Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Katiba inasemaje kuhusu sifa za mgombea wa Uraisi?kuna sehemu imetoa takwa la DNA? Heb acheni hizi mambo za ukabila na DNA...hizi ni hoja za watu walioishiwa hoja...
Narudia tena how sure are you yule jamaa yako ni Mtanzania?are you willing kumtag na nyuzi za DNA?
 
Nmeandika mara 4 nimefuta mara 2 hii hesabu imekaaje
 
Kama kikwete aliyekuwa anaenda Ohio Street alikuwa rais, kwa nini yeye asiweze?
Kabla ya kuweza make Kila mtu anaweza. Je, ana hizo merits??
Urais si kama kulia au kula chakula au kwenda chooni.
Ajipambanue. Wananchi wafahamu mapema!
 

Jina lake Dotto Biteko.

Ndio Rais anaefata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.

Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.

Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.

Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Africa.
Hii nji ina vijana wa ofyo sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Awezi kutokea akawa rahis labda akaoge mto Zaire mara elf moja na aende kweny pori la mbilikimo.
Kwa haya majibu yako mkuu Lovelovie ni kama vile unamfahamu kiundani zaidi huyu jamaa(rais ajaye)[emoji2]

Una madhaifu yake mengi eti eeeeee?[emoji2]
 
Huyu shoga hawezi kuwa rais. Juzi tu nilikuwa naye guest nakula mzigo

Jina lake Dotto Biteko.

Ndio Rais anaefata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.

Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.

Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.

Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Africa.
 
Utawaliwe na mnyarwanda. Unawajua vizuri kweli. Kaulizie wilaya ya biharamulo ngara wanavosumbuliwa na hawa wahima.
 
Hizo ni ndoto za mchana kweupe. Hata huo uwaziri alipwwa na Magu kwa upendeleo; na Mama amemuacha tu kwa muda
Hata huyo mama yako aliupata urais pasipo matarajio ya watanzania.Amebebwa na katiba mbovu iliyopitishwa na watu wabovu
 

Jina lake Dotto Biteko.

Ndio Rais anaefata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.

Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.

Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.

Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Africa.

Tanzania ina watu wengi wenye tatizo la afya ya akili, ww afya ya akili yako imefikia pabaya, umekaribia ukichaa..!!
 
Hata huyo mama yako aliupata urais pasipo matarajio ya watanzania.Amebebwa na katiba mbovu iliyopitishwa na watu wabovu
Ulichokiandika kinauhusiano gani na hoja ya mezani? Kuwa na heshima kidogo.🙏🙏🙏
 
Tanzania ina watu wengi wenye tatizo la afya ya akili, ww afya ya akili yako imefikia pabaya, umekaribia ukichaa..!!
Huyu mleta uzi maisha anaona kila kitu sawa na bongo fleva tu

Ova
 
Back
Top Bottom