CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
WAZARAMO WANASEMA USINENE UKAMALA.
USIMALIZE MANENO.
WEKA AKIBA.
MTABIRI CHAMBI CHAMBI
USIMALIZE MANENO.
WEKA AKIBA.
MTABIRI CHAMBI CHAMBI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Mungu yupo nao piaSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Kilo anakula tatu, mwananchi anapiga mtu1Simba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Bora ungekaa kimya! kila kitu wewe huweziYanga ijiangalie sana, inaweza kupigika tukakimbiana humu.
Sina mengi
Safi sana Ndg. Komenti yako ni ya ukomavu mkubwaYANGA NA SIMBA... KIPINDI HIKI SIO SAWA NA MIAKA ILE NDUGU.... WATU WAMEWEKEZA NA WANA WACHEZAJI WENYE UZOEFU MKUBWA....
Hili neno kibonde hufunua upumbavu wa werevu wengi.Kwahiyo unasema ukuta WA Simba ni imara zaidi kuliko wa Yanga?
Kweli Mbumbumbu fc hamuikubali Yanga kabisa!
Ngoja one day tuwapige 5 - 0 ndo mtatukubali.
Just kwa taarifa yako tu Mwarabu anakufa 2-0 kwao na Simba anapigwa kama Ngoma japo kapangiwa vibonde!
Tunza my comment!
SIMBA atashinda ama atatoa suluhu yanga atafungwa si chini ya mbiliSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Watu mna roho mbaya!Horoya 5-1 Simba, Monastir 1-3 Yanga Nimekaa paleee nasubili kuitwa [emoji196][emoji196]
Urudi humu mechi yenu ikiisha! Mi nitakuwa nimekaa paleeee naku-zoom tu!Wa kufungwa hapo ni Yanga tu, ila kwa simba akifanya vibaya sana itakiwa draw ..
Hata Yanga kashinda goli 2_0 na NamungoUs monastir itacheza na Yanga na Leo kwenye ligi ya kwao imeshinda goli mbili uuuuiiwiiii Yanga ijiangalie
Kina ashura mna mambo sana hahahaHoroya 5-1 Simba, Monastir 1-3 Yanga Nimekaa paleee nasubili kuitwa [emoji196][emoji196]