Utabiri: Mungu tunaileta mbele yako kamati itakayopitisha jina la Rais wa Tanzania 2025

Utabiri: Mungu tunaileta mbele yako kamati itakayopitisha jina la Rais wa Tanzania 2025

Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. 🙏😭🙏🙏🙏

Siasa hazitabiriki wala hazina utabiri.
 
Hakuna Cha kamati, ni hofu ya Ukawa tu mkaona akigombea Membe au January vs Slaa/Lowassa basi mngekwisha kwa upepo ulivyokua.

JPM by then hakua na makando kando ya level ya wenzie, mind you hata bajeti zake wapinzani walikua hawazipingi!! So hakuna formula Wala kamati ni sababu Kulikua hakuna namna nyingine.

Wafuasi wake wanajifanya kusahau hili.
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. [emoji120][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120]
Jambo la kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.

Jambo la pili, kama huyo Mungu anajua yote, anapanga yote, wewe unamuomba nini wakati alichopanga kitakuwa? Unafikiri wewe ndiye unaweza kumbadilisha mawazo huyo Mungu apangue alichopanga?
 
Sio tuu ni aliye juu ndio amemtwa, bali ndiye aliyemleta, na ndiye aliyemleta Mama!. Na baada ya kumtwaa saa hizi wako naye kwake mbinguni peponi kwenye raha ya milele!. Ni YEYE ndiye ametuletea Samia na ndiye ataamua kama Samia anaendelea hadi 2030!.

Kwa vile wote wawili walipotea, no one knows what happened to them na kama wapo au walitwaliwa, please don't assume!.

Mtu yoyote kufurahia kifo cha binadamu mwingine yeyote, ni ushetani!.
P

Punguza upotoshaji. Mungu hawezi kuleta katili na mbaguzi kuwa Rais wa Tanzania. Acha kumhusisha Mungu na mambo ya kijinga. Nyie ndio wale mnaenda kuiba benki mkitoka salama mnadai Mungu amewasaidia. Unamwaga damu ya watu halafu unajidai Mungu amemtwaa, tofautisha Shetani na Mungu.
 
Sio tuu ni aliye juu ndio amemtwa, bali ndiye aliyemleta, na ndiye aliyemleta Mama!. Na baada ya kumtwaa saa hizi wako naye kwake mbinguni peponi kwenye raha ya milele!. Ni YEYE ndiye ametuletea Samia na ndiye ataamua kama Samia anaendelea hadi 2030!.

Kwa vile wote wawili walipotea, no one knows what happened to them na kama wapo au walitwaliwa, please don't assume!.

Mtu yoyote kufurahia kifo cha binadamu mwingine yeyote, ni ushetani!.
P

Wewe unamuona ni binadamu, Mimi namuona ni ibilisi ndio maana alipokufa kwa kujificha kutokana na aibu, nilijua Mungu wa haki yupo.
 
Ungeuliza, azimio la MAKAMBA senior kuhusu kuwashawishi wajumbe kupitisha azimio kuwa mgombea ni Sa100 lilipuuzwa vp tungepata Nuru!!

Kwann wajumbe hawakuazimia Kwa pamoja juu ya mgombea 2025?

Akiba ya maneno ni muhimu.

Haijawahi tokea. Mgombea anapitishwa 2025. Mnaongea kufurahisha genge tu.
 
Ok KAMBA ni Mzee,

Vp mwingine aseme kubadili mgombea labda mambo yaharibike sana kuanzia sasa hadi wakati huo?

Unadhani hakujua kwamba anayemuongelea ameshika rungu la Uenyekiti?

Msikariri, ilikuja kidharura. Wanachama washindanishwe kupata mgombea Bora, na ndo DEMOKRASIA.

Mbona hamkusema hivyo 2020?.
 
Yeye kaleta maombi/sala ambayo kama Mungu atapenda ni Rais Dkt Samia na hii ni kwa sababu hata ile kauli ya Mzee Makamba ya kupitisha azimio la mgombea awe Rais Dkt Samia pekee halikupigiwa kura maana yake kuna vitu vingi nyuma ya pazia. Rais Dkt Samia alichojichanganya ni ile kudharau marahemu Dkt Magufuli huo mzimu utamtafuna sana watanzania siyo wajinga wanafuatilia na wanasikiliza na kuna mambo mengi sana alikosea, mfano tu hata response yake juu ya COVID 19, alilazimisha chanjo, na kujifanya alikuwa sahihi ila wazungu hao hao walikuja kumuumbua na yeye bila aibu aliendelea kukomaa, kiasi kwamba alijifanya eti Dkt Magufuli alikosea ila kwa ushahidi wa wazungu kukataa lockdowns na chanjo Dkt Magufuli ni mshindi na Rais Dkt Samia ni zero. Hivyo ni baadhi ya vitu vichache. Ila nafasi bado anayo ya kujirekebisha na kurekebisha. Sasa hivi wale wabaya wake wanataka kumuingiza kwenye issue za ushoga atoe tamko sasa sisi chawa tunasema aachane maana sheria zetu zipo wazi. Akijiingiza huko itakuwa tena mambo ya mjadala mjadala

Ngoja nione CCM mnavyoraruana, maana adui muombee njaa.
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. [emoji120][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120]
Nilipoona JP nikajua tayari huu uzi ni useless na mleta uzi ni punguani
 
Wewe ni idiot na zero brain. Hiyo chanjo ya Mama ilikusaidia nini??? Mbona USA wamesem chanjo haikutakiwa? Just wait mlio chanja wote you’re going to die kifo cha mende

Chanjo inaua tangu lini?. Kupitia chanjo Dunia imerudi kwenye normal life. Na rate ya maambukizi yakapungua. Halafu marekani gani imesema hivyo?.
 
Chanjo inaua tangu lini?. Kupitia chanjo Dunia imerudi kwenye normal life. Na rate ya maambukizi yakapungua. Halafu marekani gani imesema hivyo?.
Dah wewe idiot big kabisa. Mliochanja wote ni marehemu
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. 🙏😭🙏🙏🙏

Wewe Ni mnafiki Sana. Nakumbuka kipindi unamtishia Maisha been Saanane, na kweli akapotea mpaka leo. Leo unajifanya muombaji kumbe ni muuaji tu Kama wengine. Punguza unafiki.
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. [emoji120][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120]
Wachache wanaweza kuelewa hili bandiko.

1.tetesi- madam Ni mtoto wa Mwinyi. Mwinyi alikuwa Rais. Na Sasa Mwinyi Ni Rais pia.

2.Maandalizi-Ridhiwan Naibu Waziri, muda kidogo- Naibu Waziri ofisi ya Rais - Utawala bora.Baadae kidogo atakuwa Waziri kamili.

Huu utawala bora ndiko wale wa suti nyeusi waliko. Anaandaliwa kuijua nchi.

Baadae kidogo Kituo kinachofuata ni kwenye ile wizara ya Diplomasia. Au Ulinzi.

Baada ya Project ya Membe kufeli na Jiwe kusepa Ile familia ya Msoga imepata backup imerudia KWA kasi.

Nchi inamilikiwa na familia mbili kwa Sasa.

Katiba mpya inahitajika, huu urais wa mserereko, Kuna siku itatokea makamu wa Rais akawa mtu wa hovyo akamuuwa Rais ili awe rais.Mungu epusha hilo.
 
Dah wewe idiot big kabisa. Mliochanja wote ni marehemu

Punguza kuvuta bangi chooni we bwege, nimekuuliza swali dogo , tangu lini chanjo inaua?. Umekimbilia kwenye matusi. Ushauri tu punguza bangi sio nzuri kwa mwanamke.
 
Wachache wanaweza kuelewa hili bandiko.

1.tetesi- madam Ni mtoto wa Mwinyi. Mwinyi alikuwa Rais. Na Sasa Mwinyi Ni Rais pia.

2.Maandalizi-Ridhiwan Naibu Waziri, muda kidogo- Naibu Waziri ofisi ya Rais - Utawala bora.Baadae kidogo atakuwa Waziri kamili.

Huu utawala bora ndiko wale wa suti nyeusi waliko. Anaandaliwa kuijua nchi.

Baadae kidogo Kituo kinachofuata ni kwenye ile wizara ya Diplomasia. Au Ulinzi.

Baada ya Project ya Membe kufeli na Jiwe kusepa Ile familia ya Msoga imepata backup imerudia KWA kasi.

Nchi inamilikiwa na familia mbili kwa Sasa.

Katiba mpya inahitajika, huu urais wa mserereko, Kuna siku itatokea makamu wa Rais akawa mtu wa hovyo akamuuwa Rais ili awe rais.Mungu epusha hilo.
Ndoto za Alinacha.
 
Back
Top Bottom