Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Ndalichako ni msomi na mwanataaluma.Kwa akili yako unaona Prof Ndalichako ana uwezo wa kuwa Rais mzuri kumzidi Samia?
Kuna hoja imeibuliwa na Dr Uchwara kuwa aliepo amechaguliwa uenyekiti Kwa miaka 2, yaani Kwa matazamio, chimbua ukwelii wa hoja hiyo.Ina MAANA Kinana ndiyo Mwenyekiti wa CHAMA sio!!!?
Nakumbuka hotuba yake Baada kuteuliwa m.kiti alisema CHAMA NDIO KINAIELEKEZA SERIKALI NA SIO SERIKALI INAELEKEZA CHAMA!!
TUSUBIRI
KWELI mjoli Anaweza penya KWA kura za kanda ya ziwa ndani ya CHAMA!!!
Ngoja TUONE!
Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!Kuna hoja imeibuliwa na Dr Uchwara kuwa aliepo amechaguliwa uenyekiti Kwa miaka 2, yaani Kwa matazamio, chimbua ukwelii wa hoja hiyo.
Vizuri.Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!
Nadhani CHAMA ni chambo tu lakini hatma ipo kikatiba kabisa ya sasa!
Na hapo zengwe huchezwa kukutemesha kitumbua !inawezekana hata hayo makodi na wamasai ikawa shere ya kumtoa Relini Kumbuka pia kumnanga marehemu kukazua hasira ya kanda ya nyanza akapoteza uungwaji mkono wa kanda kubwa MBILI hizo!!!
Wakamuweka kapuni!!
Tayari wamefanikiwa kule kanda ya nyanza na Sasa wanakamilisha kanda ya kaskazini halafu rasmi wamwambie umepoteza mvuto HUKO!!!
TUSUBIRI
Huyo mwanamme uliyeonyeshwa kwenye maono yako ni mimi.3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
Turudi kwenye HOJA,Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!
Nadhani CHAMA ni chambo tu lakini hatma ipo kikatiba kabisa ya sasa!
Na hapo zengwe huchezwa kukutemesha kitumbua !inawezekana hata hayo makodi na wamasai ikawa shere ya kumtoa Relini Kumbuka pia kumnanga marehemu kukazua hasira ya kanda ya nyanza akapoteza uungwaji mkono wa kanda kubwa MBILI hizo!!!
Wakamuweka kapuni!!
Tayari wamefanikiwa kule kanda ya nyanza na Sasa wanakamilisha kanda ya kaskazini halafu rasmi wamwambie umepoteza mvuto HUKO!!!
TUSUBIRI
Tafsiri na Kwa KISWAHILI. AmenTafsiri; ina maana God had doomed the kingdom of Belshazzar. View attachment 2268764
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hapa kidogo umeanza vizuri ila hujamalizia na mpango nae je?ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.
kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Ila kiukwel mm NAICHUKIA cccccmmm kuliko hata kiongozi aliepo.Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Hana uwezo wa kupanga team, labda wakimpangia sawa itawezekana, lakini akiachwa pekeake mhmm.Utabiri mfu huu.
Chief ameishapanga safu yake ni nani wa kumshinda?
Yaani wapinzani wa nchi hii ukiwaangalia kiundani ni kama hawana mpango wa kuchukua dola, wao kufanya vizuri ni mpaka ccm wakosee ccm wakifanya vizuri wanapoteana. Ukifuatilia vizuri utagundua kuwa toka JPM ameingia madarakani na kutekeleza sera za upinzani kwa asilimia kubwa upinzani uliyeyuka kama barafu, sababu wananchi hawakuona sababu ya kuunga mkono upinzani ambao wao sera zao zilihamia kwenye kukosoa serikali kwa kila jambo.Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.
Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.πππ
Kwamba mama ni mjanja kuliko menta wake?Wakati viongozi wote wa kamati kuu ni team Makunduchi. Yani hizi ni ndoto ichingi buana. Jina ni moja tu na tayari alishajipanga mwanzo mwisho
Endelea kuota! Ni haki yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dogo unahangaika sana na samia.
Huyo hafiki popote baada ya 2023.
Jiandae kuwa chawa wa kibaraka mwingine atakayewekwa ikulu kuanzia mwaka huo.
Utateseka mno bwana mdogo.
Tupate tu KATIBA mpya, njia hiyo ni mbaya na Haina mwisho.Hapa kidogo umeanza vizuri ila hujamalizia na mpango nae je?
Kwa kiswahiliTafsiri na Kwa KISWAHILI. Amen
Samia atashinda bila kuiba kura? Nani sasa atamchagua! Watanzania hawa ambao wanajionyesha wazi hawamkubali ndo watampigia kura? We itakuwa haupo TZ huyajui yaliyopo.Sukuma Gang mumekosa shughuli mwishowe kuwa WACHAWI. Tafuteni kazi mufanye za kupatia vipato, hizi ndoto za KIWENDAWAZIMU hazina maana.
Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM na siyo mjinga hata kidogo. Kama ametumia busara kiasi hilki kuwatuliza wapinzani ambao mtangulizi wake alikuwa anawapiga risasi, anawanyang'anya fedha, anawatupa jela, je atashindwaje kuwatuliza wana CCM?
Nakuhakikishia kuwa Samia ni mgombea wa CCM wa 2025 na atashinda kwa kishindo bila kuiba kura kwa kuwa mipango yake ya uchumi iko vizuri.
Nchi ina wenyewe dogo.Endelea kuota! Ni haki yako