Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Nina hisi wewe mtu masikini sana.Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Halafu Mshamba..Nina hisi wewe mtu masikini sana.
Kimwili na kimawazo.
Nchi inaongozwa kwa utawala wa sheria. Kila mtu afuate sheria.Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbet na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.
Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.
View attachment 2197741
Utakuwa sawa ndugu yako achukuliwe na kupigwa risasi kisa anazo tuhuma bila kufikishwa mahakamani?Tutasubiri mpaka lini hizi sheria kutekelezwa? Huku tunaibiwa.
Kwakuwa wewe ni mnufaika wa ufisadi?Nina hisi wewe mtu masikini sana.
Kimwili na kimawazo.
Nani ameshtakiwa mahakamani?Tuhuma? Sakata la Epa na Escrow ni tuhuma?
Yeah. Uko geita ni maarufu sana hii pombe.Hii ni Ile pombe inayopikwa kwa kutumia pumba,WAHEHE waliidharau sana hiyo kangala kwaajili ya pumba
Acheni kufurahia uvunjaji wa sheria. Yeyote mwenye nia njema na hii nchi anapaswa kujenga taasisi imara na sio siasa uchwara za kujiona mungu mtu.Unazunguka hovyo.
Hizo sio sustainable measures. Unahitaji nchi yenye taasisi imara.Piga risasi hadharani tu.
Bwashee ina maana ataanza na familia ya Kikwete? Maana ndiko limetokea hilo ombi!Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.
Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.