Utabiri: Ni suala la muda tu kabla Mwigulu hajaondolewa katika nafasi yake kwa kubadilishwa wizara au kuondolewa kabisa katika Baraza la Mawaziri

Kwani huyo Mwigulu asipoondolewa katika nafasi yake huo umma utafanya nini zaidi ya kupiga kelele kwenye mitandao? Hakuna la ziada litakalotokea. Hakuna maandamano ya aina yoyote yatakayofanyika. Na CCM itaendelea kushika dola.
 
Mwigulu amechemsha,hafai kuwa Waziri,mnataka aharibu zaidi Uchumi wa nchi ndiyo tuje ku-regret!!
1.Poor tax administration system
Kuna tax dispute ambayo kesi yake imeifanya serikali ikose kukusanya mapato ya 20 Trilioni.Lakini Kuna shida ya ukadiliaji wa Kodi,maofisa wa TRA wampewa mamlaka makubwa sana,wewe aliona wapi Duniani huu upuuzi!!

2.Poor Distribution of government resources
Matumizi ya Magari ya kifahari (hapa 558 bilioni kila mwaka). Upuuzi mwingine upo Bungeni kule mambo ya Sitting allowance,mfuko wa Jimbo wa Mbunge ni wa nini?kwani Mbunge ni mtekelezaji wa shughuli za serikali!.nk
3.Poor Management of the economy
Zaidi ya 65% ya Watanzania ni wakulima wa tonge kinywani(Subsistence farming) na wengine kwenye informal sector wengiwao Machinga,sasa unapokuwa na Waziri ambaye anawaza kukusanya hela kwa kundi kama hili la oheahe, unategemea nini juu uhai wa Uchumi wa nchi?najua mtasema haya matatizo kayakuta,lakini swali bado linabaki kuhoji kama anayatambua aaya matatizo na kachukua hatua gani?
Siyo kila mtu anaweza kuwa Waziri, Waziri wa fedha akiboronga ndiyo mwafwa!
"Kipawa cha uongozi siyo makalio kwamba kila mtu anayo"
Mwambieni Mama amuondoe huyo mtu wenu,siyo lazima awe Waziri ata akiwa Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni yake au Timu yake ya mpira inatosha!
 
Kwani maamuzi anayofanya yanaanzia kwa boss wake? If Yes, hakutokuwa na UMUHIMU kumtoa Ili Hali tozo zipo palepale
 
Huna akili
 
Unataka kusema mwigulu ndo analeta hizo tozo?

Acheni ujinga wa kumtetea mama enu, ,mwigulu anafata maelekezo tu
 
Waziri wa Fedha analalamikiwa kwa sababu ya tozo mpya ambazo hupelekwa Bungeni kama mswaada na hupitishwa na Rais kuwa Sheria.
Kwahiyo kama Mh. Rais atamuondolea au kumbadilishia wizara basi itakuwa ni kwa sababu nyingine na sio Tozo za serikali.
 
Waziri wa Fedha analalamikiwa kwa sababu ya tozo mpya ambazo hupelekwa Bungeni kama mswaada na hupitishwa na Rais kuwa Sheria.
Kwahiyo kama Mh. Rais atamuondolea au kumbadilishia wizara basi itakuwa ni kwa sababu nyingine na sio Tozo za serikali.
Na kauli za kuhamia Burundi ni sawa ?
 
Kwa kelele zilivyo nyingi na wala hazikomi,hakika ataondolewa au atabadilishiwa wizara.Makamba na Nnape,kelele dhidi yao,zinaibuka na kupotea,kwahiyo wao wanayo bahati,ila Mwugulu,Mmmh... hatapona,lazima aonje hicho kikombe cha kuondolewa au kubadilishwa.
 
Mama Samia endelea kumchekea Mwigulu nakwambia utaondoka naye!
 
KICHWA CHA HABARI kiko sawa✓
HOJA ZA HABARI haziko sawa×

Mamla yoyote duniani haimuachishi mtu kazi kwa kusemwa Sana na Jamii. Humuachisha kazi mtu kwa kutokuwa na MASILAHI nae.
 
Kwani maamuzi anayofanya yanaanzia kwa boss wake? If Yes, hakutokuwa na UMUHIMU kumtoa Ili Hali tozo zipo palepale
Inashangaza sana mijitu inakomaa na Mwigulu,ambaye anafuata tu maelekezo ya Rais,watu inabid wakomae na samia mwenyewe badala ya Mwigulu..halafu wanatishia eti watamtoa 2025..kwa Tume ipi ya Uchaguzi? Ambayo Rais ndo huwateua watendaji wake?
 
#achawivu #tafutahela #ageisjustanamba #chapakazi #majungusimtaji
 
Akiondolewa Watanzania watakuwa wametendewa haki sana. Hakuna uongozi kabisa kwa mwiguru nchemba. Kwa rasimali zote hizi tulizonazo,bado mwiguru anajiona mbunifu kuwafanya wananchi ndio chanzo cha mapato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…