Sasa huo na Taifa una tofauti gani??Kwa uwanja huu lolote linaweza tokea..na hapo ni makao makuu ya nchi...Aisee Tanzania ni kuzuri sana
Wana Simba huo ndo uwanja wa Guine
View attachment 2512526
Nashauri msiojua mpira muwe mnakaa kimyaKwahiyo unasema ukuta WA Simba ni imara zaidi kuliko wa Yanga?
Kweli Mbumbumbu fc hamuikubali Yanga kabisa!
Ngoja one day tuwapige 5 - 0 ndo mtatukubali.
Just kwa taarifa yako tu Mwarabu anakufa 2-0 kwao na Simba anapigwa kama Ngoma japo kapangiwa vibonde!
Tunza my comment!
Upupu mtupu ila sion ajabu kwa Sababu kioo halisi cha mashabiki wengi wabongo tayari kimeonyeshwa na wachambuzi ila sio wote ni baadhiKwahiyo unasema ukuta WA Simba ni imara zaidi kuliko wa Yanga?
Kweli Mbumbumbu fc hamuikubali Yanga kabisa!
Ngoja one day tuwapige 5 - 0 ndo mtatukubali.
Just kwa taarifa yako tu Mwarabu anakufa 2-0 kwao na Simba anapigwa kama Ngoma japo kapangiwa vibonde!
Tunza my comment!
Mkuu mandhari ya Lupaso na hapo yanafanana? Nasikia hata mashabiki wamezuiwa kuna mtu yuko huko anasema hali ya uwanja haina vigezo sasa sijaelewa vigezo gani kama mechi inachezwa hapo halafu hauna vigezo... 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄Sasa huo na Taifa una tofauti gani??
Simba draw ya bila bila na yanga atafungwa Moja tuSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Makolo fc mtalala na viatu! Mi nitakuwa nimekaa paleeee naku-zoom tu!Simba draw ya bila bila na yanga atafungwa Moja tu
Labda michezo ya kitandaniHuu utabiri wako hauna tija yoyote ile kwa Watanzania wapenda michezo kama mimi.
Ya kwanza tayari...endelea kutunza
Naichukua Thread Naitunza Halafu Zikicheza Usikimbie Najua Zote Zinaleta Raha Tanzania
Nyie watu [emoji23][emoji23]Simba hawezi kufungwa na horoya mkuu nakuhakikishia 100% wala yanga hawezi kufa timu zote zinashinda away.
Haya mambo yaache tu sio kazi zako hiziYanga ijiangalie sana, inaweza kupigika tukakimbiana humu.
Sina mengi
Haya ule utabiri wangu unaenda kutimia. Leo anaanza kufungwa simba kisha kesho anafungwa yanga🤣🤣
Half tayari,Bado YangaSimba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Game ya Yanga kesho inatoa GG, na kama Yanga "atafungwa" basi ni tofauti ya goli moja na si vinginevyo...Simba atakufa 1-0 wakati Yanga atakufa 3-0.
Huu ndio utabiri wangu kuelekea ufunguzi wa mechi za ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Afrika kwa ngazi ya makundi. Simba na Yanga watapoteza mechi zao za ufunguzi wakiwa ugenini...
Tupia na wako...
Utopolo yanafuatiaYa makolo yametimia
Zuwena kapigwa Guinea kama Ngoma kama nilivyotabiriHili neno kibonde hufunua upumbavu wa werevu wengi.
SIMBA atashinda ama atatoa suluhu yanga atafungwa si chini ya mbili