Hiki kitu wengi hawakioni mzee ila the root causer ni the late kwa hili alifanya big mistake sanaMagufuli ndiye alituletea Samia, kama sio magufuli tusingekua na rais kama samia. Alaumiwe magufuli kwa hili balaa
Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Ndio maana nikasema kuna uwezekano ikafika 3000tsh ndani ya mwaka huu.Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.
Nchi kama Tanzania ikiwa ina import sana na exports ni ndogo, dola itapanda tu.
Sasa mna import mpaka toothpicks, dola itashukaje?
Pesa ya Zimbabwe (ZWL) iliwahi kushuka mpaka mtu unaenda sokoni na tololi la minoti eti tololi zima kwa kuchenge to Tz ni shilling 40000.Dola huenda itashuka thamani maana black market saiv ni 2790 Kuna kipindi ilikua 2830
NB; Sina uelewa mpana wa masuala ya kiuchumi
Nimetoa mfano tu lakini ni kwa kila zao.Kufunbndisha vijana wetu kulima mihogo?
Bashe amefanya utapeli wa kupeleka makada Israel ni nini kimetokea? ni utapeli tupu, waje wafundishe watu wengiYaani utoe pesa uwalete wachina badala ya kuwapeleka watu wako wakapate exposure na utaalam ?
China iliwapeleka Watu wake kwa maelfu kusoma Marekani miaka 50 iliyopita leo china inaikimbiza Marekani kwenye kila kitu.
Nyerere aliwapeleka vijana wengi kusoma Urusi na Cuba na wengi ndio Maveterani walioko CCM na wastaafu wanaojaribu kujenga uzalendo unaoporomoka kwa kwasi. Impact yao ya kwenda kujifinza Cuba na Urusi bado ipo kwa miaka zaidi ya 40 .
Kwenda kujifunza kwa kwa kuona ni jambo la Muhimu kuliko.
Lakini pia hizo fursa zilikua zinatolewa lakini achawa na wahuni walipoanza kuvamia serikali nafasi hizo zikachukuliwa na machawa na mahawara kwenda kula bata na kupiga picha kwenye majengo marefu.
Bei ya dola inaendana na forces za demand and supply, ambazo zinaendana na balance of trade, import and export.
Nchi kama Tanzania ikiwa ina import sana na exports ni ndogo, dola itapanda tu.
Sasa mna import mpaka toothpicks, dola itashukaje?
Hapo sasa wale wataaalamu wa uchumi watusaidie kwenye masuala ya fiscal & monetary policy ili sarafu yetu iwe na stabilityPesa ya Zimbabwe (ZWL) iliwahi kushuka mpaka mtu unaenda sokoni na tololi la minoti eti tololi zima kwa kuchenge to Tz ni shilling 40000.
Wakaona ni ujinga walicho fanya wanatumia USD doral kama pesa ya taifa.
Mkuu jambo obvious halina utabiri. Ni sawa na kusema mwaka huu itanyesha mvua.Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Kenya wanazalisha, wana viwanda vingi kwa hiyo mahitaji yao mengi ni ndani yanatoka. Tanzania uzalishaji ni mdogo sana hapa kuwa wachuuzi tu na pia tumefanya miradi mikubwa sana pamoja na ndege kwa hiyo balance inapotea. Demand and supply. Tuache kutoza kodi kwa $ tupige marufuku matumizi ndani ya nchi kwa dola.Hii nchi watangayika wamepumbazwa na wakapumbazika .
Yaani nchi ina soko la ndani la watu mil. 65. Ina amani, ina raslimali za kutosha, imepakana na nchi Nane na Bahari inayopokea soko lote la Nchi za mashariki halafu Imegeuka kuwa nchi ya wachuuzi wasioweza hata kukusanya pesa za ushuru wa bandari na wa viwanja vya ndege.
Baada ya adui kuteka viwanja vya ndege vya Tanganyika na bandari sasa ipo siku atatuambia kuwa hatuna uwezo wa kujilinda tunahitaji ulinzi wa nchi nyingine kutoka Uarabuni kama ilivyo Ufaransa na baadhi ya nchi za Afrika ya Magharibi.
Haiwezakani mpaka hela ya kenya inapanda thanani wakati wahitaji malighafi na chakula kutoka Tanzania .
Wakenya wanaingia mpaka Vijijini kununua vyakula badala ya waTannganyika wenyewe kununua na kuweka kwenye maghala na kuwaizia wageni ili pesa za kigeni zibadolishwe kwenye mifumo rasmi.
Kelele za waziri wa kilimo ni nyingi lakini hatuoni wakijenga masoko mipakani.
One stop center zinatakiwa kwenye mipaka yote ili wanaoingia mipakani kununua mazao waapate masoko mipakani . Na pesa zipitie mifumo rasimi .
Mikopo Inachukuliwa kila siku halafu inaishia kwenye sadari za nje na ndani za kila siku na misafara mirefu inayotumia mafuta kutoka nje kwa kununua magari ya kifahari kila kukikcha .
Majengo ya serikali yanawekwa Furniture kutoka chini kwa mikopo kutoka ulaya .
Bashe amefanya utapeli wa kupeleka makada Israel ni nini kimetokea? ni utapeli tupu, waje wafundishe watu wengi
Kwanini yeye alitegemea kuwa angekufa mapema au akiwa madarakani kama ilivyotokea? Kwa bei ya freight charge ya kontena ya sasa lazima dola upande sana tu.Magufuli ndiye alituletea Samia, kama sio magufuli tusingekua na rais kama samia. Alaumiwe magufuli kwa hili balaa
Sawa, haya ifanye 1$ iwe Tsh 5
Tupo katika mikono salama ya Daktari Samia Suluhu HasssanNaona Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable wanazidi kububujikwa na machozi ya furaha
Lete hiyo pesa yako ya madafu nikupe dola mwanaume wa kipare 😂Nikiwa na 1M ya madafu nikichange kwa dola ya sasa, kwahy mwisho wa mwaka nitakuwa na Tsh ngapi.?
Tukutane Mashikubwa na Oldvai ndogo Mkuu....wageni WAMETAPIKAHigh season is here, nikiotea 350Usd ni milioni na ushee
🤣🤣Nchi ya ajabu sana .
wanatuletea wakulima wa china kulima mihogo badala ya kuwapeleka vijana wetu wakajifunze namna ya kulima mihogo china kisha waje walime kwenye ardhi yetu wenyewe na kisha tuwauzie kwa pesa za kigeni.
Upo sahihi kila kitu kimegeuzwa fursa kwa makada wa CCMSiku hizi wanaopelekwa sio wakulima ni Marafiki na ndugu ,machawa na mahawara.
Mafano tu vijana wanaomaliza Vyuo vikuu vya kilomo walitakiwa wapelekwe Kufundisha Kilimo JKT na Magereza badala ya kuendelea kulima kwa kusimamiwa kama jeshi iwe ni kuwajengea vijana uwezo na utaalamu katika kilimo badala hali ya sasa ya kusema ni kuwatoa vijana utaia huku wakiwa hawana uwezo wa kulima hata mchicha majumbani mwao na kuuza au kupata chakula .