile maskini inasikitisha sana.
 
Hii nchi Raisi anaweza fanya lolote tu ataloona linafaaaa..

So siwezi kubisha sanaa...

Wajukuu watakaokuja kusoma hapa watajionea
 
 
Vipi Yule mzalenda na mtetezi wa wanyonge aLishindwa kuwawajibisha mafisadi, au alikuwa ana wadanga wananchi
... jinga lile; unaamini palikuwa na uzalendo pale? Marafiki zake wengine si tayari wanatumikia 30 yrs?
 
Hatupo kwenye hizi zama. Akitokea raisi muuaji bila kufuata taratibu ataondoka kwa mtindo unaofanana na huo au mtindo huo.

JAMHURI ina sheria na taratibu ilizojiwekea za makosa ya Jinai zinazohusisha mahakama.

Ukianza kuua watu kwa kisingizio cha Ufisadi huku kupuuza hizo taratibu zilizopo za nchi JAMHURI ina namna yake ya kudili na wewe hata ukiwa kiongozi wa juu kabisa.
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Mawazo ya kijinga.
Umasikini wako hautokani na mtu anayejituma.
Ujinga mkubwa wa watu kama ninyi ni kufikiri inabidi wote wawe masikini kama ninyi ndio muone ni haki kwa kila mtu.
Mawazo ha kijima kabisa.
 
Back
Top Bottom