Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
One down, 1 to go..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo utuoneshe ushindi wa ZuwenaWa kufungwa hapo ni Yanga tu, ila kwa simba akifanya vibaya sana itakiwa draw ..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Simba watashinda kwasabau ifuatayo-
Simba walikua na mechi za kujipima nguvu maandalizi ya cafcl timu kubwa tofauti tofauti.View attachment 2511442
,,,,,,,,,,,,👆
wakati huo wapinzani wao Horoya awakua na mechi yoyote tangia walipocheza mechi ya mwisho ya ligi ya Guine tarehe 21 January.
Nani atunze utabiri wa ki-zuwena! Vibonde wa kundi Simba Wako njiani tayari wanarudi wamevunjika guu wamepigwa kama Ngoma huko Guinea! Tena Ilitakiwa wale tatu bila lile goli la kichwa walilokosa Horoya na penati yao aliyopangua Manula!Simba atashinda 1 bila majibu,Yanga atapoteza 2 nunge tunzeni huu utabiri.
Haya Zuwena fc njoo utuoneshe ushindi wenu dhidi ya Horoya! Makolo Mmepigwa kama Ngoma mnatia huruma mechi nzima mlikaa kimya kwenye vibanda umiza tunaoropoka na kupayuka ni Yanga tu!!One Day kama Kamsemo ka One Day Yes yaani Mwenyewe Unajionea Huruma kabla Hujahurumiwa
Mzee unaJua kutabiri vizuri mno, tuko pamoja! Niko upande wako.Horoya 5-1 Simba, Monastir 1-3 Yanga Nimekaa paleee nasubili kuitwa [emoji196][emoji196]
Upumbavu umefunuka.Katika mapigano hakuna mtu dhaifu maana kuna mawe viwembe na marungu, tumieni sayansi za kimpira.ila hongera umetabiri sawa.tusubirie kukazia.Zuwena kapigwa Guinea kama Ngoma kama nilivyotabiri
Mzee wa Jenzi nzitoSIMBA atashinda ama atatoa suluhu yanga atafungwa si chini ya mbili
Baada ya Mnyama kukaa mkao WA kuliwa na kupigwa kimoja Cha nguruwe Nimeitafuta sana hii comment yako hadi nikaipata.Nashauri msiojua mpira muwe mnakaa kimya
Huyu ndio kielelezo cha waganga walivyo matapeliMzee wa Jenzi nzito
Duuuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Simba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Dah wale wa tunis ,huu uzi watauchukiaSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Duh!...Simba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Mpaka dakika hii ya 15 Yanga amekula 2 bila..limebaki 1 tu utabiri utimieSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
🤣🤣vice versa