Utabiri: Ipo siku atatokea kiongozi mzalendo hapa nchini atawafunga kamba mafisadi na kuwaminia risasi mchana kweupe

Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

View attachment 2197741

Hata yeye naye alikiona Cha moto.alifilibwa na kutahiriwa bila ganzi.tena hadharani kinoma mama.
 
Samuel Doe aliwachapa risasi akina Tolbert na wapambe wake sababu ya dharau kama hizi.

Unakwapua mali za umma na kuwaona watu wajinga.

Halafu bado unaomba bunge liwapatie wake wa marais wastaafu mafao.

View attachment 2197741
Na je kilichompata Samuel Doe September 9, 1990 unakikumbuka?

Alikamatwa na kikundi cha Johnson na kuburuzwa uchi kwa siku nzima mitaani.

 
Alikula karma,aliyemuua kwa ukatili ule siku hizi ni mchungaji anamtumikia Mungu yeye ndo anajua kama ni feki au original
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aliye muua Doe ni Prince Johnson , baada ya kushika nchi na yeye hakudumu akapinduliwa na Charles Tailor mwisho wa Siku akakimbilia πŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡Έ. Mwisho wa Siku na yeye karma ilifanya yake akakutwa amejinyonga huko kwa Biden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…