Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Dr Msukuma ndio nani?
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Mpango ni mzee hawezi kuwa rais
 
Hivi Ukiwa kiongozi mkuu wa Nchi unaweza mwacha Mwigulu, Makamba na vijana wengine wafanye wanavojiskia wasikemewe??

Hoja hii pia hujaijibu, ukitafuta wanawake nchini wenye sifa za kuwa Marais ukiwachanganya wapigiwe kura, huyu atatoboa???
Kwani hao unaowataja wewe walikuwa hawajazaliwa wakati CC ya CCM inapitisha jina la Samia mwaka 2015?

Watanzania hamkijui mnachokitaka!! Alikuja JK mkasema mpole, akaja DIKTETA wa Chato akawa anawaua na kuwavuruga kwa kila namna!! Sasa unamtaka Asha Rose Migiro!! Kwa kipi ambacho amewahi kufanya akamzidi Samia?
 
Ndalichako ni msomi na mwanataaluma.

Samia ni mcheza vigodoro na sekretari wa NGO.

Chagua nani anafaa zaidi kati ya wawili hao.
Ulikwisha sikia English ya Ndalichako? Halafu unasema eti ni msomi na mwanataaluma?
 
Ndugu me so wale wa kupinga Kila ktu.

Huyu aliepo tutamkumbuka vizazi Hadi vizazi kwakuwa kupitia YEYE, CHAMA chake kimetidhia mchakato wa KATIBA mpya uanze Sasa.

Naipenda sana TANZANIA yangu, maana Nchi zingine KATIBA huandikwa Kwa matone ya DAMU.
 
Kila kitu Sukuma Gang! Nani anateseka kati yao na wewe?
 
Marais hulindwa, huongezewa ulinzi sio kuwaombea. Hupewa ulinzi kwa gharama ya kodi zetu ili aweze kufanya maamuzi bila woga.
By the way, hivi hata makanali, majenerali wa kijeshi, makamishina wa polisi, IGP na Katibu Mkuu Kiongozi watakopeshwa kwa ule mpango wa Mwigulu?
Na wakuu wetu wa mtaa wa mtakatifu Simoni je?
Ila Mwigulu ana short sightdness jamani! Mweheeeww!
 
maza amepanga safu yake vizuri lazima atoboe.na namuombea mema maza anatangaza ajira kishenzi
jambo ambalo enzi za mkuu ilikua ndoto
 
Ulikwisha sikia English ya Ndalichako? Halafu unasema eti ni msomi na mwanataaluma?
Kwani English ndio usomi?

Ndalichako ni mathematician, msomi mwenye PhD na mkufunzi wa Chuo Kikuu (Doctorate) — A Professor of Mathematics.

Samia ni mcheza vigodoro. Sio mtaalamu. Hana Curriculum Vitae — Hajulikani hata ametokea wapi (Kuna fununu zinasema alikuwa SEKRETARI wa vikoba).

Yaani hapo hata wazee wa nchi wakikaa kupiga "ana ana doo", samia wanamfyeka chap bila kuulizana ulizana.
 
Sasa unamtaka Asha Rose Migiro!! Kwa kipi ambacho amewahi kufanya akamzidi Samia?

Asha Rose Migiro ni msomi mwenye CV iliyosheheni kweli kweli. Ana viwango vya kuhudumu kimataifa kwenye vyombo mbalimbali duniani.

Usimlinganishe na huyo bibi yenu samia ambaye ni sekretari wa NGO. Hana hata Curriculum Vitae.

Uwepo wa samia ni zali tu la kifo cha Magufuli. Hana uwezo wala sifa za kitaaluma. Ni rais wa urithi.

Asha Rose ni mwanamke wa shoka! Sijui kama unamfahamu vizuri au unamsikia kwenye magazeti ya udaku tu?
 
Ndoto nyingine zinatisha! Acha kabisa! Unaota unakula pilao! Unashituka usingizini unajikuta unatafuna blanketi[emoji38]
 
Taratibu usijikojolee ndugu mana unaota mchana kweupe! Mama Samia ni Rais mpaka 2030. Hutaki hama nchi!!!
 
Naamini ana mipango mizuri na anajitajid sana japo vita yake nayo si ya kitoto kikulacho ki nguoni mwako
 
Khaaa hebu punguza hasira kidogo
 
kwahiyo msukuma atahama chama na kuazisha chake, by lini?
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Na iwe hivyo. Huyo utopolo akapumzike.
 
Mkuu

Atakayeshinda uchaguzi wa mwaka 2025 iwe kwa halali au mabavu na hila ni sharti nyota yake inayoundwa na herufi za majina matatu, tarehe ya kuzaliwa, mwezi na mwaka pamoja na tarehe ya uchaguzi jumla yake iwe inagawanyika kwa mbili ndio mshindi. Kinyume na hapo ni balaa hatodumu hata siku moja ofisini.

Mfano: JPM [10+16+13] + [Date29Month10+Year59] + [Election Date29=1+6+6 =1+3=4=WINNER by aggregate of one point above 50%

The same formula for 2025!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…