Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Sukuma Gang mumekosa shughuli mwishowe kuwa WACHAWI. Tafuteni kazi mufanye za kupatia vipato, hizi ndoto za KIWENDAWAZIMU hazina maana.

Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM na siyo mjinga hata kidogo. Kama ametumia busara kiasi hilki kuwatuliza wapinzani ambao mtangulizi wake alikuwa anawapiga risasi, anawanyang'anya fedha, anawatupa jela, je atashindwaje kuwatuliza wana CCM?

Nakuhakikishia kuwa Samia ni mgombea wa CCM wa 2025 na atashinda kwa kishindo bila kuiba kura kwa kuwa mipango yake ya uchumi iko vizuri.
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Wakati viongozi wote wa kamati kuu ni team Makunduchi. Yani hizi ni ndoto ichingi buana. Jina ni moja tu na tayari alishajipanga mwanzo mwisho
 
Sina hakika na unachozungumza kwenye hii post yako, au kwenye uzi huu, lakini mimi ni mmoja ya watu wasioamini tena kwenye uwepo wa CCM madarakani. Na ikibidi tuondoe kabisa huu mfumo wa chama kimoja kukaa madarakani kwa shuruti kwa muda mrefu. Naona akina Mwigulu wameanza kuiba pesa ili wakae madarakani kwa njia chafu.
Hao wanaandaa vizimba vyao magerezani tu. Wanadhani mambo siku zote yatakuwa hivi kwamba ni wao tu...

Hakuna aliyewahi kudhani kuwa, Jiwe a.k.a John P. Magufuli angekufa haraka vile. Kama huyu alikufa kisiasa na kimwili, hawa kina Mwigulu na CCM wanaweza kufa pia hata kama siyo kimwili basi siasa zao zitafikia tamati si muda mrefu...

Wajifunze kwa hilo tu.
 
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
Kwanza hujajieleza ulipata wapi elimu yako ya unajimu, hata kama unayo hujaweka mifano ya uliyowahi kuyatabiria na yakatokea kama ulivyo yatabiri.

Na bado hujaeleza kikwazo cha taratibu za CCM zilizozoeleka, wakati huu kwa nini zisitumike.

Huku ni kujipa matarajio kusikokuwa na msingi wowote.

Lakini nami niwe mkweli, matarajio haya nitayaunga mkono.
 
Kama jpm angekuwa hai hii ilikuwa ni awamu yake ya vipindi viwili.Kwa.hiyo.huyu Ssh naye anamalizia sehemu ya kipindi kilichobaki maana naye alikuwa ni msaidizi wa jpm.Nasema tena naye atakuwa amemaliza kipindi chake cha utawala,hivyo ni lazima fomu zitolewa zaidi ya moja.Kidumu Chama cha .....
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Nachokubaliana nawe pekee ni kwamba watajitokeza wagombea wengine zaidi ya rais wa sasa.
Sababu kubwa na ni sahihi kabisa samia hakupita tanuru la mchakato wa kugombea uteuzi kugombea urais bali amerithi urais wa magufuli. Wanaccm wanataka mgombea achekechwe na vikao vya chama anapoanza awamu yake ya kwanza ili hatimae tupate mgombea bora wala sio bora mgombea.
Itakapofanyika hivyo bila shaka itagundulika taifa bado halijakua tayari kuongozwa na mwanamke.
 
Kama jpm angekuwa hai hii ilikuwa ni awamu yake ya vipindi viwili.Kwa.hiyo.huyu Ssh naye anamalizia sehemu ya kipindi kilichobaki maana naye alikuwa ni msaidizi wa jpm.Nasema tena naye atakuwa amemaliza kipindi chake cha utawala,hivyo ni lazima fomu zitolewa zaidi ya moja.Kidumu Chama cha .....
Naam samia awe na busara asije kutuletea shida kutuka kugombea. Atusaidie tu kupata rais mpya bora kama magufuli. Akifanya hivyo bila kutuchanganya tutamkumbuka... Maana umagufuli umemshinda.
Kuingia tu akaanza timuatimua ya wale wajamaa/magufulists kindakindaki. Kwa hilo hatutamsahau na kuleta wahuni waliyokua wanamchukia magufuli.
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Kuhusu mgombea wa Urais kutokuwa Mwanamke hata mimi nafahamu
 
Yaani tuache kujali changamoto zinazotukabili SASA ...! USINGIZI NAO HUWA UNA MWISHO! 😅
1655843761437.png
 
Lililo dhahiri ni hili;

1. Mwanamke Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuchukua form ya kugombea u - Rais aidha kwa hiari yake au kwa kukataliwa na chama chake iwapo tu ataendelea kupata neema ya kufika hadi hiyo 2025...

## Kwa hili uko sahihi, Tanzania haikuwa tayari na haitakuwa tayari kuongozwa na mwanamke tena labda mpaka baadaye miaka ya usoni..

2. Haijalishi huko CCM nani atachukua au hatachukua fomu za ugombezi wa u - Rais.

Ila, this is undisputed fact, kwamba, uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi unafikia ukingoni kama siyo kesho basi si zaidi ya 2025...!

Kwa hiyo, tunapojadili hatima ya uongozi wa taifa la Tanzania, tuna kila sababu ya kuanza kuiondoa CCM ktk hatima ya nchi hii...
Swadakta
 
Mtanzania hawezi kusema haya,
Bila shaka atakuwa mkenya,
Kweli mama kawashika pabaya,
Na hapo ni ngorongoro tu, akianza kufukua na kwingineko 😂
 
Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.

Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.[emoji120][emoji120][emoji120]
Why are you contradicting yourself?? Mara wasahau mara ooh Mungu ahamue.

Yaani upepo unavuma halafu unauliza mku...ndu wa kuku unafananaje??
 
Naam samia awe na busara asije kutuletea shida kutuka kugombea. Atusaidie tu kupata rais mpya bora kama magufuli. Akifanya hivyo bila kutuchanganya tutamkumbuka... Maana umagufuli umemshinda.
Kuingia tu akaanza timuatimua ya wale wajamaa/magufulists kindakindaki. Kwa hilo hatutamsahau na kuleta wahuni waliyokua wanamchukia magufuli.
"Umagufuli umemshinda" samia si magufuli . Kila rais ana character zake na kamwe haziwez fanana.
And fomu atachukua na hamna kitu mtafanya
 
Back
Top Bottom