Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Tatizo kuna maTz yanawatetea mafisadi, mtu anaingia kwenye siasa sio billionaire anatoka billionaire,sio fair kabisa na ni kodi wanakamua wananchi hadi uroto😀😀
 
Tatizo kuna maTz yanawatetea mafisadi, mtu anaingia kwenye siasa sio billionaire anatoka billionaire,sio fair kabisa na ni kodi wanakamua wananchi hadi uroto😀😀
Watu wajinga wajinga wanafikiri matatizo yao kimaisha ni sababu ya watu wengine.
Huku wanalala bila kupambana na maisha, wakifikiri manna itawaangukia waishi maisha ya neema.
 
Up
Hatupo kwenye hizi zama. Akitokea raisi muuaji bila kufuata taratibu ataondoka kwa mtindo unaofanana na huo au mtindo huo.

JAMHURI ina sheria na taratibu ilizojiwekea za makosa ya Jinai zinazohusisha mahakama.

Ukianza kuua watu kwa kisingizio cha Ufisadi huku kupuuza hizo taratibu zilizopo za nchi JAMHURI ina namna yake ya kudili na wewe hata ukiwa kiongozi wa juu kabisa.
Upo sahihi, utawala ufuate sheria za nchi.
Ukiona Raisi anakwenda kinyume na sheria za nchi alizoapa kulinda ujue ni dhaifu.
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Tuna sheria za wezi wa aina hiyo na zina meno.
 
Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

View attachment 2197741

Wewe kweli unafahamu habari ya Samuel Doe na Liberia? Ni katika aibu za Afrika zisizostahili kutolewa mfano. Tafuta mfano halisi wa mapambano dhidi ya ufisadi. Sio huu.
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Msilee ujinga, hao mafisadi mtawapiga risasi halafu wao wanawakodolea macho tu.
Mnaomba civil war?
Very selfish!
 
Hivi mwisho wa Samwel Doe ulikuwaje?
Mwisho wake ndo akageuka kuwa rais mkabila , akawa anapendelea kabila lake jeshini na serikalini , akageuka kuwa fisadi na mwizi kuliko aliowaua .
Mwisho akatolewa madarakani kwa aibu kuliko rais yoyote toka kuumbwa kwa ulimwengu na dunia hii.
Alipigwa kipigo cha mbwa mwizi kisha akafungwa nyuma ya gari na kuanza kuburuzwa mitaa ya Monrovia 🇱🇷🇱🇷. Chini ya kamanda Prince Johnson hakika Doe alikipata cha mtema kuni.
 
Mwisho wake ndo akageuka kuwa rais mkabila , akawa anapendelea kabila lake jeshini na serikalini , akageuka kuwa fisadi na mwizi kuliko aliowaua .
Mwisho akatolewa madarakani kwa aibu kuliko rais yoyote toka kuumbwa kwa ulimwengu na dunia hii.
Alipigwa kipigo cha mbwa mwizi kisha akafungwa nyuma ya gari na kuanza kuburuzwa mitaa ya Monrovia 🇱🇷🇱🇷. Chini ya kamanda Prince Johnson hakika Doe alikipata cha mtema kuni.
Alikula karma,aliyemuua kwa ukatili ule siku hizi ni mchungaji anamtumikia Mungu yeye ndo anajua kama ni feki au original
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Huwezi Pambana na ufisadi kama wewe ni fisadi.
 
Tatizo kuna maTz yanawatetea mafisadi, mtu anaingia kwenye siasa sio billionaire anatoka billionaire,sio fair kabisa na ni kodi wanakamua wananchi hadi uroto😀😀
Ufisadi ndo shortcut ya life kwa mbongo.Sababu bado ajafikia level ya maturity.
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
China hii ndio iliwatoa kwenye lindi la umaskini
 
Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

View attachment 2197741
Yaani tulivyo na hasira na hawa watafuna kodi zetu, hawa walafi, kupe, mbu, chawa, mafisadi. Ni hatariii…:
Ipo siku tu….
 
Kwa hiyo wewe na familia yako iendelee kutaabika kwa sababu kuna sheria itakayowachikulia hatua mafisadi...UPUUUZI..watu wamekalia wizi wa kodi zetu, na wanakuwa matajiri kwa kufirisi nchi....eti wapite mahakamani....

Nawahakikishieni, kama tungekuwa tunajielewa nchi hii katika ingebadilika...na moja kati ya vipengele kwenye mabadiliko ni kuwa Ukiiba mali za umma na ukathibitika kwa ushahidi unanyongwa INSTANT. Sheria hiyo ikiwe na MENO Nchi hii tungekuwa MBALI SANA.
Jule jamaa asingelivifuta VYAMA VYA UPINZANI mwaka 1965 kungekuwa na mgongano wa mawazo na tusingekuwa na Domination ya Chama kimoja kinachoendeshwa na genge la Majangili kama ilivyo sasa...
 
Back
Top Bottom